mzamifu
JF-Expert Member
- Mar 10, 2010
- 6,400
- 3,853
Wapo mkuu, ila kimkakati hawapo, kizalendo wapo!Mkuu kuna majirani zako wowote wamekufa vifo vya kutatanisha?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wapo mkuu, ila kimkakati hawapo, kizalendo wapo!Mkuu kuna majirani zako wowote wamekufa vifo vya kutatanisha?
Kwa hiyo WHO inashirikiana nao?Nahisi kuna ka movement cha wafanyabiashara na mabeberu wanaotaka kuirudisha covid 19 kwa kasi ili wapige hela.
SIO KWA TANZANIA YA LEO, WATAKWAMA
Wajinga wanasema eti ili ujue korona ipo badi umjue na jirani aliyefariki kwa korona.Kuna rafiki yangu yupo Morogoro amenipigia simu leo kuniambia kuwa Corona ipo nichukue tahadhari.
Mtaani kwao modeko wamezika mtu alikuwa na dalili zote za Corona alipokuwa hai.
Aliyetuita sisi wa afrika MASOKWE wala hakukosea.Imeshangata family members au jirani zako wangapi? Labda tuanzie hapo. Nadhani kila mtu aanzie kwa immediate family members na sio hadithi za sijui mtaani wanasema nini, kama mtaani ipo na familia zetu pia zipo huko huko mtaani so hawawezi ugua au kufa bila sisi kujua.
Kwetu magacha ni kitu kisicho na mbele wala nyuma!Hakuna corona,
Ana haki ya kusema hivyo sababu hakuna vipimo vya corona hospitali nyingiSio ubishi mkuu, ipo wazi kuwa yapo magonjwa ambayo hufanana dalili na corona ila kwa kuwa sasa kuna ugonjwa unaitwa corona basi tunasahau kuwa pia kuna magonjwa ambayo yapo kabla ya corona ambayo hufanana dalili na corona. Mtu hujui kafa kwa nini ila unakuja hapa unaeleza kuwa corona ipo halafu unamalizia kusema kuna mtu kafa alikuwa na dalili kama za corona. Sasa hapo una maana gani ?
Usifanye utani aisee ninapofanyia kazi wenzangu wawili ndugu zao wamefariki kwa dalili zote za ilo tatizo, shida ni kwamba vipimo havipo kwenye hospitali nyingi pia ni ghali,by the way siku utakayoamini corona ipo ni siku itakapogusa familia yakoWe pumbaf kweli Kwanza tuambie wewe una Corona, au Kuna ndugu yako gani ana Corona tupe ushuhuda alafu uje umwage ushuzi wako Hapa...wewe ni dini gani jomba..huna Imani hata chembe hufai kuitwa Mtanzania..nenda kaishi na barakoa Ulaya kule naona unatuletea uzi wa kijinga..tumia na akili yako chukua tahadhari zinazoelezwa na Wizara ya afya...akili yako ina kazi gani, ya kun..,y..aa tu
Ipo Corona ya Ajabu ajabuCORONA hakuna Tanzania na kama ipo ugua wewe
Wawaachie wataalam wa afya watoe elimu juu ya ugonjwa ,dalili zake ,jinsi ya kujikinga ndio iwe msisitizo na matibabu yake .Kuna watu wanakufa kizembe sana bila kujua kwani muda anaopelekwa hospital tayari mapafu yamekuwa kama ya mvuta sugar na sometimes nothing they can do kwa hiyo stage.Elimu ikiwa ni kuhalikisha wananawa mikono ,wanachukua tahadhari wakiwa na suspected case etc