Kuhusu Tanzanite Huyo waziri wenu atakachofanikiwa ni kurudisha foleni barabara ya Ali Hassan Mwinyi lakini hela hapati....mark my words...
Hilo daraja litakuwa la kupigia picha na kutumiwa na watu wa jogging wakina Maulid Kitenge et al...
Sent from my SM-J610F using
JamiiForums mobile app