Acha ujinga wewe mwanaume mzima unajisifia kuliwa kiboga na mwarabu! Wazazi wako wamekula hasara kubwa! Mwana siyo riziki na ndiyo kisa cha kuitwa Ritz!Wewe utakuwa umelelewa na Padre John ujajua tabia zao ndiyo maana upo radhi ufe usiache kuwatetea.
Jiue basiDu! Sijawahi kuona serikali ya kiaumer kama hii hapa ulimwenguni
Bongo nyie wapiga kelele tu idiot hamna chochote cha kufanya wapuuzi wakubwa nyieMama anajipa wakati magumu sana hasa kama ataendelea mpaka 2030. Inawezekana akachukiwa sana na wananchi. Hasira za wananchi soon wataanza kujionyesha.
Kwa hiyo DPW watafanya kazi ya TRA?!Wanaonufaika na upitishaji wa mizigo yao bila kulipa kodi wala ushuru pale bandarini watafute kazi zingine za kufanya.
Uko sahihi. Kuelezwa kila hatua itakayofuata bila kuelezwa yaliyomo katika mkataba hakutasaidia kitu. Na hata wakielezwa kama hawatakuwa na uwezo wa kuleta mabadiliko nayo itakuwa bure.Kwani Serikali ni Msigwa au Rais? Serikali inawekwa na wananchi. Msigwa anasema haya ni "Makubaliano" Mahakama inasema ni "Mkataba". Huu ni mkataba wa kibiashara. Wananchi kuelezwa kila hatua itakayofuata siyo suluhu; la muhimu ni kama uhuru wa wananchi na faida kwa Tanzania ni kubwa kuliko ambavyo ingepatikana vinginevyo. Hiyo ndiyo kamali au bet iliyopo mezani. Mwishoni wananchi ndiyo wanaosema, siyo msemaji wa Serikali wala serikali; mradi kura kwenye chaguzi zijazo zisiibiwe.
Nani anaongoza maandamano ?!!Maandamano yameishia wapi?
Chaaaaliiiiwazee wa waraka mpooo?
Wanaandamana lini ?!!! [emoji1787][emoji1787]Unayafanya wewe au? Waliosema wanafanya wana mipango yao na mikakati, au umewachangia gharama kiasi gani mpaka uwahoji?
Dini na MASLAHI ya uchumi wapi na wapi ?!!!![emoji15][emoji15][emoji1787][emoji1787]Maadamu Wabunge wanaenda Vatican kutubu kwa baba mtakatifu anayeketi Kitini pake Petro Mtume inatosha
Msamaha wa Dhambi tuliupata Calvary [emoji23][emoji23]
Bora tutoe tu kwani tuna shida....wewe shida huna ?!!!Mwarabu anawauliza CCM
Bandari mnatoa hamtoi, mnatoa hamtoi
Pesa zetu mmekula, loliondo mmetupa
Bandari mnatoa hamtoi ,,,[emoji1787][emoji1787][emoji38]
Upumbavu huoAnguko hilo
Kura haziibwi na CCM haishindwiKwani Serikali ni Msigwa au Rais? Serikali inawekwa na wananchi. Msigwa anasema haya ni "Makubaliano" Mahakama inasema ni "Mkataba". Huu ni mkataba wa kibiashara. Wananchi kuelezwa kila hatua itakayofuata siyo suluhu; la muhimu ni kama uhuru wa wananchi na faida kwa Tanzania ni kubwa kuliko ambavyo ingepatikana vinginevyo. Hiyo ndiyo kamali au bet iliyopo mezani. Mwishoni wananchi ndiyo wanaosema, siyo msemaji wa Serikali wala serikali; mradi kura kwenye chaguzi zijazo zisiibiwe.
MASLAHI ya nchi ni makubwa zaidi ya ukubwa wa JK na TEC ... kalaghabahoEti makelele ya TEC zingekuwa kelele jk angetokwa mapovu?
labda Yafanyike maandamano ya uzazi, kila anayezaa amwite mtoto "bandari" jina la nyumbani DP WORLD.Maandamano yameishia wapi?
Hata mshipa haukunipiga....Tamko la TEC liliwatetemesha
Hakuna kiongozi asiyechukiwa na wananchi....Mama anajipa wakati magumu sana hasa kama ataendelea mpaka 2030. Inawezekana akachukiwa sana na wananchi. Hasira za wananchi soon wataanza kujionyesha.