Serikali kuahirisha Mechi ya Simba na Yanga ili kuwalazimisha wananchi wafuatilie tukio la Uzinduzi wa Kitabu cha Mzee Mwinyi ni kitendo cha aibu

Serikali kuahirisha Mechi ya Simba na Yanga ili kuwalazimisha wananchi wafuatilie tukio la Uzinduzi wa Kitabu cha Mzee Mwinyi ni kitendo cha aibu

Viongozi wetu wengi wamevembewa hawana uwezo tena wa kufikiria
 
Only in Tanzania

Kwani wao wanajali awafahamu zama hizi za globalisation kuna mtu huko South Afrika au Nigeria anafyonza keshaweka hela yake anasubiri matokeo halafu wao wanamuwekea usiku.

Akija kusikia sababu zenyewe sasa za mechi kucheleweshwa, we Tanzanians are not serious people.
 
Wanadhani kila mtu anahitaji sana kusikiliza hizo hekaya za huyo mzee aliyekuwa anataka Magufuli aongezewe muda wa kukaa madarakani.
wewe mjinga hivi wala sikujua
1620488346021.png
 
Haya sasa waangalie huo uzinduzi wenyewe na ndugu zao sasa... this is stupid kabisa.
 
Unajua kuna wakati unaweza ukajiuliza hivi tuna viongozi wa serikali wa namna gani.

Inafahamika wazi kuwa ratiba ya Ligi inapangwa muda mrefu na bila shaka kwa kuzingatia matukio mbalimbali makubwa ya Kitaifa na kwa kanuni za Ligi

Sasa inashangaza Leo, mchezo ukiwa umebakisha masaa mawili tu, Serikali inaiagiza TFF kubadili ratiba ya mchezo huu wakati kukiwa na maelfu ya wananchi Uwanjani. Hili ni kosa, Serikali imewakosea sana wananchi.

Kwanza ni lini serikali ikawa na mamlaka ya kupanga ratiba za ligi?

Pili, Serikali inataka Kuwachonganisha wananchi na Mzee wetu mzee Mwinyi, Mtu asiyependa makuu, Kwa nini mlifanye tukio lake kuwa ni adha kwa wengine?—Je mzee Mwinyi ndiye aliyewatuma kubadili ratiba ya mambo mengine ya kijamii kwa ajili yake binafsi?

Huu utaratibu wa kufanya mambo kwa zimamoto zimamoto ni dalili za serikali dhaifu, isiyojiamini inayokurupuka!

Tunataka yeyote aliyehusika kubadili ratiba hii ya mchezo, ambayo wananchi walishawekeza akili zao na muda wao achukuliwe hatua mara moja! . Hatuwezi kuvumilia mikurupuko kama hii.

Na isitokee mkasingizia kuhusu Mfungo wa Ramadhani, Suala la ramadhani lilishajulikana toka mfungo ulipoanza kwa hiyo msisingizie eti kuwapa Waislamu muda mzyri wa kufuturu, Kwanza hata huo muda wa saa moja jioni Waislamu watakuwa bado wanafuturu kwa hiyo Msituletee hoja hii!

Tunataka serikali isifanye mambo kwa sababu yenyewe ina uwezo wa kutoa amri, bali lazima itekelezwe, lazima iheshimu timetable za wananchi.

Nimekereka sana na uamuzi huu wa Serikali kuingilia ratiba za Mpira, Ni mambo ya ajabuajabu kabisa haya!
Hakika na bado mtajionea mengi nyie endeleeni kuipamba serikali ya mama yenu na kuidharau serikali ya hawamu ya tano.
 
Unajua kuna wakati unaweza ukajiuliza hivi tuna viongozi wa serikali wa namna gani.

Inafahamika wazi kuwa ratiba ya Ligi inapangwa muda mrefu na bila shaka kwa kuzingatia matukio mbalimbali makubwa ya Kitaifa na kwa kanuni za Ligi

Sasa inashangaza Leo, mchezo ukiwa umebakisha masaa mawili tu, Serikali inaiagiza TFF kubadili ratiba ya mchezo huu wakati kukiwa na maelfu ya wananchi Uwanjani. Hili ni kosa, Serikali imewakosea sana wananchi.

Kwanza ni lini serikali ikawa na mamlaka ya kupanga ratiba za ligi?

Pili, Serikali inataka Kuwachonganisha wananchi na Mzee wetu mzee Mwinyi, Mtu asiyependa makuu, Kwa nini mlifanye tukio lake kuwa ni adha kwa wengine?—Je mzee Mwinyi ndiye aliyewatuma kubadili ratiba ya mambo mengine ya kijamii kwa ajili yake binafsi?

Huu utaratibu wa kufanya mambo kwa zimamoto zimamoto ni dalili za serikali dhaifu, isiyojiamini inayokurupuka!

Tunataka yeyote aliyehusika kubadili ratiba hii ya mchezo, ambayo wananchi walishawekeza akili zao na muda wao achukuliwe hatua mara moja! . Hatuwezi kuvumilia mikurupuko kama hii.

Na isitokee mkasingizia kuhusu Mfungo wa Ramadhani, Suala la ramadhani lilishajulikana toka mfungo ulipoanza kwa hiyo msisingizie eti kuwapa Waislamu muda mzyri wa kufuturu, Kwanza hata huo muda wa saa moja jioni Waislamu watakuwa bado wanafuturu kwa hiyo Msituletee hoja hii!

Tunataka serikali isifanye mambo kwa sababu yenyewe ina uwezo wa kutoa amri, bali lazima itekelezwe, lazima iheshimu timetable za wananchi.

Nimekereka sana na uamuzi huu wa Serikali kuingilia ratiba za Mpira, Ni mambo ya ajabuajabu kabisa haya!


Umesema kweli kabisa mkuu.

Nyongeza ni kuwa kuna watu wizarani wanaingilia masuala ya soccer.

Ni kosa kubwa sana kufanya au kusababisha mashabiki kusafiri kutoka kona zote za nchi, wengine kutoka nchi jirani, wasafiri kwa usafiri wa nchi kavu, majini na angani, walipe malazi, chakula, usafiri wa ndani ya jiji, acha kiingilio walicholipa na kuingia uwanjani kabisa!!!

Then MTU mmoja kutoka wizarani anatoa amri mchezo sio saa 11 jioni ni mpaka saa moja jioni kinyume kabisa na taratibu za muda halali unaopaswa kutolewa taarifa ya kuahirisha mchezo.

Hatujakaa sawa mpira umeahirishwa hauchezwi leo!!

Vipi kuhusu gharama za hao mashabiki?

Vipi wale waliocheza michezo ya
online betting ?

Serikali ituambie vizuri gharama hizo zitalipikaje????
 
Unajua kuna wakati unaweza ukajiuliza hivi tuna viongozi wa serikali wa namna gani.

Inafahamika wazi kuwa ratiba ya Ligi inapangwa muda mrefu na bila shaka kwa kuzingatia matukio mbalimbali makubwa ya Kitaifa na kwa kanuni za Ligi

Sasa inashangaza Leo, mchezo ukiwa umebakisha masaa mawili tu, Serikali inaiagiza TFF kubadili ratiba ya mchezo huu wakati kukiwa na maelfu ya wananchi Uwanjani. Hili ni kosa, Serikali imewakosea sana wananchi.

Kwanza ni lini serikali ikawa na mamlaka ya kupanga ratiba za ligi?

Pili, Serikali inataka Kuwachonganisha wananchi na Mzee wetu mzee Mwinyi, Mtu asiyependa makuu, Kwa nini mlifanye tukio lake kuwa ni adha kwa wengine?—Je mzee Mwinyi ndiye aliyewatuma kubadili ratiba ya mambo mengine ya kijamii kwa ajili yake binafsi?

Huu utaratibu wa kufanya mambo kwa zimamoto zimamoto ni dalili za serikali dhaifu, isiyojiamini inayokurupuka!

Tunataka yeyote aliyehusika kubadili ratiba hii ya mchezo, ambayo wananchi walishawekeza akili zao na muda wao achukuliwe hatua mara moja! . Hatuwezi kuvumilia mikurupuko kama hii.

Na isitokee mkasingizia kuhusu Mfungo wa Ramadhani, Suala la ramadhani lilishajulikana toka mfungo ulipoanza kwa hiyo msisingizie eti kuwapa Waislamu muda mzyri wa kufuturu, Kwanza hata huo muda wa saa moja jioni Waislamu watakuwa bado wanafuturu kwa hiyo Msituletee hoja hii!

Tunataka serikali isifanye mambo kwa sababu yenyewe ina uwezo wa kutoa amri, bali lazima itekelezwe, lazima iheshimu timetable za wananchi.

Nimekereka sana na uamuzi huu wa Serikali kuingilia ratiba za Mpira, Ni mambo ya ajabuajabu kabisa haya!
You have a point.

Ila serikali nayo wana sababu na nafikiri kikubwa ni kwamba Mzee Mwinyi pamoja na kuzndua kitabu chake leo pia ni siku yake ya kuzaliwa yaani ametimiza miaka 96.

Hivyo serikali imeonyesha udhaifu wake kiutendaji kwa kushindwa kupanga uzuri siku ya leo ili isiingiliane na mechi ya mpira wa Simba na Yanga.

Walipaswa kuliona hilo kitambo na kujipanga uzuri.

Haya masuala ya kudarizi shughuli kama hizi "in last minutes" ni kasoro kubwa za kiufundi ambazo zahitaji marekebisho ya haraka.
 
Nilidhan huu uzwazwa umekwenda na mwendazake kumbe bdo upo???
You have a point.

Ila serikali nayo wana sababu na nafikiri kikubwa ni kwamba Mzee Mwinyi pamoja na kuzndua kitabu chake leo pia ni siku yake ya kuzaliwa yaani ametimiza miaka 96.

Hivyo serikali imeonyesha udhaifu wake kiutendaji kwa kushindwa kupanga uzuri siku ya leo ili isiingiliane na mechi ya mpira wa Simba na Yanga.

Walipaswa kuliona hilo kitambo na kujipanga uzuri.

Haya masuala ya kudarizi shughuli kama hizi ni kasoro kubwa za kiufundi ambazo zahitaji marekebisho ya haraka.
 
Back
Top Bottom