#COVID19 Serikali isiwaache Wananchi katika mataa kwenye suala la Corona
UMeongea vizuri,watu wanasubiri tangazo kuna corona
They don't take any precautions.
Tumeambiwa tunawe na maji tiririka, tuvae barakoa,tutumie sanitizer, tukeep distance
Bado tunasubiri tangazo kuna nchi INA corona, this is ignorance of the highest caliber
Watu wanawaamini wanasiasa kuliko hata wanavyojiamini wenyewe na roho zao, wabongo hatuwezi acha uchiinga, labda 'uchiinga' utuhurumie utuache..!
 
Kwenye kumswalia maalim naona barakoa zimevaliwa kama kawa! Taratibu akili inarudi.
 
Bado na zidi kukazia maana nilitoa uzi ukafutwa ili kufurahisha au kuficha kama viongozi wengine kuwa ugonjwa hakuna.

Mambo mengine kama ijakugusa kuondokewa na ndugu,rafiki na jamaa.JF mnatabia ya kuficha ukweli sasa maana tukisema ukweli hata kwa tafsida bado mtafuta .hii ni sehemu ya kutoa ya moyoni.

Je, serikali ikikubali kuwa hili janga sio la maombi ni kuchukua tahadhari na vitu gani kutusaidia ili kupunguza idadi kwa wanao faliki na hili gonjwa.

Kama mtafuta basi mifano mizuri inawala mpaka viongozi wa serekali na mkifuta itaondoka na mfanyakazi wa jf.

Ukweli ni mzuri
 
Tunasubiri nyungu version 4.5 kutoka kwa muheshimiwa jafo , huku tukiendelea kumuomba mungu atuepushe
Hivi nyumba yako ikivuja utangoja balozi wa nyumba 10 aje akwambie ziba? Nyungu mbona imeshatangazwa mkuu?
 
Maombi bila hatua ni ujinga mkubwa tu. Kawahug wenye korona afu ukaombe uone kama Mungu atakusikia
 
Mungu aliwaumba na maarifa mjikinge..mnamchosha tu kwa upuuzi huu, kuendekeza unafiki.
 
UMeongea vizuri,watu wanasubiri tangazo kuna corona
They don't take any precautions.
Tumeambiwa tunawe na maji tiririka, tuvae barakoa,tutumie sanitizer, tukeep distance
Bado tunasubiri tangazo kuna nchi INA corona, this is ignorance of the highest caliber
Kwani kutoa tamko shi ngapi?
 
Kwanza viongozi wakubali ipo hatuwezi ili tuoneshe utiifu kwa Mungu
Kama ulishatangaziwa Nyungu na Jafo na Mzee mara kibao wanasema tahadhari zichukuliwe au ulitaka nn zaidi au formal Ann ouncement? Nadhani picha ya formal umeiona clear siku mbili tatu hizi asikiaye na afahamu.
 
Kama ulishatangaziwa Nyungu na Jafo na Mzee mara kibao wanasema tahadhari zichukuliwe au ulitaka nn zaidi au formal Ann ouncement? Nadhani picha ya formal umeiona clear siku mbili tatu hizi asikiaye na afahamu.
Atujakataa ila ata kipindi kile imepamba moto watu walikua bado hawataki kuvaa barakoa😷
 
Tulishaomba. Huku ni kumsumbua Mungu. Huu ni wakati wa kushukuru na kumsifu.

Jifunze kwa Yehoshafat
 
Sidhani kama hayo maombi yako yatafua dafu safari hii!! Maana kasi ya hawa wadudu safari hii inaogopesha. Hadi msimu wa kiangazi uanze, tutakuwa tumepoteana kweli kweli.
 
N
Akili za wapi hizi!Mungu huwa halipi maombi bali huwa analipa jitihada.Usitegemee Corona itaisha Tanzania kwa kujidanganya kuwa haipo na kujificha kwenye mgongo wa maombi badala ya kukiri kuwa ipo na kuja na strategy sahihi za kupambana nayo.Taifa linaangamia kwa sababu ya akili kama za mleta mada!
Ndiyo maana nikamuomba Mungu atupe njia ya nn cha kufanya na kumpa hekima kiongozi wetu tufanye nn. Mimi naomba Nyungu napiga na barakoa nimeanza kuzingatia sikusema tuombe tu Mungu tusichukue tahadhari.
 
Akili za wapi hizi!Mungu huwa halipi maombi bali huwa analipa jitihada.Usitegemee Corona itaisha Tanzania kwa kujidanganya kuwa haipo na kujificha kwenye mgongo wa maombi badala ya kukiri kuwa ipo na kuja na strategy sahihi za kupambana nayo.Taifa linaangamia kwa sababu ya akili kama za mleta mada!
Hata pensioner Museveni aliliona hili
 
N

Ndiyo maana nikamuomba Mungu atupe njia ya nn cha kufanya na kumpa hekima kiongozi wetu tufanye nn...Mimi naomba Nyungu napiga na barakoa nimeanza kuzingatia sikusema tuombe tu Mungu tusichukue tahadhari...
Kiongozi wako jana alisali kanisa gani kwenye ibada ya Jumatano ya Majivu? Tuanzie hapa kwanza. Mimi niikuwa mbali na luninga.
 
Nitawalaumu waandishi wa habari na wamiliki wa vyombo vya habari maana wameshindwa elimisha jamii.
 
Back
Top Bottom