Serikali ya CCM mmeamua kutusaliti wananchi, Tunaenda kukumbwa na njaa kubwa hali ni mbaya

Serikali ya CCM mmeamua kutusaliti wananchi, Tunaenda kukumbwa na njaa kubwa hali ni mbaya

Kumbuka kwamba kama wewe unavyofanya biashara upate faida, kilimo nacho ni biashara. Elewa kwamba sasa ni fursa ya mkulima kupata faida.

Zingatia mkulima siyo punda wa taifa. Kama unaona vipi acha kupiga soga hapo mjini nenda kajilimie chakula chako.
Nilikuwa natafuta comment kama hii, wajinga wanataka Wakulima wawe maskin ili wao wanunue chakula bei chee, utadhan wao wamepigwa matufuku kulima

Kwani hawayaoni mashamba? Nimekuwa nikiwaambia wajinga hivi, wanachojibu eti sina wa kunitegemea, nawacheka sana, wao wanafanyabiashara na wanataka faida, tena wanauza mpaka bidhaa fake ili wapate faida kubwa, lakin wanataka Mkulima auze bei ya chini

Serikali ina ya kufanya kupunguza bei ya chakula, lakin si kufunga mipaka

Mnajua kazi ya Maghala ya taifa? Basi serikali iyatumie hayo, ndio maana Serikal lazima ilaumiwe kwa vyakula kupanda bei, na dawa ya Serikali kutolaumiwa si kufunga mipaka, bali yenyewe inunue hicho chakula kinachoenda nje, kwa bei ile ile wanayonunulia hao wanaopeleka nje au bora zaidi, alafu wafanye kitu kinaitwa Market flood, zile sehemu ambazo chakula kimepanda sana, wapeleke mzigo sokoni, supply iwe kubwa kuliko demand, bei ishuke
 
Wakati awamu ya nne, mkulima alipewa uhuru wa kuuza anapotaka. Ukawa mwanzo wa mkulima kupata faida. Kila mkulima akavutika kuongeza uzalishaji kwa kuongeza eka anazolima na kuongeza ubora kv mbolea, mbegu bora, kupanda kwa vipimo nk.

Faida katika kilimo ikawavutia waajiriwa kuingia ktk kilimo na baadaye wafanyabiara wakaingia. Hapo kilimo kikawa cha biashara na uzalishaji ukaongezeka maradufu.

Awamu ya tano ikaingia na mwelekeo kama wa mleta mada. Bei ya mazao ya chakula ikaporomoka. Wafanya biashara na waajiriwa wakajichomoa katika kilimo. Wakulima original wakapunguza eka na ubora wa kilimo mwaka hadi mwaka. Uzalishaji wa mazao ya chakula ukaporomoka sana.

Kwa mtu mwenye vision lazima atapenda model ya wamu ya nne. Mimi naipenda na mama anaipenda pia. Sababu inapaisha uzalishaji, mauzo nje ya nchi, mkulima na nchi inafaudika kwa uendelevu.

Kwa ambaye hana vision ataona karibu tu kama mtoa mada. Hilo lilitokea ktk awamu ya tano na kilimo cha mazao ya chakula kikakosa maana. Uzalishaji ukaporomoka vibaya.

Mwendelezo huo ungetufikisha mahali nchi isijitosheleze kwa chakula na kuanza kuagiza toka nje.

Sera ya mama ya kilimo cha chakula ni BORA ashikilie hapohapo.
Asante, wajinga wanataka Umaskin uongezeke kwa wakulima
 
Wakulima wetu elimu ndogo watauza hadi mbegu na akiba yao wanahitaji kusimamiwa,m toa mada ana hoja ya msingi
Wakiandaa mashamba, wakinunua mbolea na viuwatilifu kwa bei juu. Nani anawasimamia?
Ila wakivuna ndio usimamizi unaanza!!!. Ooh! Wasiuze, Mara sijui wafanyeje why? Hayo yote yanatoka wapi?
 
Serikali ya CCM chini ya Rais Samia Imeamua kwa makusudi kutuacha watanzania na kuangali maslai yao.

Hali ni mbaya sana mtaani vyakula bei hazishikiki.

Vyakula vinavushwa mipakani na kwenda nje ya nchi sisi hatupati.

Imefika hatua sasaivi mabwenyenye wananunua mzigo bado upo shambani wanavuna na kupeleka nje ya nchi, Kilimanjaro kuna njaa lakini mahindi yanapitia hapohapo kwenda Kenya.

Sasa hivi unga wa sembe kilo moja 2000 hii haijawai kutokea kabisa.

Mchele 2400 kilo

Serikali ipo kimya tu wao wanahela za kula.

CCM imeamua kutusaliti, sasa hivi sokoni hatuoni mahindi yanatoka kwenye stock yanawekwa kwenye maroli yanavuka boda.

Tukisema hivi wanaona kama tunatania maana wao hali ya mtaani hawaijui.

Sawa bwana.
Madaraka ya Rais ni makubwa mno,

Waziri kwenye wizara husika anasubiri jibu kuhusu azuie au la maana msimamo ni kufungua Nchi.

Tunaandika KATIBA mpya itokanayo na RASIMU alosimamia Judge Warioba.

Mifumo imara itasaidia maamuzi muhimu kufanyika bila kusubiri ruling ilojengeka Kwa Rais pekee.

Ameeeen.
 
Mi naona akili yako imegota.
Kwani ajira zipo kwa Dewji pekee?
Halafu unazungumzia ajira za vibarua? Na anapojisikia kuwafukuzia mbali wanakuwa hawana pa kwenda?

Inaonyesha una akili ya kitwana sana, pamoja na kujipachika jina usilokuwa na sifa nalo.

Umejilipua nchi gani wewe mpaka umepata jeuri ya kuziponda ajira ambazo mamilioni ya Watanzania wasio na ajira wanazitafuta?
 
Tulishauri mwaka huu mavuno ni kidogo wafunge mipaka kwani hata soko la ndani tu linatosha wakashupaza vichwa vyao.

Mavuno yakiwa mengi watu wauze nje ni sawa lakini mwaka wenye mavuno kidogo nao wauze nje kipindi chote hapana,

Burundi kuuza mahindi, maharage, mtama na muhogo ni uhujumu uchumi kwa sasa, Uganda kazuia hakuna kuuza chochote nje isipokua ni ruhusa kununua, na kuingiza ndani,

Rwanda kazuia kabisa hakuna kutoa hata kiazi, wizara ya kilimo ipo ipo tu imekalia siasa, hakuna usalama kama nchi haina chakula cha kutosha na mkumbuke dunia nzima mavuno kwa mwaka ulioisha yalikua hafifu sana, viongozi hawachukui maamuzi simply sababu wao na familia zao njaa haitowakumba.
Waziri wa Kilimo Bashe, unatarajia nini.
 
Serikali ya CCM chini ya Rais Samia Imeamua kwa makusudi kutuacha watanzania na kuangali maslai yao.

Hali ni mbaya sana mtaani vyakula bei hazishikiki.

Vyakula vinavushwa mipakani na kwenda nje ya nchi sisi hatupati.

Imefika hatua sasaivi mabwenyenye wananunua mzigo bado upo shambani wanavuna na kupeleka nje ya nchi, Kilimanjaro kuna njaa lakini mahindi yanapitia hapohapo kwenda Kenya.

Sasa hivi unga wa sembe kilo moja 2000 hii haijawai kutokea kabisa.

Mchele 2400 kilo

Serikali ipo kimya tu wao wanahela za kula.

CCM imeamua kutusaliti, sasa hivi sokoni hatuoni mahindi yanatoka kwenye stock yanawekwa kwenye maroli yanavuka boda.

Tukisema hivi wanaona kama tunatania maana wao hali ya mtaani hawaijui.

Sawa bwana.
Ukishakua mpinzani wewe kazi yako ni kupinga tu, unatafuta mahali unachomeka jina la mtawala afu unapinga tu. Sembe kilo sio 2000 ni uongo umeamua tu kupotosha, bei ya mafuta ikipanda its obvious bidhaa zitapanda bei, but not to that extent. Raisi Samia Suluhu na serikali yake wamejitahid sana kucontrol inflation kwenye hii nchi. Embu wakati unaleta hoja yako fanya utafiti na nchi zingine hali ikoje. Kwa nchi za kusini mwa jangwa la sahara Tanzania pekee ndio imeweza kudhibiti mfumuko wa bei usiende kiwango kikubwa ili kukabili gharama za maisha.
 
Mnataka serikali ya Ccm ikawanunulie mahindi mbolea ilikuwa hadi 140000 mfuko wa kilo 50 sasa na mvua haikuwa nzuri waliolima wamepata mavuno machache ulitaka wakuuzie bei ndogo ili wao wale hasara?.Mwakani njoo shamba ndo utajuwa karaha ya mkulima.Mwacheni mama afungue nchi na anaupiga mwingi sanaa.Aliyeifunga nchi kafa mnalia nini? Sasa
 
Serikali ya CCM chini ya Rais Samia Imeamua kwa makusudi kutuacha watanzania na kuangali maslai yao.

Hali ni mbaya sana mtaani vyakula bei hazishikiki.

Vyakula vinavushwa mipakani na kwenda nje ya nchi sisi hatupati.

Imefika hatua sasa hivi mabwenyenye wananunua mzigo bado upo shambani wanavuna na kupeleka nje ya nchi, Kilimanjaro kuna njaa lakini mahindi yanapitia hapohapo kwenda Kenya.

Sasa hivi unga wa sembe kilo moja 2000 hii haijawai kutokea kabisa.

Mchele 2400 kilo

Serikali ipo kimya tu wao wana hela za kula.

CCM imeamua kutusaliti, sasa hivi sokoni hatuoni mahindi yanatoka kwenye stock yanawekwa kwenye maroli yanavuka boda.

Tukisema hivi wanaona kama tunatania maana wao hali ya mtaani hawaijui.

Sawa bwana.
Hanna cha kufanya zaidi ya kulalamika kwa fake IDs mitandaoni. Mnawajua na mnajua wanawavyowafanyia, nyie mnaona soln nikulalalama tu. Chukueni hatua si mnaishi nao? Au hawaishi na jamii? Nawahakikishia mkianza na wawili tu kila kitu nchini kinakuwa shwari
 
Serikali ya CCM chini ya Rais Samia Imeamua kwa makusudi kutuacha watanzania na kuangali maslai yao.

Hali ni mbaya sana mtaani vyakula bei hazishikiki.

Vyakula vinavushwa mipakani na kwenda nje ya nchi sisi hatupati.

Imefika hatua sasa hivi mabwenyenye wananunua mzigo bado upo shambani wanavuna na kupeleka nje ya nchi, Kilimanjaro kuna njaa lakini mahindi yanapitia hapohapo kwenda Kenya.

Sasa hivi unga wa sembe kilo moja 2000 hii haijawai kutokea kabisa.

Mchele 2400 kilo

Serikali ipo kimya tu wao wana hela za kula.

CCM imeamua kutusaliti, sasa hivi sokoni hatuoni mahindi yanatoka kwenye stock yanawekwa kwenye maroli yanavuka boda.

Tukisema hivi wanaona kama tunatania maana wao hali ya mtaani hawaijui.

Sawa bwana.
Waacheni wakulima wapate faida amelima mwenyewe mwanzo mwisho bila ruzuku ya serikali,msitufanye maskini,kama vipi wasilioma wanunue wajiwekee akiba.
 
Sasa hivi unga wa sembe kilo moja 2000 hii haijawai kutokea kabisa.

Mchele 2400 kilo
Jana Waziri wa Kilimo kasema nchi ina chakula cha kutosha !! So tusiwe na wasiwasi na kizuri zaidi ni kwamba wakulima wataendelea kuuza chakula nje ila kila kaya ijiwekee posho yake yenyewe !!
 
Ndo nimekwambia May 2020 rudi kaangalie bei. Ndo mara ya kwanza kilo ya unga ilizidi bei lita ya petrol.
May 2020??? May 2020 Bei ya debe ilikua 5000 na gunia 30000 karibu sehemu kubwa ya nchi.

2020 ulikua mwaka mbaya kwa biashara ya mahindi, Mimi pia nafanya hii biashara na nilinunua kwa hiyo 30000 kwa gunia ili ikifika December niuze kwa Bei kubwa, Ila nilikula hasara.

Mwaka mzuri ulikuwa 2019 ambapo hadi November Bei ilifika 15000 kwa debe na 90000 kwa gunia. Lakini pia bei hizi unga hauwezi kuwa 2500 kwa Kg.

Pia unapaswa kujua mwezi may Bei ya mahindi na unga huwa chini sana sababu ni kipindi cha mavuno.

Mwezi ambao Bei ya mahindi na unga kuwa kubwa ni mwezi September hadi January. Kwa mwaka huu imeanza kuwa kubwa July sababu mwaka huu mavuno ni kidogo sana.

Uzi wa kipindi hiko kuhusu Bei ya mahindi

 
Tulishauri mwaka huu mavuno ni kidogo wafunge mipaka kwani hata soko la ndani tu linatosha wakashupaza vichwa vyao.

Mavuno yakiwa mengi watu wauze nje ni sawa lakini mwaka wenye mavuno kidogo nao wauze nje kipindi chote hapana,

Burundi kuuza mahindi, maharage, mtama na muhogo ni uhujumu uchumi kwa sasa, Uganda kazuia hakuna kuuza chochote nje isipokua ni ruhusa kununua, na kuingiza ndani,

Rwanda kazuia kabisa hakuna kutoa hata kiazi, wizara ya kilimo ipo ipo tu imekalia siasa, hakuna usalama kama nchi haina chakula cha kutosha na mkumbuke dunia nzima mavuno kwa mwaka ulioisha yalikua hafifu sana, viongozi hawachukui maamuzi simply sababu wao na familia zao njaa haitowakumba.
Mnapongezwa mishahara wenzenu mnawaona mabwege, unataka wakulima waishije?
 
Umejilipua nchi gani wewe mpaka umepata jeuri ya kuziponda ajira ambazo mamilioni ya Watanzania wasio na ajira wanazitafuta?
Kwa jinsi ninavyokusoma wewe humu JF, nafasi pekee inayokufaa maishani ni ya kuwa mtumishi wa 'ROASTAZ', au MODEW'. Mtwana!

Watuwa aina yako katika jamii hawawezi kukosekana.
 
Kwa jinsi ninavyokusoma wewe humu JF, nafasi pekee inayokufaa maishani ni ya kuwa mtumishi wa 'ROASTAZ', au MODEW'. Mtwana!

Watuwa aina yako katika jamii hawawezi kukosekana.

Na wewe unaonekana ni msukule wa Nyerere na sera zake mbovu za Ujamaa zilizoharibu uchumi. Sera ambazo mpaka leo CCM wanazing'ang'ania wakati zilishafeli tangu awamu ya 1.
 
Serikali ya CCM chini ya Rais Samia Imeamua kwa makusudi kutuacha watanzania na kuangali maslai yao.

Hali ni mbaya sana mtaani vyakula bei hazishikiki.

Vyakula vinavushwa mipakani na kwenda nje ya nchi sisi hatupati.

Imefika hatua sasa hivi mabwenyenye wananunua mzigo bado upo shambani wanavuna na kupeleka nje ya nchi, Kilimanjaro kuna njaa lakini mahindi yanapitia hapohapo kwenda Kenya.

Sasa hivi unga wa sembe kilo moja 2000 hii haijawai kutokea kabisa.

Mchele 2400 kilo

Serikali ipo kimya tu wao wana hela za kula.

CCM imeamua kutusaliti, sasa hivi sokoni hatuoni mahindi yanatoka kwenye stock yanawekwa kwenye maroli yanavuka boda.

Tukisema hivi wanaona kama tunatania maana wao hali ya mtaani hawaijui.

Sawa bwana.
Umejifikiria wewe tu kama mlaji! Umetuweka wapi sisi tuliolima kwa tabu na tumevuna kiduchu? Unataka hayo mahindi kidogo tuliyo vuna tukuuzie unga buku? Wapumbafu mnawaza kumnyonya mkulima tu!
 
naona wakulima wamekuja juu, now vita ya wakulima na walaji...
wafanya biashara na serikali wanawachora tuh
 
Back
Top Bottom