#COVID19 Serikali isiwaache Wananchi katika mataa kwenye suala la Corona
Maisha ya rais siku zote ni ya kujificha tu hata akiwa Dodoma au Dar maisha yake ndio yaleyale na shughuli zake ndio zilezile hata akiwa kwingineko.
Anajificha kwani yeye kakakuona? Kwanini kila Mara yatokeapo maambukizi makubwa ya korona hukimbilia Chato?
 
Ila wabongo ni wabishi mnoo..... Sasa kama dunia nzima kuna corona kipi cha ajabu TZ ikiwepo? Kwani sisi ni special sana kuliko mataifa mengine au tumefunga mipaka kwamba hawawezi kuteletea?

Na ndio maana mtoa mada kasema kwakuwa kuna doubts ni vzuri serikali either ikanushe au ikubali ili watu wachukue hatua stahiki. It's that simple kuliko kukaa kimya wakati rumours za second wave zipo kitaani
Unajuje kama sio Propaganda za wazungu?
 
Korona ipo Tanzania na wagonjwa wapo na hospitali wananongona kwa hofu kuwa serikali haitaki ifahamike kuwa corona iko nchini. Tuchukue tahadhali ama tutakwisha kimya kimya.
 
Mkuu wewe ndio baradhuli coz umetoa mfano wa kipuuz kwenye ishu sensitive. Malaria iko tofaut na Corona.Ugonjwa unaoambukizwa kwa hewa au kugusa HUITAJI DEBATE kujua upo au haupo. Huu ugonjwa huitaji kupima kujua unao au huna kutokana na NATURE yake.

Ugonjwa huu ungekuwepo AMINI kusingekua na mabishano ya kipumbavu sehemu yyt ile. Kila mtu humu angekua ni SHAHIDI Tofauti na saizi kila mtu analeta story za NASIKIA. TANZANIA imepuuza njia zote za kupambana na Corona, kwa UHATARI wa Corona kama tulivyokua tunaona China au Italy, huoni TUNGEKUA TUNAZOA MAITI KILA KONA YA TANZANIA?Huoni hadi sasa kila mmoja angekua SHAHIDI wa hili?

Inawezekana vipi ugonjwa unaosemekana HATARI kuwe na DEBATE ya upo au haupo wakati ilitakiwa UJIONESHE WENYEWE?Mtu akifa tunasema Corona, Mbona hatuoni Chain ya ndugu kufa coz hawakua na Precaution zzt na baada ya ndugu yao kufa ndugu bado wanadunda tu?AMINI USIMINI HAKUNA CORONA zaidi ya Propaganda.
 
Ndugu yangu hao ni timu ''wapumbavu''. Kama alivyo baba yao kichwani hamna kitu. Ni wa kupuuza kwani hawana upeo wa kuwaza futi moja mbele.

Ndugu yangu hao ni timu ''wapumbavu''. Kama alivyo baba yao kichwani hamna kitu. Ni wa kupuuza kwani hawana upeo wa kuwaza futi moja mbele.
Unajua hawa jamaa wanaudhi kupita maelezo. Jambo serious wao wanaleta mchezo. Jambo hatari wao wanakuja na utani wa simba na yanga. Hapa ni kifo aina ya mdondo kwa kuku. Umewafungia kuku wako mia tano jioni wazima. Asubuhi huna kuku hata mmoja. Kibudu!
Hii timu ya hawa wapumbavu inanikumbusha mpumbavu fulani. Aliona sifa sana kuitwa kiwembe. Alionywa mara nyingi akashupaza shingo. Jibu lake lilikuwa moja tu: Ajali kazini. Akavuna alichopanda. Hiv ikamtembelea. Muda si mrefu akalazwa hospitalini. Ukienda kumjulia hali wodini ukiwa bado unatafuta kitanda chake unasikia sauti yake akikuita.
Ukiangalia ilikotoka sauti kama kitanda hakina mgonjwa. Yupo hajazi hata robo ya kitanda cha futi mbili na nusu. Kinaonekana kichwa tu. Ukiongea naye ukajisahau ukamkumbusha maneno yake ya Ajali kazini, jua ataanza kilio cha kwikwi! Mataga kichefuchefu.
 
Anajificha kwani yeye kakakuona? Kwanini kila Mara yatokeapo maambukizi makubwa ya korona hukimbilia Chato?
Hilo la kukimbilia chato unalisema wewe na ndio ungefaa kueleza kwanini umefikiri kakimbilia huko kujificha kwani huko chato ndio corona inaogopa kwenda ama vp? Au akienda Chato ndio hafanyi majukumu yake ya kawaida anajifungia ndani tu haonani na watu kuogopa corona?
 
Kuanzia mikutano ya CCM hadi mikutano ya kampeni na uchahuzi wake,hayo yote yamefanyika bila tahadhari zozote kwa nature ya huu ugonjwa sasa hivi ilitakiwa tuone hospitali zimezidiwa wagonjwa.

Ila ndio hivyo mtu halioni hilo wameshikilia tu tunatetea ujinga sijui tunaficha maradhi.
 
We pumbaf kweli Kwanza tuambie wewe una Corona, au Kuna ndugu yako gani ana Corona tupe ushuhuda alafu uje umwage ushuzi wako Hapa...wewe ni dini gani jomba..huna Imani hata chembe hufai kuitwa Mtanzania..nenda kaishi na barakoa Ulaya kule naona unatuletea uzi wa kijinga
Kweli wafia mbogamboga na jiwe ni misukule.
Yaani hujaona mambo ya msingi kwenye maandishi ya mleta uzi!!?!
Mkiitwa wafuasi wa shetani,mnakasirika. Nyie ndio mnaolala na mama zenu au kutoa kafara ili tu mneemeke.
 
Mkuu kama kweli ipo na inauwa sana watu kwanini sasa tuwe tunabishana humu? yani mie nifiwe na ndugu na jamaa zangu huku nikijua kwa sababu ya corona halafu nije humu kabisa niseme hakuna corona? au naona kabisa eneo nalokaa watu wanaugua isivyo kawaida na wengine wanakufa halafu nije nipinge humu mashaka ya uwepo wa corona?

Hivi kweli nikifanya nakuwa na akili ya aina gani au kwa kumfaidisha nani?
Akili ya kisukule ya mbogamboga.
 
Kuanzia mikutano ya ccm hadi mikutano ya kampeni na uchahuzi wake,hayo yote yamefanyika bila tahadhari zozote kwa nature ya huu ugonjwa sasa hivi ilitakiwa tuone hospitali zimezidiwa wagonjwa.

Ila ndio hivyo mtu halioni hilo wameshikilia tu tunatetea ujinga sijui tunaficha maradhi.
Kuna maradhi ya kuficha lkn sio Corona. Kama kweli Corona ni HATARI na IPO basi TANZANIA ingekua Nchi inayoongoza kwa vifo duniani.
 
Unajuje kama sio Propaganda za wazungu?
Propaganda ili iweje? Kwani akitaka propaganda si anaweza wachoma sindano watu hta 100 zenye virusi vya Covid.... mtazuiaje? Wkt chanjo kibao wanawapa bure? Ndio waje kuhangaika na maneno matupu?
Hao mabeberu wakiamua kweli kufanya fitna kma anavyofanyiwa China na Iran unadhani TZ tutawazuia kwa lipi?
 
Hello JF,

Tumeona elsewhere corona cases zikiongezeka,

Sisi sio nchi ya kipekee tuseme hatuko affected,

Hatuna lockdown, wala hatuchukui tahadhari nyingine kama kuvaa barakoa.

Hii inatosha ku assume hiki kirusi kinaua na kitazidi kuua kichinichini

Kutoweka record ya wagonjwa wa covid-19 hakumaanishi watu hawafi na 'nimonia'

Anyway, nilichokua nauliza leo baada ya maombi in the first wave kufanya kazi na Tanzania kuwa corona- free state

Je, this time (second wave) wata admit kuwa kuna huu ugonjwa? Au wataweka pride juu kwamba yote yaliisha kwa maombi,hivyo hakuna corona nchini wala haitakuwepo?

Kipi kitawafanya waongelee kuhusu corona?

Ama we are better like that??? LOL.
 
Kwa mshikaji bora umuue lakini sio kuadmit kuwa kuna hii kitu. Maana kwa yeye anaona hii ndio the biggest achievement yake, sasa akirudi akubali kua kuna hiyo kitu ni kukubali udhaifu.

Kwa mshikaji ni bora wote tufe hata akiwemo yeye lakini sio akiri kua ameshindwa ama hii kitu ipo. Bora afe.

Hizi ndio akiri za viongozi wa kiafrika.
 
Back
Top Bottom