Serikali kutodhibiti idadi ya wageni wanaoingia nchini kwa kisingizio cha Utalii, inahatarisha Usalama wa Taifa dhidi ya virusi vya Corona

Nilikuwa sehemu leo asubuhi watu wamechachamaa balaa

Jamaa anasema ilikuwaje mtu akaingia na ugonjwa bila kujulikana na akasema yeye ana pesa ya nauli kumrudisha mtoto nyumbani labda shule imlipie!
 
mbona tunahangaika sana....covid 19 haipaswi kuratewa kwa hali hii huku malaria ikiwa juu kwa vifo...tropical disease ni malaria corona ni Sub tropical so kila mtu ashinde mechi zake.
 
Si shangai, maana wewe ni miongon mwa wale walioamin kuwa covid 19 ni adhabu toka kwa Allah ,hivyo utauwa wale tu si waislamu,mshenzi wewe unaleta lawama zako kwa government utadhani government ilienda chukua hiyo virus toka hubei na wohan nchi china,mpuuzi pekee ndo hulaumu jembe lake pale apatapo mavuno hapa
Stupid hayawani wewe, unajibu kipumbavu kwa issue sensitive Kama hii.
Mungu alivyo wa ajabu mtakwisha wana CCM wote!

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kaa mbali na mimi Takataka la CCM wewe!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wewe na nani hamtaisamehe serikali? Pambana na khali yako, serikali haijaleta korona na wara haifurahii uwepo wa korona.

Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu mleta mada anazungumzia serikali kupokea wachina na kusema haiwezi kuwazuia wakati ni rafiki zao, wewe unaleta ishu za serikali kuleta corona, hivi huwa mnakuwa na tatizo gani? Au wewe unaona uko sawa upstairs?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
mbona aliyeleta sio mchina

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu ebu naomba unikumbushe kule us atalaumiwa nani? Maana Corona haikuanzia kwao..
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Who cares!

Hakuna mfanyakazi wa serikali aliyekuomba uisamehe serikali bali ni wewe unajiuza kwa maneno ili serikali ''ikutongoze''.

Unawalaumu Wachina wakati mpaka sasa hakuna Mchina aliyeko nchini ambaye amepatikana na virusi vya corona na hata kama atapatikana itakuwa ni sehemu ya maisha kwa sababu virusi kwa sasa vimekuwa ni suala la kimataifa.
 
[
Bwashee tusigeuze Corona kuwa mtaji wa kisiasa!
Haswaaaaaaa ni mtaji kwa sababu ya upumbavu wa ufinyu wa maaamuzi ya busara ... wanachojua ni kupambana na CDM tu. Mpaka ugonjwa unagonga hodi Kenya! Achana na Africa ambako CORONA ilikua imekwisha taradadi

Eti unafunga Shule sijui vyuo wakati milango ya kuingilia nchini ipo wazi ... kwanza wakati huo woooote ulikua unasubiri nini ???? ... watu wameshauri kila kona ya pages mbali mbali za mitandao ya kijamii, watu walitahadharisha lakini hakuna aliestuka na kuchukua hatua

Lakini akitokea mtu kapost umbea kuhusu Serikali na ufisadi wake na uminyaji wahaki za binadam pamoja na mazigira mara moja RPC na TCRA wanapewa amri ya kuhakikisha wanampata adani ya masaa 24

Kwani tulikua wapi siku zote sample fact ya cases zote zilizo tokea ni watu kutoka nje ... this is not fair Mnatukandamiza haki zetu za kibinaadamu Sasa mmeona mtuue kabisa you guys KARMA will pay you BAD!!!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…