Serikali iwe Makini Na Lissu ili Asije Fanya utakatishaji wa pesa na kuingiza Pesa Chafu Nchini Kwa ajili ya kuvuruga Amani ya Taifa letu

Serikali iwe Makini Na Lissu ili Asije Fanya utakatishaji wa pesa na kuingiza Pesa Chafu Nchini Kwa ajili ya kuvuruga Amani ya Taifa letu

Lucas Mwashambwa

JF-Expert Member
Joined
Jul 28, 2022
Posts
28,722
Reaction score
20,610
Ndugu zangu Watanzania,

Serikali yetu kupitia vyombo vyetu vya ulinzi na usalama kupitia idara zake zote za usalama.ziwe macho na kuwa karibu sana na lissu na kumfuatilia nyendo zake pamoja na Mambo yake yote.

Kwa kuwa ni wazi lissu anatambua na kufahamu wazi kabisa hawezi kupita na kuchaguliwa kuwa Mwenyekiti wa CHADEMA.hivyo lissu anaweza kutumia wakati na kipindi hiki cha uchaguzi kupitishia pesa chafu pamoja na kufanya utakatishaji wa pesa kutoka nje ya Nchi,.ambazo atazitumia kuvuruga amani ,utulivu na usalama wa Taifa letu.

Anaweza kufadhiliwa na wenye nia mbaya na chuki binafsi na serikali yetu kumpatia mapesa Mengi wakati huu halafu aje asitumie baada ya kumalizika kwa uchaguzi wao wa ndani kuleta uchochezi na kuhamasisha vurugu,ubaguzi ,chuki na mgawanyiko miongoni mwa watanzania.

Ikumbukwe ya kuwa Lissu hana uchungu na Taifa hili maana hata familia yake upo nje ya Nchi ambako hata yeye mwenyewe huenda na kushinda huko wakati wote.nawakumbusheni pia ya kuwa Watoto wa lissu wana uraia wa nje.kwa hiyo lissu hawezi kuumia wala kusikitika wala kuwa na uchungu machafuko yakitokea katika Taifa letu.maana hiyo ndio kiu yake kubwa inayochochewa na uchu,uroho na tamaa ya madaraka iliyo mjaa kifuani pake.

Kwa hiyo ni muhimu kwa idara zetu kutupia jicho kwake ili asije ingiza mapesa machafu na utakatishaji wa pesa zitakazotumika kuunda magenge na vikundi vya kujifanya vya kiharakati ambavyo vitaleta uchochezi hapa Nchini.

ikumbukwe kuwa hiki ni kipindi cha kuelekea uchaguzi Mkuu ambapo siyo wote wanaofurahia kuona Taifa letu likiendelea kutamalaki kwa amani na kuwa kisiwa cha amani Barani Afrika na Duniani kote kwa ujumla wake.

wengine hatuna kwa kukimbilia yakitokea ya kutokea kama ilivyo akina lissu ambao wao huhamasisha vurugu huku wakiwa na tiketi ya ndege mifukoni kwa ajili ya kukwea ndege na kwenda ulaya huko kutumbua Maisha. Sasa wewe mtanzania mwenzangu ni vyema ukalijua hili mapema na kuwa mzalendo kwa Taifa hili.

Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa Maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
 
Ndugu zangu Watanzania,

Serikali yetu kupitia vyombo vyetu vya ulinzi na usalama kupitia idara zake zote za usalama.ziwe macho na kuwa karibu sana na lissu na kumfuatilia nyendo zake pamoja na Mambo yake yote.

Kwa kuwa ni wazi lissu anatambua na kufahamu wazi kabisa hawezi kupita na kuchaguliwa kuwa Mwenyekiti wa CHADEMA.hivyo lissu anaweza kutumia wakati na kipindi hiki cha uchaguzi kupitishia pesa chafu pamoja na kufanya utakatishaji wa pesa kutoka nje ya Nchi,.ambazo atazitumia kuvuruga amani ,utulivu na usalama wa Taifa letu.

Anaweza kufadhiliwa na wenye nia mbaya na chuki binafsi na serikali yetu kumpatia mapesa Mengi wakati huu halafu aje asitumie baada ya kumalizika kwa uchaguzi wao wa ndani kuleta uchochezi na kuhamasisha vurugu,ubaguzi ,chuki na mgawanyiko miongoni mwa watanzania.

Ikumbukwe ya kuwa Lissu hana uchungu na Taifa hili maana hata familia yake upo nje ya Nchi ambako hata yeye mwenyewe huenda na kushinda huko wakati wote.nawakumbusheni pia ya kuwa Watoto wa lissu wana uraia wa nje.kwa hiyo lissu hawezi kuumia wala kusikitika wala kuwa na uchungu machafuko yakitokea katika Taifa letu.maana hiyo ndio kiu yake kubwa inayochochewa na uchu,uroho na tamaa ya madaraka iliyo mjaa kifuani pake.

Kwa hiyo ni muhimu kwa idara zetu kutupia jicho kwake ili asije ingiza mapesa machafu na utakatishaji wa pesa zitakazotumika kuunda magenge na vikundi vya kujifanya vya kiharakati ambavyo vitaleta uchochezi hapa Nchini.

ikumbukwe kuwa hiki ni kipindi cha kuelekea uchaguzi Mkuu ambapo siyo wote wanaofurahia kuona Taifa letu likiendelea kutamalaki kwa amani na kuwa kisiwa cha amani Barani Afrika na Duniani kote kwa ujumla wake.

wengine hatuna kwa kukimbilia yakitokea ya kutokea kama ilivyo akina lissu ambao wao huhamasisha vurugu huku wakiwa na tiketi ya ndege mifukoni kwa ajili ya kukwea ndege na kwenda ulaya huko kutumbua Maisha. Sasa wewe mtanzania mwenzangu ni vyema ukalijua hili mapema na kuwa mzalendo kwa Taifa hili.

Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa Maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Wakutakatisha fweza chafu huwaoni Luca?
 
Lucas Mwashambwa tafadhali zoom
20250111_161520.jpg
 
Ndugu zangu Watanzania,

Serikali yetu kupitia vyombo vyetu vya ulinzi na usalama kupitia idara zake zote za usalama.ziwe macho na kuwa karibu sana na lissu na kumfuatilia nyendo zake pamoja na Mambo yake yote.

Kwa kuwa ni wazi lissu anatambua na kufahamu wazi kabisa hawezi kupita na kuchaguliwa kuwa Mwenyekiti wa CHADEMA.hivyo lissu anaweza kutumia wakati na kipindi hiki cha uchaguzi kupitishia pesa chafu pamoja na kufanya utakatishaji wa pesa kutoka nje ya Nchi,.ambazo atazitumia kuvuruga amani ,utulivu na usalama wa Taifa letu.

Anaweza kufadhiliwa na wenye nia mbaya na chuki binafsi na serikali yetu kumpatia mapesa Mengi wakati huu halafu aje asitumie baada ya kumalizika kwa uchaguzi wao wa ndani kuleta uchochezi na kuhamasisha vurugu,ubaguzi ,chuki na mgawanyiko miongoni mwa watanzania.

Ikumbukwe ya kuwa Lissu hana uchungu na Taifa hili maana hata familia yake upo nje ya Nchi ambako hata yeye mwenyewe huenda na kushinda huko wakati wote.nawakumbusheni pia ya kuwa Watoto wa lissu wana uraia wa nje.kwa hiyo lissu hawezi kuumia wala kusikitika wala kuwa na uchungu machafuko yakitokea katika Taifa letu.maana hiyo ndio kiu yake kubwa inayochochewa na uchu,uroho na tamaa ya madaraka iliyo mjaa kifuani pake.

Kwa hiyo ni muhimu kwa idara zetu kutupia jicho kwake ili asije ingiza mapesa machafu na utakatishaji wa pesa zitakazotumika kuunda magenge na vikundi vya kujifanya vya kiharakati ambavyo vitaleta uchochezi hapa Nchini.

ikumbukwe kuwa hiki ni kipindi cha kuelekea uchaguzi Mkuu ambapo siyo wote wanaofurahia kuona Taifa letu likiendelea kutamalaki kwa amani na kuwa kisiwa cha amani Barani Afrika na Duniani kote kwa ujumla wake.

wengine hatuna kwa kukimbilia yakitokea ya kutokea kama ilivyo akina lissu ambao wao huhamasisha vurugu huku wakiwa na tiketi ya ndege mifukoni kwa ajili ya kukwea ndege na kwenda ulaya huko kutumbua Maisha. Sasa wewe mtanzania mwenzangu ni vyema ukalijua hili mapema na kuwa mzalendo kwa Taifa hili.

Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa Maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Una umri gani mkuu? Na elimu pia??
 
Ndugu zangu Watanzania,

Serikali yetu kupitia vyombo vyetu vya ulinzi na usalama kupitia idara zake zote za usalama.ziwe macho na kuwa karibu sana na lissu na kumfuatilia nyendo zake pamoja na Mambo yake yote.

Kwa kuwa ni wazi lissu anatambua na kufahamu wazi kabisa hawezi kupita na kuchaguliwa kuwa Mwenyekiti wa CHADEMA.hivyo lissu anaweza kutumia wakati na kipindi hiki cha uchaguzi kupitishia pesa chafu pamoja na kufanya utakatishaji wa pesa kutoka nje ya Nchi,.ambazo atazitumia kuvuruga amani ,utulivu na usalama wa Taifa letu.

Anaweza kufadhiliwa na wenye nia mbaya na chuki binafsi na serikali yetu kumpatia mapesa Mengi wakati huu halafu aje asitumie baada ya kumalizika kwa uchaguzi wao wa ndani kuleta uchochezi na kuhamasisha vurugu,ubaguzi ,chuki na mgawanyiko miongoni mwa watanzania.

Ikumbukwe ya kuwa Lissu hana uchungu na Taifa hili maana hata familia yake upo nje ya Nchi ambako hata yeye mwenyewe huenda na kushinda huko wakati wote.nawakumbusheni pia ya kuwa Watoto wa lissu wana uraia wa nje.kwa hiyo lissu hawezi kuumia wala kusikitika wala kuwa na uchungu machafuko yakitokea katika Taifa letu.maana hiyo ndio kiu yake kubwa inayochochewa na uchu,uroho na tamaa ya madaraka iliyo mjaa kifuani pake.

Kwa hiyo ni muhimu kwa idara zetu kutupia jicho kwake ili asije ingiza mapesa machafu na utakatishaji wa pesa zitakazotumika kuunda magenge na vikundi vya kujifanya vya kiharakati ambavyo vitaleta uchochezi hapa Nchini.

ikumbukwe kuwa hiki ni kipindi cha kuelekea uchaguzi Mkuu ambapo siyo wote wanaofurahia kuona Taifa letu likiendelea kutamalaki kwa amani na kuwa kisiwa cha amani Barani Afrika na Duniani kote kwa ujumla wake.

wengine hatuna kwa kukimbilia yakitokea ya kutokea kama ilivyo akina lissu ambao wao huhamasisha vurugu huku wakiwa na tiketi ya ndege mifukoni kwa ajili ya kukwea ndege na kwenda ulaya huko kutumbua Maisha. Sasa wewe mtanzania mwenzangu ni vyema ukalijua hili mapema na kuwa mzalendo kwa Taifa hili.

Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa Maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Kama kuwa CHAWA no Muhimu, CCM wameramba galasa kuwa na CHAWA kama huyu ambaye kila siku anapost UHARO wa Dengu na mtori😅😅😅🤣🤣.

Ni bora kufuga NGURUWE kuliko kuwa na mtu kama huyu🤔🤔🤔😅😅😅🤣🤣🚴🤔🤔🚴🚴
 
Kama kuwa CHAWA no Muhimu, CCM wameramba galasa kuwa na CHAWA kama huyu ambaye kila siku anapost UHARO wa Dengu na mtori😅😅😅🤣🤣.

Ni bora kufuga NGURUWE kuliko kuwa na mtu kama huyu🤔🤔🤔😅😅😅🤣🤣🚴🤔🤔🚴🚴
Ungeacha wenye akili Timamu wajadili hoja
 
Ndugu zangu Watanzania,

Serikali yetu kupitia vyombo vyetu vya ulinzi na usalama kupitia idara zake zote za usalama.ziwe macho na kuwa karibu sana na lissu na kumfuatilia nyendo zake pamoja na Mambo yake yote.

Kwa kuwa ni wazi lissu anatambua na kufahamu wazi kabisa hawezi kupita na kuchaguliwa kuwa Mwenyekiti wa CHADEMA.hivyo lissu anaweza kutumia wakati na kipindi hiki cha uchaguzi kupitishia pesa chafu pamoja na kufanya utakatishaji wa pesa kutoka nje ya Nchi,.ambazo atazitumia kuvuruga amani ,utulivu na usalama wa Taifa letu.

Anaweza kufadhiliwa na wenye nia mbaya na chuki binafsi na serikali yetu kumpatia mapesa Mengi wakati huu halafu aje asitumie baada ya kumalizika kwa uchaguzi wao wa ndani kuleta uchochezi na kuhamasisha vurugu,ubaguzi ,chuki na mgawanyiko miongoni mwa watanzania.

Ikumbukwe ya kuwa Lissu hana uchungu na Taifa hili maana hata familia yake upo nje ya Nchi ambako hata yeye mwenyewe huenda na kushinda huko wakati wote.nawakumbusheni pia ya kuwa Watoto wa lissu wana uraia wa nje.kwa hiyo lissu hawezi kuumia wala kusikitika wala kuwa na uchungu machafuko yakitokea katika Taifa letu.maana hiyo ndio kiu yake kubwa inayochochewa na uchu,uroho na tamaa ya madaraka iliyo mjaa kifuani pake.

Kwa hiyo ni muhimu kwa idara zetu kutupia jicho kwake ili asije ingiza mapesa machafu na utakatishaji wa pesa zitakazotumika kuunda magenge na vikundi vya kujifanya vya kiharakati ambavyo vitaleta uchochezi hapa Nchini.

ikumbukwe kuwa hiki ni kipindi cha kuelekea uchaguzi Mkuu ambapo siyo wote wanaofurahia kuona Taifa letu likiendelea kutamalaki kwa amani na kuwa kisiwa cha amani Barani Afrika na Duniani kote kwa ujumla wake.

wengine hatuna kwa kukimbilia yakitokea ya kutokea kama ilivyo akina lissu ambao wao huhamasisha vurugu huku wakiwa na tiketi ya ndege mifukoni kwa ajili ya kukwea ndege na kwenda ulaya huko kutumbua Maisha. Sasa wewe mtanzania mwenzangu ni vyema ukalijua hili mapema na kuwa mzalendo kwa Taifa hili.

Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa Maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Una shida Mahali
 
Ungeacha wenye akili Timamu wajadili hoja

Kama kuwa CHAWA no Muhimu, CCM wameramba galasa kuwa na CHAWA kama huyu ambaye kila siku anapost UHARO wa Dengu na mtori😅😅😅🤣🤣.

Ni bora kufuga NGURUWE kuliko kuwa na mtu kama huyu🤔🤔🤔😅😅😅🤣🤣🚴🤔🤔🚴🚴

Bora angalau utapata futa
 
Ndugu zangu Watanzania,

Serikali yetu kupitia vyombo vyetu vya ulinzi na usalama kupitia idara zake zote za usalama.ziwe macho na kuwa karibu sana na lissu na kumfuatilia nyendo zake pamoja na Mambo yake yote.

Kwa kuwa ni wazi lissu anatambua na kufahamu wazi kabisa hawezi kupita na kuchaguliwa kuwa Mwenyekiti wa CHADEMA.hivyo lissu anaweza kutumia wakati na kipindi hiki cha uchaguzi kupitishia pesa chafu pamoja na kufanya utakatishaji wa pesa kutoka nje ya Nchi,.ambazo atazitumia kuvuruga amani ,utulivu na usalama wa Taifa letu.

Anaweza kufadhiliwa na wenye nia mbaya na chuki binafsi na serikali yetu kumpatia mapesa Mengi wakati huu halafu aje asitumie baada ya kumalizika kwa uchaguzi wao wa ndani kuleta uchochezi na kuhamasisha vurugu,ubaguzi ,chuki na mgawanyiko miongoni mwa watanzania.

Ikumbukwe ya kuwa Lissu hana uchungu na Taifa hili maana hata familia yake upo nje ya Nchi ambako hata yeye mwenyewe huenda na kushinda huko wakati wote.nawakumbusheni pia ya kuwa Watoto wa lissu wana uraia wa nje.kwa hiyo lissu hawezi kuumia wala kusikitika wala kuwa na uchungu machafuko yakitokea katika Taifa letu.maana hiyo ndio kiu yake kubwa inayochochewa na uchu,uroho na tamaa ya madaraka iliyo mjaa kifuani pake.

Kwa hiyo ni muhimu kwa idara zetu kutupia jicho kwake ili asije ingiza mapesa machafu na utakatishaji wa pesa zitakazotumika kuunda magenge na vikundi vya kujifanya vya kiharakati ambavyo vitaleta uchochezi hapa Nchini.

ikumbukwe kuwa hiki ni kipindi cha kuelekea uchaguzi Mkuu ambapo siyo wote wanaofurahia kuona Taifa letu likiendelea kutamalaki kwa amani na kuwa kisiwa cha amani Barani Afrika na Duniani kote kwa ujumla wake.

wengine hatuna kwa kukimbilia yakitokea ya kutokea kama ilivyo akina lissu ambao wao huhamasisha vurugu huku wakiwa na tiketi ya ndege mifukoni kwa ajili ya kukwea ndege na kwenda ulaya huko kutumbua Maisha. Sasa wewe mtanzania mwenzangu ni vyema ukalijua hili mapema na kuwa mzalendo kwa Taifa hili.

Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa Maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Okay
 
Back
Top Bottom