Serikali: Watumiaji wa Daraja la Tanzanite, Barabara ya haraka Kibaha - Morogoro, Igawa - Songwe -Tunduma kuanza kulipia ushuru

Serikali: Watumiaji wa Daraja la Tanzanite, Barabara ya haraka Kibaha - Morogoro, Igawa - Songwe -Tunduma kuanza kulipia ushuru

Hizi kodi nakubaliana nazo sema mh Mwigulu Nchemba atoze kodi majaji,wabunge kwa posho zao pamoja na mishahara yao.Lakini la pili ili kuonyesha dhana ya sisi sote tunajenga nchi yetu Rais wa Jamhuri na yule wa Zanzibar nao walipe kodi.
 
Waache wakurupuke tu na miradi isiyokua na upembuzi yakinifu, to cut it short ni kwamba sasa rasm foleni ya al hassan mwinyi road inarudi kutoka namanga ama morroco hadi past selander bridge. Hawatujui waswahili hawa
Sasa kama uwezo wa kulipia unao na ukaamua kukaa kwenye foleni kwa muda wa saa moja utakuwa umemkomoa nani?
 
Watanzania sawa tulipe kodi

Ila sahivi walipa kodi wadai huduma

Ova
 
Chanzo kipya Cha Kodi.
Sasa mlijenga ili mpunguze foleni au muanzishe vyanzo vya Kodi?
 
Kuhusu Tanzanite Huyo waziri wenu atakachofanikiwa ni kurudisha foleni barabara ya Ali Hassan Mwinyi lakini hela hapati....mark my words...
Hilo daraja litakuwa la kupigia picha na kutumiwa na watu wa jogging wakina Maulid Kitenge et al...

Sent from my SM-J610F using JamiiForums mobile app

Kweli kabisa kwa sababu hata madhumuni ya daraja ilikuwa ni kuokoa muda unaopotea kwenye foleni pale salender. JPM kwa kuliona hilo akaweka daraja lililomaliza kabisa shida ile, sasa hizi mang’aa zingine zinataka rudisha stress tulizoanza sahau
 
Back
Top Bottom