Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nani kasema tuchukue tahadhari?Kwahiyo tukusaidiaje??? Mshaambiwa chukua tahadhari
Wala wwe usichukuwe tahadhari subiri hadi uambiwe,hata Michepuko wwe gonga kavu usitumie Kinga hadi hapo mtakapo pewa tahadhari!!Nani kasema tuchukue tahadhari?
Sasa mbona kichwa cha habari hakina uhusiano na habari husika??Sio siri kuna mfanyakazi mwenzangu alikuwa anaumwa kweli hatukufahamu kama ni Covid-19...Alikuwa na mafua makali sema alikuwa anakuja kazini kama kawaida na sasa hivi yupo okay..
Tafuta mmea unaoitwa " Umulavumba " chuma majani yake tafuna usimeze au yachemshe kama vile majani ya chai, kunywa kwa kiasi hata ndani ya masaa 6-8, kisha lete mrejesho baada ya kupona. Waulize waha watakuonyesha mmea wenyewe.Sio siri kuna mfanyakazi mwenzangu alikuwa anaumwa kweli hatukufahamu kama ni Covid-19...Alikuwa na mafua makali sema alikuwa anakuja kazini kama kawaida na sasa hivi yupo okay.....
hii nchi ni tajiri haiwezi kuwa na Corona huo ni uzushi au nasema uongo ndugu zanguuuuSio siri kuna mfanyakazi mwenzangu alikuwa anaumwa kweli hatukufahamu kama ni Covid-19...Alikuwa na mafua makali sema alikuwa anakuja kazini kama kawaida na sasa hivi yupo okay....
Tuletee jani hilo tulijue wote hii ni vita mulaTafuta mmea unaoitwa " Umulavumba " chuma majani yake tafuna usimeze au yachemshe kama vile majani ya chai, kunywa kwa kiasi hata ndani ya masaa 6-8, kisha lete mrejesho baada ya kupona. Waulize waha watakuonyesha mmea wenyewe.