sosoliso JF-Expert Member Joined May 6, 2009 Posts 8,540 Reaction score 9,473 Apr 21, 2020 #561 Kama Serikali sasa inaamini sana katika mambo ya kiroho kuliko kuweka nguvu kwenye utatuzi wa kisayansi, tutegemee nini tena hapo..?? Ndo hapo kunapokuwa na tofauti kati ya kiongozi na mtawala, na uongozi na utawala.. Siasa sio utawala, Siasa ni uongozi..
Kama Serikali sasa inaamini sana katika mambo ya kiroho kuliko kuweka nguvu kwenye utatuzi wa kisayansi, tutegemee nini tena hapo..?? Ndo hapo kunapokuwa na tofauti kati ya kiongozi na mtawala, na uongozi na utawala.. Siasa sio utawala, Siasa ni uongozi..
Daudi Mchambuzi JF-Expert Member Joined Nov 25, 2010 Posts 62,197 Reaction score 128,160 Apr 21, 2020 #562 Bia yetu said: Corona tutaishinda Mkuu Jiamini Sent using Jamii Forums mobile app Click to expand... kumbe mko kwenye mashindano!
Bia yetu said: Corona tutaishinda Mkuu Jiamini Sent using Jamii Forums mobile app Click to expand... kumbe mko kwenye mashindano!
Vicenza JF-Expert Member Joined Oct 5, 2019 Posts 1,020 Reaction score 1,515 Apr 22, 2020 #563 Ni ngumu serikali kuzuia wageni ikifika msimu wa utalii... serikali inaitegemea sana Pato la utalii.,
Ni ngumu serikali kuzuia wageni ikifika msimu wa utalii... serikali inaitegemea sana Pato la utalii.,