Serikali iwe Makini Na Lissu ili Asije Fanya utakatishaji wa pesa na kuingiza Pesa Chafu Nchini Kwa ajili ya kuvuruga Amani ya Taifa letu

Serikali iwe Makini Na Lissu ili Asije Fanya utakatishaji wa pesa na kuingiza Pesa Chafu Nchini Kwa ajili ya kuvuruga Amani ya Taifa letu

Watanzania kuweni makini na jinga kama hili lisije kuambukiza ujinga kwa wengine na tukawa na taifa la wajinga kama lilivyo lenyewe. Kwa hili jinga mzazi wake aliuza ng'ombe kusomesha ng'ombe nyingine. Shetani kabisa. Mungu chukua hili lishetani haraka lichome Moto liteketee kabisa
Amepata somo kubwa sana leo mtoa mada.
 
Lissu hana kariba ya kuvuruga amani ya nchi yake, hizi ni propaganda za kipuuzi. Kwanza watanzania si wapuuzi kiasi cha ku mobilize kufanya vurugu kwa ajili ya mwanasiasa
 
Ndugu zangu Watanzania,

Serikali yetu kupitia vyombo vyetu vya ulinzi na usalama kupitia idara zake zote za usalama.ziwe macho na kuwa karibu sana na lissu na kumfuatilia nyendo zake pamoja na Mambo yake yote.

Kwa kuwa ni wazi lissu anatambua na kufahamu wazi kabisa hawezi kupita na kuchaguliwa kuwa Mwenyekiti wa CHADEMA.hivyo lissu anaweza kutumia wakati na kipindi hiki cha uchaguzi kupitishia pesa chafu pamoja na kufanya utakatishaji wa pesa kutoka nje ya Nchi,.ambazo atazitumia kuvuruga amani ,utulivu na usalama wa Taifa letu.

Anaweza kufadhiliwa na wenye nia mbaya na chuki binafsi na serikali yetu kumpatia mapesa Mengi wakati huu halafu aje asitumie baada ya kumalizika kwa uchaguzi wao wa ndani kuleta uchochezi na kuhamasisha vurugu,ubaguzi ,chuki na mgawanyiko miongoni mwa watanzania.

Ikumbukwe ya kuwa Lissu hana uchungu na Taifa hili maana hata familia yake upo nje ya Nchi ambako hata yeye mwenyewe huenda na kushinda huko wakati wote.nawakumbusheni pia ya kuwa Watoto wa lissu wana uraia wa nje.kwa hiyo lissu hawezi kuumia wala kusikitika wala kuwa na uchungu machafuko yakitokea katika Taifa letu.maana hiyo ndio kiu yake kubwa inayochochewa na uchu,uroho na tamaa ya madaraka iliyo mjaa kifuani pake.

Kwa hiyo ni muhimu kwa idara zetu kutupia jicho kwake ili asije ingiza mapesa machafu na utakatishaji wa pesa zitakazotumika kuunda magenge na vikundi vya kujifanya vya kiharakati ambavyo vitaleta uchochezi hapa Nchini.

ikumbukwe kuwa hiki ni kipindi cha kuelekea uchaguzi Mkuu ambapo siyo wote wanaofurahia kuona Taifa letu likiendelea kutamalaki kwa amani na kuwa kisiwa cha amani Barani Afrika na Duniani kote kwa ujumla wake.

wengine hatuna kwa kukimbilia yakitokea ya kutokea kama ilivyo akina lissu ambao wao huhamasisha vurugu huku wakiwa na tiketi ya ndege mifukoni kwa ajili ya kukwea ndege na kwenda ulaya huko kutumbua Maisha. Sasa wewe mtanzania mwenzangu ni vyema ukalijua hili mapema na kuwa mzalendo kwa Taifa hili.

Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa Maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.


Kama pesa ya diaspora ni chafu basi serikali ikataze pesa yeyeote kutoka kwa diaspora $1B tuone kama wanaweza. Usituchagulie mtu wa ku support.

Mchinga mjinga tu ndiye atakae amini kutafuta katiba ni virugu wanao amini hivyo ni machawa, hawaelwewi, mafisadi na familia zao mtu mwenye akili zake anaye taka mema kwa nchi yetu hawezi kukubali chaguzi za polisi na usalama wa taifa ni mjinga mjinga tu. Na pesa zitaingia mwaka huu tena nyingi sana kama Lissu atashinda
 
Kama pesa ya diaspora ni chafu basi serikali ikataze pesa yeyeote kutoka kwa diaspora $1B tuone kama wanaweza. Usituchagulie mtu wa ku support.

Mchinga mjinga tu ndiye atakae amini kutafuta katiba ni virugu wanao amini hivyo ni machawa, hawaelwewi, mafisadi na familia zao mtu mwenye akili zake anaye taka mema kwa nchi yetu hawezi kukubali chaguzi za polisi na usalama wa taifa ni mjinga mjinga tu. Na pesa zitaingia mwaka huu tena nyingi sana kama Lissu atashinda
Unaelewa maana ya utakatishaji pesa na pesa chafu?
 
Back
Top Bottom