#COVID19 Serikali isiwaache Wananchi katika mataa kwenye suala la Corona
Kaandika hivi kupitia twitter:

Utawala unao kosea kwa makusudi na kusabibisha vifo vya watu kama ilivyo Tanzania sasa hauna tofauti na Magaidi.Kiburi cha Magufuli ni huzuni kwa Nchi kwa vifo ambavyo vingewezwa kuepukwa/ kupungua.Watu wanakufa na mizaha ina endelea.Watoto wana baki yatima,umasikini unaongezeka
Mungu mbariki Lema
 
Amezungumuziaje pia kuhusu huko ulaya ambako tarifa za vifo zaidi ya watu 3000 vilivyokuwa vikiripotiwa Kwa masaa ishirini na nne? Na hivi juzi tu nchi moja huko ulaya ililiripoti watu zaidi ya 2500 walifariki Kwa covd 19,

Hayo anayasemaje huyu mkimbizi?
Mjinga yeyote anamawazo kama yako, unapo aminisha watu hakuna tatizo unawafanya wasichukue tahadhari yeyote hivyo kama ilibidi wafe 10 basi watakufa 30 lakini ukiwapa tahadhari wangekufa 10 wengine wangepona kwa sababu wamechukua tahadhari

Hizo nchi unazo zisema yawezekana hivyo vifo kwao vimekuwa vichache kwa sababu ya tahadhari inayo endelea kutiliwa mkazo huenda kinyume na hapo ingekuwa mara tatu ya hivyo unavyo sikia

Pia wenzetu hawana ujinga ujinga wa kuficha ficha takwimu kwenye mambo sensitive , yawezekana tanzania tunakufa mara tatu ya wao ila ukweli unakwepeshwa kwa maslahi ya mtu mmoja pekee.
 
Kaandika hivi kupitia twitter:

Utawala unao kosea kwa makusudi na kusabibisha vifo vya watu kama ilivyo Tanzania sasa hauna tofauti na Magaidi.Kiburi cha Magufuli ni huzuni kwa Nchi kwa vifo ambavyo vingewezwa kuepukwa/ kupungua.Watu wanakufa na mizaha ina endelea.Watoto wana baki yatima,umasikini unaongezeka
MWAMBA WA KASKAZINI
 
Kumbe na Canada na Ubelgiji wana tatizo la Nimonia?!

Nyie vichaa hata hamumjui adui yenu mpaka leo bado mnarusha rusha miguu tu.
 
sijaona serikali ikiifuatilia watu watumie condom, ni wewe mwenyewe unajua hatari ya ukimwi ndio maana unavaa condom, hakuna mtu ambae hana abc kuhusu covid hivyo tusingoje serikali iseme ndio tujue kwamba tunapaswa kujikinga..... this s.hit is scary wajomba take precautions.
 
sijaona serikali ikiifuatilia watu watumie condom, ni wewe mwenyewe unajua hatari ya ukimwi ndio maana unavaa condom, hakuna mtu ambae hana abc kuhusu covid hivyo tusingoje serikali iseme ndio tujue kwamba tunapaswa kujikinga..... this s.hit is scary wajomba take precautions.
Jomba maambukizi ya Covid ni tofauti na Ukimwi...kweli UJINGA UNATUTAFUNA....
 
Jomba maambukizi ya Covid ni tofauti na Ukimwi...kweli UJINGA UNATUTAFUNA....
umeona kuna sehemu nimefananisha maambukizi ya covid na ukimwi? nimesema mtu anajikinga na ukimwi sababu anajua hatari yake, hivyo sababu sote tunajua hatari ya UVIKO-19 bas tusisubiri serikali iongee tuchukue hatua kujikinga kama vile ambavyo hatulazimishwi wala kuhimizwa kwenye ukimwi
 
mkuu tengua kauli yako utawala wa magufuli auna uwezo wa kusema Nani afe Nani asife. waliochukua hatua zote lakini bado watu wao wanafaliki
ZINGATIA. akuna mbadala wa kukwepa kifo
Serikali inayokusanya Kodi na Kuna Taasisi ya Afya ina jukumu la kuhakikisha inatumia kila mbinu (proven na sio kupiga ramli) kuhakikisha afya ya raia wake...., Sio lazima ifanikiwe (hayo ni matokeo) ila jitahada ni za lazima (sio ombi wala hisani)
 
mkuu tengua kauli yako utawala wa magufuli auna uwezo wa kusema Nani afe Nani asife. waliochukua hatua zote lakini bado watu wao wanafaliki
ZINGATIA. akuna mbadala wa kukwepa kifo

Kwa kutokuchukua hatua utawala wa Magufuli umewatelekeza wazee na wenye magonjwa mengine kufa.

Pana haja ya watu kwenye makundi mawili haya sasa kuanza kumkataa Magufuli na genge lake kwa vitendo kwa maana pia Mathayo 10:33 imeandikwa:

"but whoever denies me before men, I also will deny before my Father who is in heaven."

Mkuki hauwezi kuwa kwa nguruwe peke yake.

Au nasema uongo ndugu zangu?
 
Serikali inayokusanya Kodi na Kuna Taasisi ya Afya ina jukumu la kuhakikisha inatumia kila mbinu (proven na sio kupiga ramli) kuhakikisha afya ya raia wake...., Sio lazima ifanikiwe (hayo ni matokeo) ila jitahada ni za lazima (sio ombi wala hisani)

Pana haja ya kuliangalia upya suala la kuwalipa kodi hawa wasiokuwa na wajibu wowote kwetu katika muda huu wa uhitaji.
 
Jiwe ameshika hatamu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji39]
Kuna watanzania wengi sana wa uelewa mdogo hata ujaribu kuwaelewesha unaona bora ukae kimya tu.

Jana nikamuuliza kijana mmoja kaka italetwa chanjo ya corona utachanja akajibu hatachanja sababu rais ashasema hazifai.

Juzijuzi nikiwa natembea nikasiki wamama wakisema, itabidi wazae tu sababu Rais anasema haya madawa ya uzazi hayafai.

Walisikia aliposema wasichana walichanjwa kinga saratani ya kizazi kumbe walikuwa wakizuia mimba hivo alikataza eti.

Hata kuvaa tu barakoa mpaka wamsikie rais akitamka. Aliposema tu walipima mapapai wakakuta yana korona haaa watu waliona ni ujinga tu kupoma korona
Hata humu tu kuna uelewa mdogo kuhusu anachosema mkuu. Hata kama hawaelewi alitania au alisema wakati gani wamejipanga tu kutetea hadi shingo zinakakamaa.

Hawa wanaotetea na kujipendekeza kulikopitiliza ndio wanaharibu nchi yetu.
Yaani hawataki kusikia mawazo mbadala.

Ona walisaidia sana kuua upinzani kama sauti mbadala eti wanasaidia azma ya mkuu kumbe hata hawkumuelewa.

Waimba pambio wamegeuka wapembe wa mganga wakitafsisri asichomaanisha mganga.
Tupaaze sauti kuwakemea hawa watu la sivo tutaweza kutumbukia shimoni
 
Kuna watanzania wengi sana wa uelewa mdogo hata ujaribu kuwaelewesha unaona bora ukae kimya tu.

Jana nikamuuliza kijana mmoja kaka italetwa chanjo ya corona utachanja akajibu hatachanja sababu rais ashasema hazifai.

Juzijuzi nikiwa natembea nikasiki wamama wakisema, itabidi wazae tu sababu Rais anasema haya madawa ya uzazi hayafai.

Walisikia aliposema wasichana walichanjwa kinga saratani ya kizazi kumbe walikuwa wakizuia mimba hivo alikataza eti.

Hata kuvaa tu barakoa mpaka wamsikie rais akitamka. Aliposema tu walipima mapapai wakakuta yana korona haaa watu waliona ni ujinga tu kupoma korona
Hata humu tu kuna uelewa mdogo kuhusu anachosema mkuu. Hata kama hawaelewi alitania au alisema wakati gani wamejipanga tu kutetea hadi shingo zinakakamaa.

Hawa wanaotetea na kujipendekeza kulikopitiliza ndio wanaharibu nchi yetu.
Yaani hawataki kusikia mawazo mbadala.

Ona walisaidia sana kuua upinzani kama sauti mbadala eti wanasaidia azma ya mkuu kumbe hata hawkumuelewa.

Waimba pambio wamegeuka wapembe wa mganga wakitafsisri asichomaanisha mganga.
Tupaaze sauti kuwakemea hawa watu la sivo tutaweza kutumbukia shimoni

Mkuu usivunjike moyo kiasi cha kukata tamaa moja kwa moja.

Ikumbukwe kuwa 1 + 1 = 2 bila kujali wajinga au wapumbavu wangapi wanasema ni 5.
 
Jana nilikuwa na raia kutoka Austaria, wana unga sana mkono msimamo wa serikali ya Tanzania. Kua mpinzani sio lazima uwe na negative view

Austraria ndiyo nchi gani? Huko wajinga wajinga kama tunaowaona hapa huko hawapo?

Kwamba kuna wajinga wajinga fulani mahala wanabwabwaja ujinga wao. Inatuhusu nini sisi tunaolipa kodi na kuitegemea serikali kuwajibika kwetu?
 
Back
Top Bottom