Serikali iwe Makini Na Lissu ili Asije Fanya utakatishaji wa pesa na kuingiza Pesa Chafu Nchini Kwa ajili ya kuvuruga Amani ya Taifa letu

Unajaribu kuanzisha mada zinazokuaidi kimo mwisho wake unajiaibisha.

Mchakato wa kutakatisha pesa sio rahisi kama ulichoandika.
 
Naona mmeanza kuweweseka baada ya kugundua kuwa lissu hachaguliki wala hawezi kupita
 
Watetezi wa mbowe mitandaoni wanamshukuru Lisu kwa kuwaletea Ulaji pesa toka kwa mbowe baada ya kumpiga pressure kubwa sana, Lisu kawasaidia chawa kula pesa za wizi toka kwa mbowe
Jiandaeni kisaikolojia maana lissu anakwenda kupigwa kipigo kikali sana katika sanduku la kura
 
## Lucas Mwashambwa mbona una hofu sana na Tundu Lissu kiasi cha kuwa na mawazo ya kijinga na kipumbavu hivi kwa Mwenyekiti wetu wa CHADEMA Taifa...?

## Tundu Lissu amejaliwa na Mungu silaha moja tu kubwa ambayo ndiyo anayoitumia kiasi cha watu kumwelewa na kumfuata kirahisi tu...

##Amejaliwa hili➡➡➡UWEZO WAKE WA KUJENGA HOJA ZA KUSHAWISHI na KUELEWEKA KIRAHISI HATA KWA MAMA ASIYEKWENDA SHULE KULE KIJIJINI...

=====Hiki☝🏻☝🏻☝🏻ndicho watawala wanachokiogopa, basiiiiii=====

##Ukitaka kuthibitisha hili nenda kule kijijini (jimboni kwake Singida Mashariki) ambako amewahi kuwa mbunge kwa mihula miwili. Kila mtu kwenye jimbo hilo anazitambua haki zake na CCM na ulaghai na dhuluma zake, ilishakataliwa huko, haina chake 100%...!!

##KWA HIYO, BINAFSI, naelewa msingi wa hofu yako. Kwamba huyu mtu akipata platform pana ya kusemea (uenyekiti wa CHADEMA) nchi yote itawekwa kwenye darasa lake la kuwafanya wananchi wajitambue na watambue haki na wajibu wao wa kulinda haki zao dhidi viongozi mahayawani wa CCM na serikali yao....

Kwenu ninyi hayawani wachache wa CCM, akitokea mtu mwenye authority ya kuwaamusha watu toka kwenye usingizi wa UJINGA na KUTOJITAMBUA na kutotambua HAKI na WAJIBU wao kiasi cha kuonewa na kunyanyaswa na watawala makatili na hayawani wa CCM, mnamwita huyo mchochezi, mleta fujo na vurugu na kila jina lenye sifa mbaya kinyume na uhalisia wake....

Huyu ndiye tunamtaka sisi wananchi....!!

NAKUJULISHA TU KUWA, MAMBO YAKO HIVI:

1. Tundu Lissu pesa zake tunazo sisi wanachama, mashabiki na wafuasi wa CHADEMA. Atatembea nchi nzima kujenga POLITICAL AWARENESS kwa wananchi wote kwa gharama ya fedha toka kwa wananchi wakiwemo wana CCM wasio machawa ambao nao wamepigika tokana uchafu na ufisadi wa serikali ya CCM wa miaka karibu 65 sasa...

2. Tundu Lissu NDIYE MWENYEKITI WA CHADEMA (2025 - 2029) iwe CCM na "wasiojulikana" wanataka au hawataki...

3. Mambo ya utakatishaji pesa, yako huko CCM. Au hujui kuwa mtakatishaji fedha mkuu nchi hii kwa sasa ni Samia Suluhu Hassan na mwanae Abdul? Hujui kuwa ni mawaziri wote wakiongozwa na Mwigulu Nchemba...?

Mnafikiri watu hawajui, au siyo....?

Unadhani hatujui ni kwanini mfumo wa serikali hii ya kishetani chini ya Rais Samia Suluhu Hassan haingependa kumuona mtu safi & mwadilifu, jasiri, msemakweli, mwenye maarifa na ufahamu, mwenye internal & international influence ya kutisha Tundu Lissu awe kiongozi mkuu wa CHADEMA, chama kikuu cha upinzani..?

Ni kwa sababu TUNDU LISSU ni NURU ya taifa na nchi hii. Na NURU inapoingia mahali, GIZA huogopa na kukimbia..!!

KWA HIYO NURU (HAKI) na GIZA (USHETANI WA CCM na SERIKALI YAKE) unajaribu kupingana na nuru, unajaribu kuizima Nuru....

Historia iko very clear, kwamba, GIZA HALIJAWAHI KUISHINDA NURU. Yesu Kristo (Nuru ya Ulimwengu) hakushindwa na GIZA (shetani)...

Hata SHETANI alipojaribu kutumia silaha yake ya mwisho, inayoogopwa sana na watu wote yaani KIFO na MAUTI, navyo havikumshinda Mwamba YESU KRISTO. Alikufa na siku ya tatu alifufuka na YU HAI LEO NA HATA MILELE...

Vivyo hivyo Tundu Lissu. Risasi 16 ndani ya mwili wake hazikuweza kuchukua uhai wake ili apate kutimiza kusudi aliloletwa kulifanya hapa duniani na specific hapa Tanganyika...

Hivyo, Lucas Mwashambwa mnatwanga maji kwenye kinu kupambana na mkono wa Mungu...!!
 
💯💯
 
Mbowe ndiyo hutakatisha pesa alizoiba chadema kwa njia ya kutengeneza madeni hewa kisha anajilipa pesa za chama kienyeji
Bila Mwamba kusingekuwa na CHADEMA.si unaona Lissu kila kitu anataka awezeshwe.
 
Tutamthibiti pamoja na hao mashoga wa Ubelgiji.
 
unamshauri mwizi amkamate mtuhumiwa wa wizi.
 
Na wewe uache ujinga, wanaofanya hayo huko ccm hamwashughulikii unakuja na maneno marefu kama njia ya treni.
 
Eti mtoa mada naye anahitaji uteuzi!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…