Kwani Serikali inaamini kuwa COVID 19 ipo hapa nchini? Sasa kama Serikali haiamini kuwepo kwa COVID 19 hapa nchini utaanzia wapi in kuishauri? Si Jambo jema kujipendekeza!
 
Kwa mujibu wa wataalam wa virus, Tanzania inakuja kuwa world COVID-19 virus mutation center kwa sababu hiki kirusi kikiachwa bila kupigwa vita huwa kinakuwa kina uwanja mpana zaidi wa kufanya mutations!
 
Wataalam wa afya ndiyo wanaua watu! Corona inapenda sana upelekwe hospitali ili ukalale kwa mgongo ikumalize.Rafiki namba moja wa Corona ni kulala kwa Mgongo.Adui namba moja wa Corona ni mazoezi ya mapafu, hili hutofundishwa popote pale. Ambacho utafundishwa kwa wingi sana ni ujinga wa kula malimao na kujifukizia!
 
Hebu niongee moja kwa moja tuelewane

Kwanza achana na hicho kichwa cha habari...
SIDHANI kama unaelewa vizuri masuala ya covid 19, sijui kama umeshaugua huu ugonjwa {MUNGU akuepushe] na sijui pia kama umeshapoteza ndugu wa karibu au rafiki kwa huu ugonjwa [ MUNGU pia akuepushe na hili pia } , Mpaka sasa hivi serikali haipo serioulsy ndio maana hata jumuia za kimataifa zinatutenga.
 
Watangaze ipo, wanipe barakoa, waninawishe mikono na kutufungia ndani ili namba tuisome wote.
 
Nyie mnaoilaumu serikali, tuelezee ninini mnataka kifanyike kumaliza tatizo la covid? Toeni solution.
Kwa mujibu wa Kaitibu Mkuu wa wizara ya Afya, ni kwamba hakuna Corona Tanzania, sasa wewe unazungmzia Corona ipi y anchi ipi?
 
Hapa Marekani korona imepunguza kasi kidogo, kufikia Julai huu ugonjwa utakuwa umepungua.
 
Acha kudanganya watu, mtu hawezi kuvuta pumzi unamwambia akafanye maziezi? Wakati oxygen haifiki hata kichwani ?Mtu hana fahamu unamlisha malimao. Acha kudanganya watu wewe. Wewe unayejiona mzima usisubiri uambiwe ufanye sijui maziezi,kula malimao anza kujenga mwili kama ya kuumwa.Ukiumwa wewe hata hayo malimao hakuna atakaekupa.
 
Kwa nini usubiri hadi hatua ya kushindwa kuvuta pumzi ndiyo uanze kuchukua hatua? Yaani unachukua hatua ukiwa katika stage ya kufa?Na ni wapi nimesema kuwa watu wachukue hatua wakiwa katika stage ya kufa?
 
Kwa nini usubiri hadi hatua ya kushindwa kuvuta pumzi ndiyo uanze kuchukua hatua?Yaani unachukua hatua ukiwa katika stage ya kufa?Na ni wapi nimesema kuwa watu wachukue hatua wakiwa katika stage ya kufa?
Ndio elimu watu wanatakiwa kupewa, wasisubiri hapo. So unakuta mpakq.mbunge anafia hotelini kizembe eti anajifukiza shame of.my country hii ingekuwa prevented kabisa kama wangempa right health information
 
Kaandika ujumbe huu hapa chini kupitia twitter:

Ndugu zangu tuchukue tahadhali sana, watu wanakufa sana, hii sio kawaida. Leo hii tu nimepokea taarifa za watu watano ninaowafahamu, Mwenyezi Mungu awapumzishe mahali pema.

 
Kaandika ujumbe huu hapa chini kupitia twitter:

Ndugu zangu tuchukue tahadhali sana, watu wanakufa sana, hii sio kawaida. Leo hii tu nimepokea taarifa za watu watano ninaowafahamu, Mwenyezi Mungu awapumzishe mahali pema.
Sijaelewa tahadhari ya nini.
 
Kaandika ujumbe huu hapa chini kupitia twitter:

Ndugu zangu tuchukue tahadhali sana, watu wanakufa sana, hii sio kawaida. Leo hii tu nimepokea taarifa za watu watano ninaowafahamu, Mwenyezi Mungu awapumzishe mahali pema.
Bado una wenge hebu andika tena
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…