Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Naona mmeanza kuweweseka baada ya kugundua kuwa lissu hachaguliki wala hawezi kupitaPesa alizoiba Mbowe ni pesa nyingi sana na sasa kaunda kamati nyingi kazipa pesa zimdidimize lisu ipo kamati ya Roho mbaya ikiongozwa na Mdee, wenje, sugu, Boniface na Wilium mungai, hicho ni kikundi hatari sana kinakula pesa za mbowe alizoiba kwenye hazina ya chama kama mchwa kwa lengo la kumhujumu kumdhoofisha Lisu,kimejiandaa kufanya kila linalowezekana ikiwemo uchakachuaji wizi wa kura mpaka Mbowe ashinde kwa njia haramu
Ungeacha akili kubwa zijadili hojaUnajaribu kuanzisha mada zinazokuaidi kimo mwisho wake unajiaibisha.
Mchakato wa kutakatisha pesa sio rahisi kama ulichoandika.
Jiandaeni kisaikolojia maana lissu anakwenda kupigwa kipigo kikali sana katika sanduku la kuraWatetezi wa mbowe mitandaoni wanamshukuru Lisu kwa kuwaletea Ulaji pesa toka kwa mbowe baada ya kumpiga pressure kubwa sana, Lisu kawasaidia chawa kula pesa za wizi toka kwa mbowe
## Lucas Mwashambwa mbona una hofu sana na Tundu Lissu kiasi cha kuwa na mawazo ya kijinga na kipumbavu hivi kwa Mwenyekiti wetu wa CHADEMA Taifa...?Ndugu zangu Watanzania,
Serikali yetu kupitia vyombo vyetu vya ulinzi na usalama kupitia idara zake zote za usalama.ziwe macho na kuwa karibu sana na lissu na kumfuatilia nyendo zake pamoja na Mambo yake yote.
Kwa kuwa ni wazi lissu anatambua na kufahamu wazi kabisa hawezi kupita na kuchaguliwa kuwa Mwenyekiti wa CHADEMA.hivyo lissu anaweza kutumia wakati na kipindi hiki cha uchaguzi kupitishia pesa chafu pamoja na kufanya utakatishaji wa pesa kutoka nje ya Nchi,.ambazo atazitumia kuvuruga amani ,utulivu na usalama wa Taifa letu.
Anaweza kufadhiliwa na wenye nia mbaya na chuki binafsi na serikali yetu kumpatia mapesa Mengi wakati huu halafu aje asitumie baada ya kumalizika kwa uchaguzi wao wa ndani kuleta uchochezi na kuhamasisha vurugu,ubaguzi ,chuki na mgawanyiko miongoni mwa watanzania.
Ikumbukwe ya kuwa Lissu hana uchungu na Taifa hili maana hata familia yake upo nje ya Nchi ambako hata yeye mwenyewe huenda na kushinda huko wakati wote.nawakumbusheni pia ya kuwa Watoto wa lissu wana uraia wa nje.kwa hiyo lissu hawezi kuumia wala kusikitika wala kuwa na uchungu machafuko yakitokea katika Taifa letu.maana hiyo ndio kiu yake kubwa inayochochewa na uchu,uroho na tamaa ya madaraka iliyo mjaa kifuani pake.
Kwa hiyo ni muhimu kwa idara zetu kutupia jicho kwake ili asije ingiza mapesa machafu na utakatishaji wa pesa zitakazotumika kuunda magenge na vikundi vya kujifanya vya kiharakati ambavyo vitaleta uchochezi hapa Nchini.
ikumbukwe kuwa hiki ni kipindi cha kuelekea uchaguzi Mkuu ambapo siyo wote wanaofurahia kuona Taifa letu likiendelea kutamalaki kwa amani na kuwa kisiwa cha amani Barani Afrika na Duniani kote kwa ujumla wake.
wengine hatuna kwa kukimbilia yakitokea ya kutokea kama ilivyo akina lissu ambao wao huhamasisha vurugu huku wakiwa na tiketi ya ndege mifukoni kwa ajili ya kukwea ndege na kwenda ulaya huko kutumbua Maisha. Sasa wewe mtanzania mwenzangu ni vyema ukalijua hili mapema na kuwa mzalendo kwa Taifa hili.
Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa Maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.
Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
💯💯Ndugu zangu Watanzania,
Serikali yetu kupitia vyombo vyetu vya ulinzi na usalama kupitia idara zake zote za usalama.ziwe macho na kuwa karibu sana na lissu na kumfuatilia nyendo zake pamoja na Mambo yake yote.
Kwa kuwa ni wazi lissu anatambua na kufahamu wazi kabisa hawezi kupita na kuchaguliwa kuwa Mwenyekiti wa CHADEMA.hivyo lissu anaweza kutumia wakati na kipindi hiki cha uchaguzi kupitishia pesa chafu pamoja na kufanya utakatishaji wa pesa kutoka nje ya Nchi,.ambazo atazitumia kuvuruga amani ,utulivu na usalama wa Taifa letu.
Anaweza kufadhiliwa na wenye nia mbaya na chuki binafsi na serikali yetu kumpatia mapesa Mengi wakati huu halafu aje asitumie baada ya kumalizika kwa uchaguzi wao wa ndani kuleta uchochezi na kuhamasisha vurugu,ubaguzi ,chuki na mgawanyiko miongoni mwa watanzania.
Ikumbukwe ya kuwa Lissu hana uchungu na Taifa hili maana hata familia yake upo nje ya Nchi ambako hata yeye mwenyewe huenda na kushinda huko wakati wote.nawakumbusheni pia ya kuwa Watoto wa lissu wana uraia wa nje.kwa hiyo lissu hawezi kuumia wala kusikitika wala kuwa na uchungu machafuko yakitokea katika Taifa letu.maana hiyo ndio kiu yake kubwa inayochochewa na uchu,uroho na tamaa ya madaraka iliyo mjaa kifuani pake.
Kwa hiyo ni muhimu kwa idara zetu kutupia jicho kwake ili asije ingiza mapesa machafu na utakatishaji wa pesa zitakazotumika kuunda magenge na vikundi vya kujifanya vya kiharakati ambavyo vitaleta uchochezi hapa Nchini.
ikumbukwe kuwa hiki ni kipindi cha kuelekea uchaguzi Mkuu ambapo siyo wote wanaofurahia kuona Taifa letu likiendelea kutamalaki kwa amani na kuwa kisiwa cha amani Barani Afrika na Duniani kote kwa ujumla wake.
wengine hatuna kwa kukimbilia yakitokea ya kutokea kama ilivyo akina lissu ambao wao huhamasisha vurugu huku wakiwa na tiketi ya ndege mifukoni kwa ajili ya kukwea ndege na kwenda ulaya huko kutumbua Maisha. Sasa wewe mtanzania mwenzangu ni vyema ukalijua hili mapema na kuwa mzalendo kwa Taifa hili.
Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa Maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.
Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Bila Mwamba kusingekuwa na CHADEMA.si unaona Lissu kila kitu anataka awezeshwe.Mbowe ndiyo hutakatisha pesa alizoiba chadema kwa njia ya kutengeneza madeni hewa kisha anajilipa pesa za chama kienyeji
Acha ushamba makaratasi broo...Uwe na heshima dogo.Elimu niliyo nayo wewe huwezi ifikia hata kidogo.
Tutamthibiti pamoja na hao mashoga wa Ubelgiji.Ndugu zangu Watanzania,
Serikali yetu kupitia vyombo vyetu vya ulinzi na usalama kupitia idara zake zote za usalama.ziwe macho na kuwa karibu sana na lissu na kumfuatilia nyendo zake pamoja na Mambo yake yote.
Kwa kuwa ni wazi lissu anatambua na kufahamu wazi kabisa hawezi kupita na kuchaguliwa kuwa Mwenyekiti wa CHADEMA.hivyo lissu anaweza kutumia wakati na kipindi hiki cha uchaguzi kupitishia pesa chafu pamoja na kufanya utakatishaji wa pesa kutoka nje ya Nchi,.ambazo atazitumia kuvuruga amani ,utulivu na usalama wa Taifa letu.
Anaweza kufadhiliwa na wenye nia mbaya na chuki binafsi na serikali yetu kumpatia mapesa Mengi wakati huu halafu aje asitumie baada ya kumalizika kwa uchaguzi wao wa ndani kuleta uchochezi na kuhamasisha vurugu,ubaguzi ,chuki na mgawanyiko miongoni mwa watanzania.
Ikumbukwe ya kuwa Lissu hana uchungu na Taifa hili maana hata familia yake upo nje ya Nchi ambako hata yeye mwenyewe huenda na kushinda huko wakati wote.nawakumbusheni pia ya kuwa Watoto wa lissu wana uraia wa nje.kwa hiyo lissu hawezi kuumia wala kusikitika wala kuwa na uchungu machafuko yakitokea katika Taifa letu.maana hiyo ndio kiu yake kubwa inayochochewa na uchu,uroho na tamaa ya madaraka iliyo mjaa kifuani pake.
Kwa hiyo ni muhimu kwa idara zetu kutupia jicho kwake ili asije ingiza mapesa machafu na utakatishaji wa pesa zitakazotumika kuunda magenge na vikundi vya kujifanya vya kiharakati ambavyo vitaleta uchochezi hapa Nchini.
ikumbukwe kuwa hiki ni kipindi cha kuelekea uchaguzi Mkuu ambapo siyo wote wanaofurahia kuona Taifa letu likiendelea kutamalaki kwa amani na kuwa kisiwa cha amani Barani Afrika na Duniani kote kwa ujumla wake.
wengine hatuna kwa kukimbilia yakitokea ya kutokea kama ilivyo akina lissu ambao wao huhamasisha vurugu huku wakiwa na tiketi ya ndege mifukoni kwa ajili ya kukwea ndege na kwenda ulaya huko kutumbua Maisha. Sasa wewe mtanzania mwenzangu ni vyema ukalijua hili mapema na kuwa mzalendo kwa Taifa hili.
Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa Maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.
Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Wewe ndiye mshambaAcha ushamba makaratasi broo...
Hizo akili unazozisema huna ila unatamani ungekuwa nazo kunguni wa mama Abdul.Ungeacha akili kubwa zijadili hoja
Hiyo ni kulingana na upeo wako kuwa MdogoLuca unaharibu sifa chama chetu!ulichoandika ni uharo!
Lisu anatoa wapi pesa Kwa uanaharakati ule!!?Hiyo ni kulingana na upeo wako kuwa Mdogo
Hiyo ni kulingana na upeo wako kuwa MdogoLuca unaharibu sifa chama chetu!ulichoandika ni uharo!
Kazi yangu ni kulitetea Taifa langu na kuona likiendelea kutamalaki kwa amani na utulivuLucas umezidi
Eti mtoa mada naye anahitaji uteuzi!Ndugu zangu Watanzania,
Serikali yetu kupitia vyombo vyetu vya ulinzi na usalama kupitia idara zake zote za usalama.ziwe macho na kuwa karibu sana na lissu na kumfuatilia nyendo zake pamoja na Mambo yake yote.
Kwa kuwa ni wazi lissu anatambua na kufahamu wazi kabisa hawezi kupita na kuchaguliwa kuwa Mwenyekiti wa CHADEMA.hivyo lissu anaweza kutumia wakati na kipindi hiki cha uchaguzi kupitishia pesa chafu pamoja na kufanya utakatishaji wa pesa kutoka nje ya Nchi,.ambazo atazitumia kuvuruga amani ,utulivu na usalama wa Taifa letu.
Anaweza kufadhiliwa na wenye nia mbaya na chuki binafsi na serikali yetu kumpatia mapesa Mengi wakati huu halafu aje asitumie baada ya kumalizika kwa uchaguzi wao wa ndani kuleta uchochezi na kuhamasisha vurugu,ubaguzi ,chuki na mgawanyiko miongoni mwa watanzania.
Ikumbukwe ya kuwa Lissu hana uchungu na Taifa hili maana hata familia yake upo nje ya Nchi ambako hata yeye mwenyewe huenda na kushinda huko wakati wote.nawakumbusheni pia ya kuwa Watoto wa lissu wana uraia wa nje.kwa hiyo lissu hawezi kuumia wala kusikitika wala kuwa na uchungu machafuko yakitokea katika Taifa letu.maana hiyo ndio kiu yake kubwa inayochochewa na uchu,uroho na tamaa ya madaraka iliyo mjaa kifuani pake.
Kwa hiyo ni muhimu kwa idara zetu kutupia jicho kwake ili asije ingiza mapesa machafu na utakatishaji wa pesa zitakazotumika kuunda magenge na vikundi vya kujifanya vya kiharakati ambavyo vitaleta uchochezi hapa Nchini.
ikumbukwe kuwa hiki ni kipindi cha kuelekea uchaguzi Mkuu ambapo siyo wote wanaofurahia kuona Taifa letu likiendelea kutamalaki kwa amani na kuwa kisiwa cha amani Barani Afrika na Duniani kote kwa ujumla wake.
wengine hatuna kwa kukimbilia yakitokea ya kutokea kama ilivyo akina lissu ambao wao huhamasisha vurugu huku wakiwa na tiketi ya ndege mifukoni kwa ajili ya kukwea ndege na kwenda ulaya huko kutumbua Maisha. Sasa wewe mtanzania mwenzangu ni vyema ukalijua hili mapema na kuwa mzalendo kwa Taifa hili.
Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa Maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.
Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.