#COVID19 Serikali isiwaache Wananchi katika mataa kwenye suala la Corona
Madhara ya kuamini hakuna corona haya.
lii3.jpg
 
Ningepiga lockdown kuanzia saa sita usiku hadi kumi asubuhi, full kunawa mikono kwa sabuni ya mche, update Kila miezi mitatu, no kifo, ni kupona tu, wakubwa wangeshusha pressure, vinginevyo sisi ndo tu tutapigwa lock up na jumuia ya kimataifa.
Unafikiri hiyo lockdown ya usiku itasaidia chochote?

Kuhusu Jumuiya ya kimataifa of course we have to deal with them wisely.

Sisi sio kisiwa, Na Corona haichagua nchi, binadamu, colour, continent.
 
Ni makosa kuwa na magonjwa mengine au ni kuwa less human? Hivyo kwako wenye magonjwa mengine na wafe tu?

Kwamba ulipata ukapona ndiyo kipimo sasa cha kuwa huu ugonjwa si hoja?

Walioangalia antibodies zako ni hawa hawa wanaosema corona imeondoshwa na Mungu Tanzania?

Mumiani hawajawahi kustuliwa na vifo vyovyote kwani kila kifo kwao ni nyama ya kula.
Taratibu, tulia kidogo tutaongea baadaye.
 
Sio lazima tuwe na lockdown ila tukivaa barakoa, kutopeana mikono (makanisani, misikitini na kwingine), kuosha mikono na maji safi, kusanitize na kujipa nafasi (social distancing) tutapunguza maambukizi kwa kiwango kikubwa sana..

hata baa au mgahawani, zile meza zilivyowekwa tayari kuna nafasi ya kusocial distance.. Hakuna anayesema tuingie kwenye hard lockdown kama ya Uingereza au Sauzi, ila tunasema (1) acknowledge uwepo wa corona (2) toa tahadhari kwa wananchi ambao ndio walipo kodi na hivyo ni lazima wajue muenendo wa nchi yao (3) control the narrative kwa kuwasaidia wasioelewa jinsi ya kujikinga, kujitibu na kusaidia wengine instead of kuogopa..

Tuache kutengeneza correlation ya covid (corona) na lockdown..
Agreed 100%.
 
I am not talking about perfectlion even Baba wa Taifa was not perfect, but this guy is a DISASTER and DISGRACEFUL for the country as he is unfit to lead anything under the sun.
Duh, sasa amefikaje hapo alipo sasa? Halafu kama hana quality yoyote ya kiuongozi, kwanini wengine wanamsikiliza na kumpigia kura?
 
Kwa upumbavu uliokithiri ndiyo kafika hapo alipo. Nchi zenye utawala wa sheria wizi na ufisadi alioufanya huyu tangu awamu ya tatu ungeshampeleka lupango kwa mvua nyingi tu. October 28 kaua, kaiba huku akisaidiwa na polisiccm na tume fake ili kupora uchaguzi. Hulijui hilo la kupora uchaguzi kwa njia ya mtutu?
Duh, sasa amefikaje hapo alipo sasa? Halafu kama hana quality yoyote ya kiuongozi, kwanini wengine wanamsikiliza na kumpigia kura?
 
Kwanini unafikiri maambukizi pengine ni madogo sana Tz hali ya kuwa kuna kila sababu ya kuwa na maambukizi kuzidi hata majirani zetu? Maana kama majirani zetu ugonjwa unawasumbua na ndio wanazingatia tahadhari za kujikinga na huo ugonjwa basi ni akili ya kawaida tu kujua sie tusiozingatia tahadhari zozote za kujikinga tutakuwa na maambukizi makubwa.
Jomba usilete mawazo ya vitabuni na assumptions zake...utapotea kabisa,. Weka pia na sehem ya imani kwa Mungu...au huamini Tena kwamba Mungu anaponya. Kama Mungu hashindwi na lolote what's this Corona in front of him..
 
Jomba usilete mawazo ya vitabuni na assumptions zake...utapotea kabisa,. Weka pia na sehem ya imani kwa Mungu...au huamini Tena kwamba Mungu anaponya. Kama Mungu hashindwi na lolote what's this Corona in front of him..
KATU HAWEZI KUELEWA KABISA UNACHOSEMA, HUYO NI akili ndogo
 
Jomba usilete mawazo ya vitabuni na assumptions zake...utapotea kabisa,. Weka pia na sehem ya imani kwa Mungu...au huamini Tena kwamba Mungu anaponya. Kama Mungu hashindwi na lolote what's this Corona in front of him..
Hilo swali halikuwa kwa nyie ambao mnaamini hakuna corona bali kwa watu wenye kuamini corona ipo ila maambukizi yake ni machache, ndio nimehoji iweje maambukizi yawe machache hali ya kuwa hakuna tunachofanya kuzuia maambukizi?

Kuhusu suala la Mungu kuponya sina shaka kabisa,ila Tz tulianza kuacha kutoa takwimu za ugonjwa wakati ugonjwa bado upo kisha ndio tukaja kutangaza kuwa corona imeondoka kwa maombi.
 
Kwa upumbavu uliokithiri ndiyo kafika hapo alipo. Nchi zenye utawala wa sheria wizi na ufisadi alioufanya huyu tangu awamu ya tatu ungeshampeleka lupango kwa mvua nyingi tu. October 28 kaua, kaiba huku akisaidiwa na polisiccm na tume fake ili kupora uchaguzi. Hulijui hilo l kupora uchaguzi kwa njia ya mtutu?
Well it was a bit over the top. Hasa kuwaengua wagombea wa upinzani.

Lakini angeshinda hata kama ungekuwa 100% free, fair, 100% legit election.

Unajua Sera ya matusi, kejeli, dharau hazijawahi kumpa mtu ushindi, hasa upinzani. Dignity, respect, seriousness, mikakati thabiti ndio ushindi unapopatikana.
 
Hilo swali halikuwa kwa nyie ambao mnaamini hakuna corona bali kwa watu wenye kuamini corona ipo ila maambukizi yake ni machache, ndio nimehoji iweje maambukizi yawe machache hali ya kuwa hakuna tunachofanya kuzuia maambukizi?

Kuhusu suala la Mungu kuponya sina shaka kabisa,ila Tz tulianza kuacha kutoa takwimu za ugonjwa wakati ugonjwa bado upo kisha ndio tukaja kutangaza kuwa corona imeondoka kwa maombi.
Mbona hamtaki kukiri kama wanavyokiri WHO, nyie wababaduaji wa mambo!??? Hata ungefichaje takwimu, kama dude lingekuwepo lingeshatulipukia ileee kitambo vibaya mno tu. That's simple logic, simple Mathematics, and nothing like rocket [emoji573] science ama Einstein genius inayohitajika.
 
Well it was a bit over the top. Hasa kuwaengua wagombea wa upinzani.

Lakini angeshinda hata kama ungekuwa 100% free and fair election.

Unajua Sera ya matusi, kejeli, dharau hazijawahi kumpa mtu ushindi, hasa upinzani. Dignity, respect, seriousness, mikakati thabiti ndio ushindi unapopatikana.
Well-said. Insiders wengi tu wa upande wao walimwonya Mr Mzungu kwa sera yake duni ambayo isingekuwa na faida yoyote kwenye kampeni tangu ile kuzunguka kutafuta udhamini, akawa hardheaded.
 
Hebu acha kujitoa ufahamu! Ila sera za kidikteta, mauaji, kudharau katiba, Bunge, mahakama, ubadhirifu wa pesa za walipa kodi kwa maamuzi yasiyo na tija kwa Watanzania, kusema uongo, kupindisha sheria za Nchi kwa kubambikia Watanzania kesi fake ili kuwafunga bila dhamana na kutishia vipigo kwa akina mama na kuwatisha wanahabari ndiyo zinashinda uchaguzi siyo?
Well it was a bit over the top. Hasa kuwaengua wagombea wa upinzani.


Lakini angeshinda hata kama ungekuwa 100% free and fair election.

Unajua Sera ya matusi, kejeli, dharau hazijawahi kumpa mtu ushindi, hasa upinzani. Dignity, respect, seriousness, mikakati thabiti ndio ushindi unapopatikana.
 
Kwa upumbavu uliokithiri ndiyo kafika hapo alipo. Nchi zenye utawala wa sheria wizi na ufisadi alioufanya huyu tangu awamu ya tatu ungeshampeleka lupango kwa mvua nyingi tu. October 28 kaua, kaiba huku akisaidiwa na polisiccm na tume fake ili kupora uchaguzi. Hulijui hilo la kupora uchaguzi kwa njia ya mtutu?

Unajua hata kama kuna ufisadi, upumbavu bado ibabidi uwe na ushawishi fulani kwa mafisadi wenzio na Watanzania wapumbavu kama unavyowaita wakupigie kura.
 
Hebu acha kujitoa ufahamu! Ila sera za kidikteta, mauaji, kudharau katiba, Bunge, mahakama, ubadhirifu wa pesa za walipa kodi kwa maamuzi yasiyo na tija kwa Watanzania, kusema uongo, kupindisha sheria za Nchi kwa kubambikia Watanzania kesi fake ili kuwafunga bila dhamana na kutishia vipigo kwa akina mama na kuwatisha wanahabari ndiyo zinashinda uchaguzi siyo?


Kwahiyo unafikiri Upinzani ungeweza kushinda uchaguzi?

By the way mimi siko CCM.
 
Well-said. Insiders wengi tu wa upande wao walimwonya Mr Mzungu kwa sera yake duni ambayo isingekuwa na faida yoyote kwenye kampeni tangu ile kuzunguka kutafuta udhamini, akawa hardheaded.


Nafikiri Dr Slaa, Nyalandu au Mbowe wangefanya vizuri zaidi. They are dignified, serious, don't look for cheap popularity, mitandao.
 
Back
Top Bottom