Cash Generating Unit
JF-Expert Member
- Jan 12, 2019
- 13,286
- 39,418
Wakuu me mbona nashinda kariakoo daily na sipati corona?? Au askari wenu wapo weak?? Kuna watu wanaumwa mafua wanasema corona[emoji23][emoji23][emoji119][emoji119]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kweli mdau...covid 19 ipo..ila kuna watu wanajitoa ufahamu humu....kwamba hakuna...mpaka jamaa zao wafariki ndio wataamini hii kitu ipo.Watu wanakufa kila kuchwao na ina sikitisha Tanzania limekuwa ni Taifa la wasioweza kuhoji,
Kuna suala limetokea Jana Kibaha Kongowe ni hatari sana , watu sita wamekufa kwa sababu ya Corona
Watu wanakufa wanakufa wanakufa nasema wanakufa
how did that happen? watu sita kwa mpigoKibaha Kongowe
Wakuu me mbona nashinda kariakoo daily na sipati corona?? Au askari wenu wapo weak?? Kuna watu wanaumwa mafua wanasema corona[emoji23][emoji23][emoji119][emoji119]
Kwa logic yako ya hovyo kwa nini basi kuna hospitali na madawa ya kutibu watu?Generally, watu wanakufa na kuzaliwa dunia nzima
We unataka uishi milele we Mungu??
Unakufa wanakuja wengine
Ugonjwa hatari wa Ndui ulipoingia duniani kama watu wangesema kuwa kufa ni jambo la kawaida basi leo hii kusingekuwa na binadamu yeyote kwenye hii dunia!Generally, watu wanakufa na kuzaliwa dunia nzima
We unataka uishi milele we Mungu??
Unakufa wanakuja wengine
Kufa kusikunyime usingizi mkuuKwa logic yako ya hovyo kwa nini basi kuna hospitali na madawa ya kutibu watu?
Kwa nini mtu afe aache mjane, watoto na hata wazazi wanaomtegemea kwa ugonjwa unaozuilika?
We bure kabisa
Kama unashinda tu kariakoo daily majibu ya fast kazi huna,jaribu kupita Temeke hospital leo?
Kama nauli huna weka namba yako ya tigo nikupe nauli
SASA KAMA UNAJUA CORONA IPO NA INAUA, KWANI UMEFICHWA NINI SASA NAWAKATI WEWE UNAJUA??Watu wanakufa kila kuchwao na ina sikitisha Tanzania limekuwa ni Taifa la wasioweza kuhoji,
Kuna suala limetokea Jana Kibaha Kongowe ni hatari sana , watu sita wamekufa kwa sababu ya Corona
Watu wanakufa wanakufa wanakufa nasema wanakufa
Hawa watu wote wana akili kama za ''baba yao''. Mzee hajui historia inaonyesha dunia imeshakumbwa na magonjwa ya mlipuko ya kuambukiza kwa vipindi kadhaa na juhudi za wataalam ndiyo zimefanya hata wengi wa sisi tuwepo duniani sasa na wengine hata kupata urais. Milipuko ya magonjwa ilipokuwa inatokea wangekuwa wanasema ''chapeni kazi hakuna ugonjwa'' au wangetemea kumwomba Mungu peke yake leo hii dunia isingekuwa kama ilivyo. They are more than stupids.Ugonjwa hatari wa Ndui ulipoingia duniani kama watu wangesema kuwa kufa ni jambo la kawaida basi leo hii kusingekuwa na binadamu yeyote kwenye hii dunia!
Watu sita..!?Kuna suala limetokea Jana Kibaha Kongowe ni hatari sana , watu sita wamekufa kwa sababu ya Corona
Wewe na panya hamna tofauti kiakili. Au pengine panya anakuzidi? Nasema hivyo kwa sababu ili panya ajue kitu ni hatari basi ni mpaka aone panya mwenzake amedhurika.Nauli ya nn mkuu, nikiona ndugu yangu au rafiki zangu wa karibu wameugua nitaamini ila bado siamin hii kitu we endelea kujifukiza mkuu piga nyungu
oya fikiria ka mtu aliyesoma hata darasa la nne akafika...Corona ipo na inauwa...mnapo achilia swala hili na kuishi kikawaida bila ya hatua zozote zile za kujikinga ...ugonjwa unasambaa sana.. na ni hatari maana hauuwi kila mtu na pia unafanana na daliuli za homa hivyo sio rahisi kuutambua ...but linauwa saana....stupidGenerally, watu wanakufa na kuzaliwa dunia nzima
We unataka uishi milele we Mungu??
Unakufa wanakuja wengine
Hujaona MTU kafia hospitaliniKwa logic yako ya hovyo kwa nini basi kuna hospitali na madawa ya kutibu watu?
Kwa nini mtu afe aache mjane, watoto na hata wazazi wanaomtegemea kwa ugonjwa unaozuilika?
We bure kabisa
Sasa mkuu bora ungeniita pumbavu ukiniita stupid watu hawaelewioya fikiria ka mtu aliyesoma hata darasa la nne akafika...Corona ipo na inauwa...mnapo achilia swala hili na kuishi kikawaida bila ya hatua zozote zile za kujikinga ...ugonjwa unasambaa sana.. na ni hatari maana hauuwi kila mtu na pia unafanana na daliuli za homa hivyo sio rahisi kuutambua ...but linauwa saana....stupid
Kuna director mmoja kapoteza ndugu 3 ndani ya siku 2 kwa changamoto ya upumuajiWatu wanakufa kila kuchwao na ina sikitisha Tanzania limekuwa ni Taifa la wasioweza kuhoji,
Kuna suala limetokea Jana Kibaha Kongowe ni hatari sana , watu sita wamekufa kwa sababu ya Corona
Watu wanakufa wanakufa wanakufa nasema wanakufa