Mkunazi Njiwa
JF-Expert Member
- Apr 22, 2023
- 8,538
- 7,559
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Umenikumbusha mafunzoni unaambiwa
'shikeni silaha vizuri kazeni mikono hio nyie wapiga punyeto hio mikono legelege mnapiga punyeto tu kaza mikono hio'
Kila mmoja na uelewa wakeNyote ninyi....
Usiwalaumu wengine....
Nyote ninyi wafia dini....nyote ninyi ni sawa sawa tu kasoro majina tu....
Ukhty kaa kwa kutulia....fasbir swabran jamila....Neno "binadamu" umelitowa wapi? Hayo ni mafundisho ya dini.
Haswaa na ndio maana TEC uelewa wao wanatuletea pichapicha tu katika uzoaji wa trilioni 26 mikononi mwa DP WORLD....[emoji1787]Kila mmoja na uelewa wake
Usitafute vikosa vidogo vya kiuandishi kuhalalisha mkataba wa hovyo kuliko mikataba ya hovyo kuwahi kutokea Tanganyika.Mkataba hauna ukomo,unampa mwekezaji uhuru kuliko nchi(akija mwekezaji mwngine ajulishwe)na haielezi tutapata kiasi gani?Ni kichaa pekee anayeweza kukubali takataka ya namna hiyoKichaa ni wewe ambaye hata kuandika kiufasaha huwezi..."mazambi" [emoji1787][emoji1787]
Sasa unawezaje kuwa na akili ya LOGIC katika muktadha wa tafakuri jadidi ?!!!
Wewe punguani , TANGANYIKA ilifutwa na hayati Nyerere kwa sababu ya maslahi mapana ambayo kichwa chako hakiwezi kuyaelewa......
Siempre JMT[emoji120]
Mkuu wangu matusi kwa chombo chenye kuheshimika si jambo jema....pamoja na tofauti zetu za kuwapinga TEC katika hili ila thamani yao ni kubwa....mnooo mkuu wangu....sorry for any inconveniences [emoji120]TEC wapiga punyeto wameabika
Una final draft ya mkataba ?!!Usitafute vikosa vidogo vya kiuandishi kuhalalisha mkataba wa hovyo kuliko mikataba ya hovyo kuwahi kutokea Tanganyika.Mkataba hauna ukomo,unampa mwekezaji uhuru kuliko nchi(akija mwekezaji mwngine ajulishwe)na haielezi tutapata kiasi gani?Ni kichaa pekee anayeweza kukubali takataka ya namna hiyo
Komredi Msigwa yuko sahihi [emoji120]Msigwa anakwambia wasomi na wanasheria wanaoupinga mkataba wana usomi wa ajabu., mi naona ilitakiwa waweke debate ya serikali na wanasheria walioko nje ya Serikali ili tujue pumba na mchele.
Kwa lipi sas wakati yey anapewa tu maelekezo, bendera fuata upepo.Komredi Msigwa yuko sahihi [emoji120]
Unajichanganya....Kwa lipi sas wakati yey anapewa tu maelekezo, bendera futa upepo.
MercenaryUnajichanganya....
Unataka akuunge mkono wewe unayefuata maelekezo na kuwa TIARA wa TEC ?!!! [emoji15][emoji1787][emoji1787]
Umechomoa? DuuhSawa, nimechomowa yote.
Kwahiyo kumbe shida yenu haikuwa mkataba urekebishwe bali ni hamtaki kabisa DP WORLD iwekeze bandarini? Watanzania mna tatizo la akili kichwani.Mama anajipa wakati magumu sana hasa kama ataendelea mpaka 2030. Inawezekana akachukiwa sana na wananchi. Hasira za wananchi soon wataanza kujionyesha.
kamuulize bi spika yaliyomkuta pale kanisani kwake - hakuamini nini afanye je akusanye vitabu vyake asepe ama aagize maaskari wa Bunge wawarukie wale makatekista wanausoma huo waraka na kuusambaza kwa kila mwana jumuia.Hizo kelele ni zipi?
Au za wadandia hoja?
Hawezi kuja kutokea rais kichaa kama yule marehemu ambaye amesababisha hivi sasa serikali inalipishwa mabilioni ya hela kwa ujinga wake.Msijali watz!
Atakuja rais mwingine mwenye akili atatunasua kwenye hili tego hata kama tutalipa fidia ya mabilioni itakuwa bora zaidi kuliko kuendelea kuukumbatia huu uharo!
Hakuna mwenye muda wa debate, mahakama ilishamaliza kila kitu kwa kutoa hukumu ya kurasa zaidi ya tisini.Msigwa anakwambia wasomi na wanasheria wanaoupinga mkataba wana usomi wa ajabu., mi naona ilitakiwa waweke debate ya serikali na wanasheria walioko nje ya Serikali ili tujue pumba na mchele.
kanda ya ziwa itamwadabisha, ni suala la muda tu unless aamue kupumzika kukwepa aibu.Samia kaamua kuwadharau wana nchi.
Nampakua aliyekuzaa!Yeye na waarabu wewe upakuaji anakufanyia nani ?!!
Giriki ?!! [emoji1787]
Kama mlikua mnapiga makelele ili kuwatisha wawekezaji imekula kwenu.Hawa waarabu nao ni matapeli, yaani unaendeleaje kuwekeza sehemu ambayo ina makele kibao kuhusu mradi wako bila woga wowote?
Yaani ni sawa na wewe kuendelea na mchakato kununua nyumba ya urithi ambayo tayari wanafamilia hawaelewani - itakuwa ni ujinga wa mwaka.
Kama mahakama yenyewe ilikili kuwa mkataba unamapungufu, Msigwa ni nani aseme mkataba hauna dosari. Only beneficiaries never seen.Hakuna mwenye muda wa debate, mahakama ilishamaliza kila kitu kwa kutoa hukumu ya kurasa zaidi ya tisini.