NAWATAFUNA
JF-Expert Member
- Nov 14, 2019
- 13,284
- 24,047
Nyuzi za maana zinafutwa alafu nyuzi za kibwege zinaachwa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Maisha ya mtu yako mikononi mwake kwa jinsi ileile anavyojitawaza msalani pasipo kusimamiwa.Una maana kila mtu akiwemo Magufuli na serikali?
Kwa sababu tunatofautiana ki mamlaka na kiuwezo kutambua uwepo wa ugonjwa huu kwa wawili hawa kwa taifa, hakuwezi kulinganishwa na utambuzi wako, wangu au kina yakhe wowote.
Au nasema uongo ndugu zangu?
Jana niliposikia yuko Morogoro nilitegemea amefika kufungua reli ya SGR ya treni za kisasa za umeme iliyokuwa ifunguliwe mwaka 2019 kumbe anafungua Soko la mamantilie na machinga. Ameishiwa na cha kufanya, angejikalia Chato akijifukiza!Wana roho mbaya sana hawa estou!
Sasa watu wengi hiyo SGR yao atapanda nani?
Maisha ya mtu yako mikononi mwake kwa jinsi ileile anavyojitawaza msalani pasipo kusimamiwa.
Usisubiri AMRI, chukua hatua kulinda maisha yako km kuvaa barakoa, kujitakasa mikono, kuepuka misongamano ya watu, na hasa kwenye maeneo ya jumuia km vyoo vya jumuia usiache kuvaa barakoa
Kumbuka kila binadamu huenda ameambukizwa
@rosemarieJana nilikuwa sehemu napata lunch,nikawasikia jamaa wanasema 'wale wanaoombea wenzao kufa na corona,wanaanza wao kwanza' nikajisemea hii kali!
Hujawahi kuleta Uzi wa maana hata mmoja zaidi ya kuwa mpiga zumari wa wezi.Nyuzi za maana zinafutwa alafu nyuzi za kibwege zinaachwa.
Huyu alikuwa akiwaombea na kufurahia vifo vya wenzie kama wewe!nimeona wengine wako busy wanajifukiza,
hii korona haitakuacha salama kama ulishiriki kwa namna moja au nyingine kuiba kura na kudhuluma haki za wataznania
ujiandae utubu maana hakika hutapona kwa hakika,ile huzuni iliyokuwa mioyoni wa watanzania imefikia kikomo sasa,glass imejaa maji inafurika,hukumu ni hapahapa duniani
lazima wote mlioshiriki mfe kwa korona,,,
Hukumu hapahapa duniani
Mbona wewe unayo, je uliiba kura? Na wote tumuombee rosemarie apone haraka baada ya kutubu CCMnimeona wengine wako busy wanajifukiza,
hii korona haitakuacha salama kama ulishiriki kwa namna moja au nyingine kuiba kura na kudhuluma haki za wataznania
ujiandae utubu maana hakika hutapona kwa hakika,ile huzuni iliyokuwa mioyoni wa watanzania imefikia kikomo sasa,glass imejaa maji inafurika,hukumu ni hapahapa duniani
lazima wote mlioshiriki mfe kwa korona,,,
Hukumu hapahapa duniani
Acha mambo yako wewe.Huyu alikuwa akiwaombea na kufurahia vifo vya wenzie kama wewe!View attachment 1700922
Toka hii corona toleo jipya iingie INA wiki mbili tu,mkuu stay macho.Mbona yule Mwenyekiti wa NEC bado anadunda?
[emoji848][emoji848][emoji848] Kwa hiyo wewe umechukua nafasi ya Mungu yaani unatoa hukumu. Kwani wewe na hao unaowatuhumu kuiba kura mna tofauti gani? Au wewe huwezi kufa na hiyo Corona?nimeona wengine wako busy wanajifukiza,
hii korona haitakuacha salama kama ulishiriki kwa namna moja au nyingine kuiba kura na kudhuluma haki za wataznania
ujiandae utubu maana hakika hutapona kwa hakika,ile huzuni iliyokuwa mioyoni wa watanzania imefikia kikomo sasa,glass imejaa maji inafurika,hukumu ni hapahapa duniani
lazima wote mlioshiriki mfe kwa korona,,,
Hukumu hapahapa duniani
itaanza nawewe, kwanza kwa jina la Yesu Kristo aliye juu, kisha hao wengine itawaacha.nimeona wengine wako busy wanajifukiza,
hii korona haitakuacha salama kama ulishiriki kwa namna moja au nyingine kuiba kura na kudhuluma haki za wataznania
ujiandae utubu maana hakika hutapona kwa hakika,ile huzuni iliyokuwa mioyoni wa watanzania imefikia kikomo sasa,glass imejaa maji inafurika,hukumu ni hapahapa duniani
lazima wote mlioshiriki mfe kwa korona,,,
Hukumu hapahapa duniani
Okay, to make things correct. ........spare the innocent one....not innocenceDo you think God is contract killer?? And death only comes to the wicked and spare the innocence one?? Nah.
Death is certain my dear kaa vyema usije ukapitiwa wewe