sosoliso
JF-Expert Member
- May 6, 2009
- 8,540
- 9,473
Kama Serikali sasa inaamini sana katika mambo ya kiroho kuliko kuweka nguvu kwenye utatuzi wa kisayansi, tutegemee nini tena hapo..??
Ndo hapo kunapokuwa na tofauti kati ya kiongozi na mtawala, na uongozi na utawala.. Siasa sio utawala, Siasa ni uongozi..