Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sisi Watanzania tunajua hilo ni dili la watu fulaniHakika hasara ni kubwa, tulikuwa tunashangilia na kukata mauno wakati JPM akivunja mikataba kibabe bila kufuata taratibu akidhani analikomboa taifa, Sasa walewale masikini na wanyonge, baada ya kufanya sherehe wakati JPM akivunja mikataba hovyo hovyo, kila mmoja ataingiza mkono mfukoni kuilipa bilioni 356.
Hakika, umasikini unyonge Sasa utakolea.
Wale wazalendo wa tumbo wa enzi ya JPM View attachment 2208759nao watalipa!.
Uzalendo mzuri ni kufuata taratibu na sheria
Aliyesababisha tulipe mabiliono yote haya afunguliwe kesi ya uhujumu uchumi. Kosa hili liunganishwe na kuvunjwa jengo la TANESCO , Ubungo!hiyo pesa nadhani itakatwa kwenye hivi vifushi vipya vya mitandao vilivyotangazawa juzi
Kwani Jiwe mwenyewe anasemaje huko motoni aliko?😂😂😂Hakika hasara ni kubwa, tulikuwa tunashangilia na kukata mauno wakati JPM akivunja mikataba kibabe bila kufuata taratibu akidhani analikomboa taifa, Sasa walewale masikini na wanyonge, baada ya kufanya sherehe wakati JPM akivunja mikataba hovyo hovyo, kila mmoja ataingiza mkono mfukoni kuilipa bilioni 356.
Hakika, umasikini unyonge Sasa utakolea.
Wale wazalendo wa tumbo wa enzi ya JPM View attachment 2208759nao watalipa!.
Uzalendo mzuri ni kufuata taratibu na sheria
Nyinyi wajinga na wapumbavu mnapiga makofi kila ujinga hujui kuwa hiyo hela inapigwa kwa kisingizio cha kesi! Mnashambulia Magufuli kuvunja mkataba wakati nchi wezi wameikalia kooni wanapiga dili na wendesha mashitaka!Hakika hasara ni kubwa, tulikuwa tunashangilia na kukata mauno wakati JPM akivunja mikataba kibabe bila kufuata taratibu akidhani analikomboa taifa, Sasa walewale masikini na wanyonge, baada ya kufanya sherehe wakati JPM akivunja mikataba hovyo hovyo, kila mmoja ataingiza mkono mfukoni kuilipa bilioni 356.
Hakika, umasikini unyonge Sasa utakolea.
Wale wazalendo wa tumbo wa enzi ya JPM View attachment 2208759nao watalipa!.
Uzalendo mzuri ni kufuata taratibu na sheria
Watu wameset mipango wajilipe halafu wanasingizia Magufuli. Walikuwa wapi kufanya hivyo kipindi mwamba yupo? Kifupi Watz hasa wasomi na wanasiasa ni bure Tu. Ngoja panya wawaokoeHakika hasara ni kubwa, tulikuwa tunashangilia na kukata mauno wakati JPM akivunja mikataba kibabe bila kufuata taratibu akidhani analikomboa taifa, Sasa walewale masikini na wanyonge, baada ya kufanya sherehe wakati JPM akivunja mikataba hovyo hovyo, kila mmoja ataingiza mkono mfukoni kuilipa bilioni 356.
Hakika, umasikini unyonge Sasa utakolea.
Wale wazalendo wa tumbo wa enzi ya JPM View attachment 2208759nao watalipa!.
Uzalendo mzuri ni kufuata taratibu na sheria
Hii ndiyo Tanzania yetu.Dah !!! haya mambo haya kufanya wafanye wengine lawama apewe mwingine !!!!
Walioleta Symbion kwa Mikataba ya Ajabu (Hakuna Lawama)!!!!
Waliokuwepo wakati inaonekana sio Kheri kuwalipa Symbion ? (Hakuna Lawama)
Yule ambaye ameshaondoka / amekufa hawezi kujitete (Apewe lawama zote chini ya Jua ila mazuri yote tuchukue Sisi)
Kweli combination ya Unafiki na Kukosa Aibu ni Combination moja Hatari Sana....
Wewe usiye na akili!!...watanzania wenye akili wanajua kuvunja mkataba kibabe bila kufuata sheria lazima ugharimikeSisi Watanzania tunajua hilo ni dili la watu fulani
Mje mrudie tena kuchagua rais kichaaHakika hasara ni kubwa, tulikuwa tunashangilia na kukata mauno wakati JPM akivunja mikataba kibabe bila kufuata taratibu akidhani analikomboa taifa, Sasa walewale masikini na wanyonge, baada ya kufanya sherehe wakati JPM akivunja mikataba hovyo hovyo, kila mmoja ataingiza mkono mfukoni kuilipa bilioni 356.
Hakika, umasikini unyonge Sasa utakolea.
Wale wazalendo wa tumbo wa enzi ya JPM View attachment 2208759nao watalipa!.
Uzalendo mzuri ni kufuata taratibu na sheria
Ilikuwa lazima capacity charge irudi. Wafaidika wakubwa sio wazungu ni mafisadi wa kianzania. Kila mtu aliona mgao wa Ruge na waliofaodika, wale waliopokea kutoka Standard Chartered waliwekwa siri kwa sababu ni wakubwa mno. Makamba kasema wazi kuwa CCM ilichukuliwa na wasio wenyewe. Magufuli amekufa wenye CCM wanatawala. Wana uwezo wa kuhakikisha chochote kinafanyika ili warudie ulaji wao. Mkataba wa Simbio ulifika mwisho na serikali ikaamua isi renew. Leo unaambiwa walipwe na si ajabu na capacity charge walipwe, ili mradi tu mabilioni walipwe mafisadi wa kitanzania kinyemela. Ila wafahamu kuwa Mungu wa mbinguni anawaona.Magufuli alikuwa anarudisha mali kutoka kwa mafisadi
Ila sasa mafisadi wanagawana
Mbona hawakudai enzi za Magufuli? Pesa wanarudishiana kina msoga.