chrisbleez
JF-Expert Member
- Dec 28, 2016
- 752
- 1,239
Yes. Miaka ya nyuma ilikuwa tunaita tu mafua makali.
Kila mwezi Desemba wengi hupatwaga na hilo tatizo ila wakati huu hili tatizo limebatizwa jina jipya na hapa ndio kwenye tatizo.
Sasa unajuanini ni kwasababu ya hofu[emoji1787]