Watu wanawaamini wanasiasa kuliko hata wanavyojiamini wenyewe na roho zao, wabongo hatuwezi acha uchiinga, labda 'uchiinga' utuhurumie utuache..!UMeongea vizuri,watu wanasubiri tangazo kuna corona
They don't take any precautions.
Tumeambiwa tunawe na maji tiririka, tuvae barakoa,tutumie sanitizer, tukeep distance
Bado tunasubiri tangazo kuna nchi INA corona, this is ignorance of the highest caliber
Ndugu zangu kulalamika hakujawahi kutatua tatizo kama una jipu tumbua na sio kulalamika jipu linauma,huku huchukui juhudi zozote kuliondoa...Tumechelewa Sana Ndugu Zangu
Hivi nyumba yako ikivuja utangoja balozi wa nyumba 10 aje akwambie ziba? Nyungu mbona imeshatangazwa mkuu?Tunasubiri nyungu version 4.5 kutoka kwa muheshimiwa jafo , huku tukiendelea kumuomba mungu atuepushe
Tunasubiri version Mpya , hizo nyingine zimeshakua outdatedHivi nyumba yako ikivuja utangoja balozi wa nyumba 10 aje akwambie ziba? Nyungu mbona imeshatangazwa mkuu?
Kwani kutoa tamko shi ngapi?UMeongea vizuri,watu wanasubiri tangazo kuna corona
They don't take any precautions.
Tumeambiwa tunawe na maji tiririka, tuvae barakoa,tutumie sanitizer, tukeep distance
Bado tunasubiri tangazo kuna nchi INA corona, this is ignorance of the highest caliber
Kama ulishatangaziwa Nyungu na Jafo na Mzee mara kibao wanasema tahadhari zichukuliwe au ulitaka nn zaidi au formal Ann ouncement? Nadhani picha ya formal umeiona clear siku mbili tatu hizi asikiaye na afahamu.Kwanza viongozi wakubali ipo hatuwezi ili tuoneshe utiifu kwa Mungu
Atujakataa ila ata kipindi kile imepamba moto watu walikua bado hawataki kuvaa barakoa😷Kama ulishatangaziwa Nyungu na Jafo na Mzee mara kibao wanasema tahadhari zichukuliwe au ulitaka nn zaidi au formal Ann ouncement? Nadhani picha ya formal umeiona clear siku mbili tatu hizi asikiaye na afahamu.
Ndiyo maana nikamuomba Mungu atupe njia ya nn cha kufanya na kumpa hekima kiongozi wetu tufanye nn. Mimi naomba Nyungu napiga na barakoa nimeanza kuzingatia sikusema tuombe tu Mungu tusichukue tahadhari.Akili za wapi hizi!Mungu huwa halipi maombi bali huwa analipa jitihada.Usitegemee Corona itaisha Tanzania kwa kujidanganya kuwa haipo na kujificha kwenye mgongo wa maombi badala ya kukiri kuwa ipo na kuja na strategy sahihi za kupambana nayo.Taifa linaangamia kwa sababu ya akili kama za mleta mada!
Tulishaomba. Huku ni kumsumbua Mungu. Huu ni wakati wa kushukuru na kumsifu.
Jifunze kwa Yehoshafa vMungu sio mwanadamu,formula za kuomba ni nyingi mkuu ikiwamo toba
Hata pensioner Museveni aliliona hiliAkili za wapi hizi!Mungu huwa halipi maombi bali huwa analipa jitihada.Usitegemee Corona itaisha Tanzania kwa kujidanganya kuwa haipo na kujificha kwenye mgongo wa maombi badala ya kukiri kuwa ipo na kuja na strategy sahihi za kupambana nayo.Taifa linaangamia kwa sababu ya akili kama za mleta mada!
Utapotea kwa kukata tamaa wewe.Sidhani kama hayo maombi yako yatafua dafu safari hii!! Maana kasi ya hawa wadudu safari hii inaogopesha. Hadi msimu wa kiangazi uanze, tutakuwa tumepoteana kweli kweli.
Kiongozi wako jana alisali kanisa gani kwenye ibada ya Jumatano ya Majivu? Tuanzie hapa kwanza. Mimi niikuwa mbali na luninga.N
Ndiyo maana nikamuomba Mungu atupe njia ya nn cha kufanya na kumpa hekima kiongozi wetu tufanye nn...Mimi naomba Nyungu napiga na barakoa nimeanza kuzingatia sikusema tuombe tu Mungu tusichukue tahadhari...