Serikali kutangaza ajira mpya 32,000 wiki ijayo, Afya na Elimu kunufaika zaidi

Wamesema tangazo la ajira litatolewa na mgawanyo wake utawekwa wazi kwa sekta zenye uhaba
 
Wamesema tangazo la ajira litatolewa na mgawanyo wake utawekwa wazi kwa sekta zenye uhaba
Kila sekta ina uhaba mkuu, kikubwa watoe tu hata kidgokidgo kwenye hizo faculty zingine ili watu waridhike, japo tunaamini Afya na Elimu ndo zitakuwa na namba kubwa
 
Ajira za kada nyingine wanatoa sema idadi huwa ndogo na utaratibu hauwi kama wa kada hizo mbili,
 
Elfu 32 ni kiduchu sana kutosheleza uhaba waliousababisha wenyewe, wanatafuta tu political milage na huenda hiyo elf 32 iko mdomoni zaidi.....
Tushukuru hata kwa hichohicho kidgo.. hizo 32k ni nyingi sana kwa huu ukame.. wakifanya hv Kila mwaka kama alivyokawa anafanya Mzee kikwete watu atapunguza sana janga la Ajira .
Piga kazi MAMA huna baya wewe
 
Elfu 32 ni kiduchu sana kutosheleza uhaba waliousababisha wenyewe, wanatafuta tu political milage na huenda hiyo elf 32 iko mdomoni zaidi.....
Samia alisema wataajiri walimu elfu7, Sasa elumu ndo inabeba watumishi wengi hao 32k watafika
 
Hivi nyie mnaamini kweli hawa wanasiasa ni shida kwakweli uskute ziko 3,000 au wanatangaza kisha hawajiiri [emoji3][emoji3][emoji14]
 
Hivi nyie mnaamini kweli hawa wanasiasa ni shida kwakweli uskute ziko 3,000 au wanatangaza kisha hawajiiri [emoji3][emoji3][emoji14]
Issue ni kwamba washajikanyaga wenyewe kuwa ni wiki ijayo zinatangazwa.. hvyo kwa hizi siku zilizobaki ni ngumu watu kusahau na tutathibitisha kuwa hawa ni waongo au wakweli
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…