Serikali ya CCM mmeamua kutusaliti wananchi, Tunaenda kukumbwa na njaa kubwa hali ni mbaya

Serikali ya CCM mmeamua kutusaliti wananchi, Tunaenda kukumbwa na njaa kubwa hali ni mbaya

Kupanda kwa maisha na mfumko wa bei kwa bidhaa mbalimbali, inawahusu na Mataga au ni kwa wanachadema tu?
''A stick you throw ahead, you will find no matter the distance."

(Kwa Kiswahili kisicho rasmi, Fimbo uliyoitupa mbele yako utakutana nayo tu, haijalishi ni umbali kiasi gani)
 
Kama familia zao zilikuwa hazina hela walisomeshaje watoto wao International school? Ujamaa ni sumu ambayo Nyerere asingetulisha hao wakina Rostam na Dewji wangekuwa wengi sana wanatengeneza ajira. Kumbuka wengi walikimbia nchi baada ya Azimio la Arusha. Waliobaki walijitahidi kuendesha biashara zao na ndiyo hao wakina Mo na Rostam.
EeeenHeeee!
Unaona unavyozidi kuonyesha ujinga?

Hao wangekuwa wengi na wazazi wako wangekuwa na hali gani? Hata kuwepo kwako inawezekana kungekuwa kwa mashaka wakati huu!

Wapi Afrika ambapo umewaona hao wengi na hali za wananchi wengine zikawa bora kuzidi za waTanzania?

Unajisemea tu kila linalokuja akilini bila ya kulipa tafakuri na kupima kuona ukweli wake ulivyo?
 
EeeenHeeee!
Unaona unavyozidi kuonyesha ujinga?

Hao wangekuwa wengi na wazazi wako wangekuwa na hali gani? Hata kuwepo kwako inawezekana kungekuwa kwa mashaka wakati huu!

Wapi Afrika ambapo umewaona hao wengi na hali za wananchi wengine zikawa bora kuzidi za waTanzania?

Unajisemea tu kila linalokuja akilini bila ya kulipa tafakuri na kupima kuona ukweli wake ulivyo?

Kama Dewji anaajiri watu 24,000, tungekuwa na watu 100 kama yeye wangeajiri wangapi? Fanya hesabu halafu utajua kwa nini sera mbovu za Ujamaa zinatukwamisha.
 
Kama Dewji anaajiri watu 24,000, tungekuwa na watu 100 kama yeye wangeajiri wangapi? Fanya hesabu halafu utajua kwa nini sera mbovu za Ujamaa zinatukwamisha.
Mi naona akili yako imegota.
Kwani ajira zipo kwa Dewji pekee?
Halafu unazungumzia ajira za vibarua? Na anapojisikia kuwafukuzia mbali wanakuwa hawana pa kwenda?

Inaonyesha una akili ya kitwana sana, pamoja na kujipachika jina usilokuwa na sifa nalo.
 
Kumbuka kwamba kama wewe unavyofanya biashara upate faida, kilimo nacho ni biashara. Elewa kwamba sasa ni fursa ya mkulima kupata faida.

Zingatia mkulima siyo punda wa taifa. Kama unaona vipi acha kupiga soga hapo mjini nenda kajilimie chakula chako.
Huna tu akili na hujui unachozungumza!
Muda kama huu hakuna mkulima mwenye Mahindi, ama kama wapo ni wachache sana!
Mahindi yapo sasa hivi mikononi mwa WALANGUZI wachache walio ya langua kwa bei ya chini kwa Wakulima na sasa wanayauza ili kupata faida ya juu kupita kiasi.
Wewe endelea kushangilia Simba au Yanga na Kubet ndizo kazi unazoweza kuzifanya hapa Duniani!
 
Wanaouza mazao wakati huu wala mkulima hahusiki kabisa tena ni mapesa toka nje yaliyoingia kununua mazao na kuweka stock mazao kwa mfano kijiji cha gwarama kule kakonko.

Wanyarwanda wamejenga magodown kupitia wafanyabiashara wa pale na kila mwaka huweka tani nyingi mno za mazao wakati kama huu husafirisha, haya pale nyakanazi kuna tajiri wa burundi anaitwa kamangaza ana magodown pale kupitia wazawa na hununua mahindi mengi sana na mtama, na huanza kusafirisha kwenye uadimu hali kadhalika.

Wafanyabiashara wakenya huingiza pesa nyingi sana kule chunya na songea nakuweka store tani nyingi sana za mazao, kwahiyo tunaposema mfunge mipaka tunamaana mnufaika kwa sasa sio mkulima kama mnavojidanganya, mavuno yangekua mengi ni sawa lakini mnakaza vichwa huko serikalini wakati hamna hata taarifa za kutosha.
Ko wakifunga mipaka mnufaika atakuwa mkulima ?

Sent from my 220333QAG using JamiiForums mobile app
 
Kumbuka kwamba kama wewe unavyofanya biashara upate faida, kilimo nacho ni biashara. Elewa kwamba sasa ni fursa ya mkulima kupata faida.

Zingatia mkulima siyo punda wa taifa. Kama unaona vipi acha kupiga soga hapo mjini nenda kajilimie chakula chako.
Nchi haindeshwi hivyo!
 
"wanyonge wakichoka wanageuka waasi " kaka suma by Nash mc
 
Nenda kamuulize 'Roast au moduji' kama watakwambia kuna 'ujamaa' hapa!

Kila mara nakusoma na kuona una mawazo ya ajabu sana. Hivi unadhani kujipachika jina la 'Bepari' ndiyo kutakufanya ujue uhusiano wake na maendeleo ya nchi?
Ujamaa nchini ulishafutwa na lile Azimio la Zanzibar !! Sasa hivi ni ubepari uchwara kwa kwenda mbele !!
 
Kalime mzee na wewe uuze nje.....yaani mkuoina ataabike hlf wewe umelala hapo Dar uje ununue bei chee.......umesikia wapi.......
 
Biashara ya mazao ni kitu cha aina yake waziri bashe kaa ofisini lakini nauhakika haujui lolote huku field nini kinaendelea maana hata uhakiki wa wakulima wenu hamjafanya ndio maana wageni hununua mashamba kama wazawa na kuanza kuchapa jembe kama kawaida lazima muwe na mipango ya kueleweka

Acha kulalamika upumbavu. Kama wageni wanakuja na kulima kwanini wazawa wasilime kama wageni?
Uvivu wako sio swala la kitaifa. Wajibika kwa uzembe wako.
 
Serikali ya CCM chini ya Rais Samia Imeamua kwa makusudi kutuacha watanzania na kuangali maslai yao.

Hali ni mbaya sana mtaani vyakula bei hazishikiki.

Vyakula vinavushwa mipakani na kwenda nje ya nchi sisi hatupati.

Imefika hatua sasaivi mabwenyenye wananunua mzigo bado upo shambani wanavuna na kupeleka nje ya nchi, Kilimanjaro kuna njaa lakini mahindi yanapitia hapohapo kwenda Kenya.

Sasa hivi unga wa sembe kilo moja 2000 hii haijawai kutokea kabisa.

Mchele 2400 kilo

Serikali ipo kimya tu wao wanahela za kula.

CCM imeamua kutusaliti, sasa hivi sokoni hatuoni mahindi yanatoka kwenye stock yanawekwa kwenye maroli yanavuka boda.

Tukisema hivi wanaona kama tunatania maana wao hali ya mtaani hawaijui.

Sawa bwana.
Kalime utajirike, wacha kulalamika bila mpango.
 
Aliyekwambia mkulima wa kawaida kule kijijini ananufaika na biashara ya mazao nani, mkulima amekuwa ni mtu wa kunyonywa na walanguzi na madalali kupitia lumbesa, kubana mizani na kupewa bei ndogo, jaribu kutumia akili kufikiri kwa kina.

Ananyonywa maana anavuna lakini hakuna soko. Mipaka imefungwa hawezi kuuza nje lakini soko likiwepo bei itapanda kama sasa na mkulima atafaidika.
Ni mkulima mbumbumbu tu atauza kwa hasara wakati kuna soko zuri.
 
Pale iringa yale mavihenge mawili yamechukuliwa na mkenya amejaza mahindi mle na anakobokoa kisha anapaki unga kwenda kuuza kwao!

Wanaofikri mkulima ndio anafaidika hawana akili! Mkulima hakuna chochote anachofaidika. Wanaofaidika ni walanguzi wanaoenda kulangua mahindi kwa wakulima kisha wao huuza kwa profit kubwa kubwa!

Hata mahindi yakiuzwa debe kwa laki 1 hakuna chochote mkulima wa jembe la mkono hapa tz atafaidi!

Njaa ikianza wakwanza kulalamika watakuwa ni hao wakulima.

Na wewe tafuta kihenge chako koboa ukauze Kenya.
 
Kumbuka kwamba kama wewe unavyofanya biashara upate faida, kilimo nacho ni biashara. Elewa kwamba sasa ni fursa ya mkulima kupata faida.

Zingatia mkulima siyo punda wa taifa. Kama unaona vipi acha kupiga soga hapo mjini nenda kajilimie chakula chako.
Mkuu atapata faida gani
 
Serikali ya CCM chini ya Rais Samia Imeamua kwa makusudi kutuacha watanzania na kuangali maslai yao.

Hali ni mbaya sana mtaani vyakula bei hazishikiki.

Vyakula vinavushwa mipakani na kwenda nje ya nchi sisi hatupati.

Imefika hatua sasaivi mabwenyenye wananunua mzigo bado upo shambani wanavuna na kupeleka nje ya nchi, Kilimanjaro kuna njaa lakini mahindi yanapitia hapohapo kwenda Kenya.

Sasa hivi unga wa sembe kilo moja 2000 hii haijawai kutokea kabisa.

Mchele 2400 kilo

Serikali ipo kimya tu wao wanahela za kula.

CCM imeamua kutusaliti, sasa hivi sokoni hatuoni mahindi yanatoka kwenye stock yanawekwa kwenye maroli yanavuka boda.

Tukisema hivi wanaona kama tunatania maana wao hali ya mtaani hawaijui.

Sawa bwana.
Unataka kilo ya mchele au mahindi iwe Tsh ngapi? Ni lini wakulima wa Tanzania watapata bei nzuri ya mazao Yao? Bei hupangwa na market forces za supply and demand, period

Wacha bei zipande, wakulima wanufaike ili watu watamani kuhamia kwenye kilimo badala ya umachinga kila mahali. Vyakula vikiisha na sisi tutanunua nje, na pia itakuwa ni wakati mwafaka kufungua kilimo cha mazao mengine ambayo yanakomaa kwa muda mfupi. Hafi mtu Tanzania kwa sababu ya njaa
 
Haya mambo yakufunga mipaka hayakuleta impact yoyote zaidi yakupolomoka kwa bei ya mazao yetu ngoja tuendelee tu na utaratibu huu huu
 
Hii ni 50/50.
Wakulima sasa wanapiga mnada mazao yao mbele ya wafanyabiashara wa nje.
Ni neema kwao na ni kaa la moto kwa wananchi wengine
 
Back
Top Bottom