Serikali Toeni Elimu Visiwani waache Tabia ya kuzuia watoto wachanga Wasipate VISOGO!

Kwan vp kiafya kuna tatiz loloto mtot kulazwa kisogo kikiwa chini?

Sio kosa mtoto kuwa na kisogo mkuu
Hahaha, hacheni tamaduni za hovyo, watafutieni WATOTO Wenu mahitaji muhimu na ya kisasa
 
Habari bila picha hainogi. Kibaragashia kitakaaje vizuri?
 
Kwahiyo unataka kusema wazanzibari wote watakuwa na hitilafu ya ubongo,maana hiyo mila ina miaka mingi sana...
Kama wanachapa wasio wa imani yao wakila mchana basi jibu ni ndio. Mbona wabara huku hawako hivyo.
 
Wala hakandamizwi mtoto.

Mtoto anafungwa fungwa asijigeuze kulalia ubavu wa kichwa.

Hiyo watu wa Pwani tunafanya sana, siyo Zanzibar tu.

Mtoto atavaaje baraghashia akiwa na chogo kama isuzu za zamani?
Yaani kumbe yote haya for the sake of Baraghashia? Oya So Poa.
 
Mkuu kama utawawekea hapa hiyo taarifa ya hospital ya muhimbili nadhani itawaonesha uhalisia na madhara ya tatizo hili

Vinginevyo nawe utakua na dhana potofu kwamba "Kila mtu lazima awe na chogo, Na ikiwa hana basi ameponndwa kichwa utotoni"

Pia kumbuka kua huo ni urithi. IKIWA UPO KWENU HAUKIMBILIKI
NA
IKIWA HAUPO HUNA PAKUUPATA
 
Kibagharashia kama ganda la chungwa
 
Dunia ina mambo hii
Wengine hawataki vichogo
Ila wengine wanawatengenezea kabisa watoto chogo refu kwa kuona kuwa ni urembo wao, unaitwa kilugha Elongeted head
Mtoto akizaliwa anafungwa manguo kichwani na kukazwa haswa mpaka kunaanza kuchongoka

Na hawa wenzetu pia wanahitaji kuelumishwa waondokane na mila hizo
Mbona wengi hatuna chogo na hatukukandwa?

Angalia sasa hawa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…