Serikali: Ndege inayodaiwa kuanguka Kahama ni Majaribio ya Utayari

Ngoja kwanza!

Ndege ilikuwa hewan that means ilikuwa na rubani Kisha ikaanguka let say rubani akachoropoka salama lakin mwishowe ikawaka moto na kuteketea ndipo vikosi vya uokoaji vika respond?

naomba kueleweshwa hapa.
 
mala wamekufa watu 10 mala hiyo nimajaribio ya uokozi
 
Kwahiyo ndege imedondoka kweli kwenye hayo majaribio? Kama ilidondoka kweli ilikuwa Drone?
 
amesema kwamba ajali ya ndege iliyotokea wilayani Kahama ni majaribio kwa ajili ya kupima utayari wa kuokoa pindi ajali za ndege zinapotokea ambapo kiuhalisia hakuna vifo vilivyojitokeza.

Shida ilianzia hapa🤣
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…