Serikali ya CCM mmeamua kutusaliti wananchi, Tunaenda kukumbwa na njaa kubwa hali ni mbaya

Ifakar ipi hiyo?
 
Morogoro ipi ambayo chakula hamna
 
Mimi naona ni Sawa tuu kwakuwa asilimia 75 ya watanzania wanategemea shughuli za kilimo kuendesha maisha yao.

Kama unataka kujua anaefurahia bei ya mazao kupanda nenda ifakara mashambani huko ndo utajua sio kuleta propaganda hapa jukwaani.

Acha soko liongee tumechoka kuwa wanyonge
 
Hili watu hawalioni wala kulielewa kabisa.
Mkulima gani wa hekari 5 ghalani mwake anakuwa na gunia 2000!!???
 
Badala la kushinda Jf tumia uhaba wa chakula kama fursa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nenda wewe kanunue kwaiyo Bei rahisi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Umekatazwa kwenda kuweka Kambi huko ifakara mpaka waganda wakupige bao

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wazembe wafe maana ni mzigo kwa jamii

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…