Song of Solomon
JF-Expert Member
- Aug 5, 2021
- 2,752
- 5,609
''A stick you throw ahead, you will find no matter the distance."Kupanda kwa maisha na mfumko wa bei kwa bidhaa mbalimbali, inawahusu na Mataga au ni kwa wanachadema tu?
EeeenHeeee!Kama familia zao zilikuwa hazina hela walisomeshaje watoto wao International school? Ujamaa ni sumu ambayo Nyerere asingetulisha hao wakina Rostam na Dewji wangekuwa wengi sana wanatengeneza ajira. Kumbuka wengi walikimbia nchi baada ya Azimio la Arusha. Waliobaki walijitahidi kuendesha biashara zao na ndiyo hao wakina Mo na Rostam.
EeeenHeeee!
Unaona unavyozidi kuonyesha ujinga?
Hao wangekuwa wengi na wazazi wako wangekuwa na hali gani? Hata kuwepo kwako inawezekana kungekuwa kwa mashaka wakati huu!
Wapi Afrika ambapo umewaona hao wengi na hali za wananchi wengine zikawa bora kuzidi za waTanzania?
Unajisemea tu kila linalokuja akilini bila ya kulipa tafakuri na kupima kuona ukweli wake ulivyo?
Mi naona akili yako imegota.Kama Dewji anaajiri watu 24,000, tungekuwa na watu 100 kama yeye wangeajiri wangapi? Fanya hesabu halafu utajua kwa nini sera mbovu za Ujamaa zinatukwamisha.
Huna tu akili na hujui unachozungumza!Kumbuka kwamba kama wewe unavyofanya biashara upate faida, kilimo nacho ni biashara. Elewa kwamba sasa ni fursa ya mkulima kupata faida.
Zingatia mkulima siyo punda wa taifa. Kama unaona vipi acha kupiga soga hapo mjini nenda kajilimie chakula chako.
Ko wakifunga mipaka mnufaika atakuwa mkulima ?Wanaouza mazao wakati huu wala mkulima hahusiki kabisa tena ni mapesa toka nje yaliyoingia kununua mazao na kuweka stock mazao kwa mfano kijiji cha gwarama kule kakonko.
Wanyarwanda wamejenga magodown kupitia wafanyabiashara wa pale na kila mwaka huweka tani nyingi mno za mazao wakati kama huu husafirisha, haya pale nyakanazi kuna tajiri wa burundi anaitwa kamangaza ana magodown pale kupitia wazawa na hununua mahindi mengi sana na mtama, na huanza kusafirisha kwenye uadimu hali kadhalika.
Wafanyabiashara wakenya huingiza pesa nyingi sana kule chunya na songea nakuweka store tani nyingi sana za mazao, kwahiyo tunaposema mfunge mipaka tunamaana mnufaika kwa sasa sio mkulima kama mnavojidanganya, mavuno yangekua mengi ni sawa lakini mnakaza vichwa huko serikalini wakati hamna hata taarifa za kutosha.
Nchi haindeshwi hivyo!Kumbuka kwamba kama wewe unavyofanya biashara upate faida, kilimo nacho ni biashara. Elewa kwamba sasa ni fursa ya mkulima kupata faida.
Zingatia mkulima siyo punda wa taifa. Kama unaona vipi acha kupiga soga hapo mjini nenda kajilimie chakula chako.
Ujamaa nchini ulishafutwa na lile Azimio la Zanzibar !! Sasa hivi ni ubepari uchwara kwa kwenda mbele !!Nenda kamuulize 'Roast au moduji' kama watakwambia kuna 'ujamaa' hapa!
Kila mara nakusoma na kuona una mawazo ya ajabu sana. Hivi unadhani kujipachika jina la 'Bepari' ndiyo kutakufanya ujue uhusiano wake na maendeleo ya nchi?
Biashara ya mazao ni kitu cha aina yake waziri bashe kaa ofisini lakini nauhakika haujui lolote huku field nini kinaendelea maana hata uhakiki wa wakulima wenu hamjafanya ndio maana wageni hununua mashamba kama wazawa na kuanza kuchapa jembe kama kawaida lazima muwe na mipango ya kueleweka
Kalime utajirike, wacha kulalamika bila mpango.Serikali ya CCM chini ya Rais Samia Imeamua kwa makusudi kutuacha watanzania na kuangali maslai yao.
Hali ni mbaya sana mtaani vyakula bei hazishikiki.
Vyakula vinavushwa mipakani na kwenda nje ya nchi sisi hatupati.
Imefika hatua sasaivi mabwenyenye wananunua mzigo bado upo shambani wanavuna na kupeleka nje ya nchi, Kilimanjaro kuna njaa lakini mahindi yanapitia hapohapo kwenda Kenya.
Sasa hivi unga wa sembe kilo moja 2000 hii haijawai kutokea kabisa.
Mchele 2400 kilo
Serikali ipo kimya tu wao wanahela za kula.
CCM imeamua kutusaliti, sasa hivi sokoni hatuoni mahindi yanatoka kwenye stock yanawekwa kwenye maroli yanavuka boda.
Tukisema hivi wanaona kama tunatania maana wao hali ya mtaani hawaijui.
Sawa bwana.
Aliyekwambia mkulima wa kawaida kule kijijini ananufaika na biashara ya mazao nani, mkulima amekuwa ni mtu wa kunyonywa na walanguzi na madalali kupitia lumbesa, kubana mizani na kupewa bei ndogo, jaribu kutumia akili kufikiri kwa kina.
Acha kuongopa dogo! Hebu weka takwimu hapa
Pale iringa yale mavihenge mawili yamechukuliwa na mkenya amejaza mahindi mle na anakobokoa kisha anapaki unga kwenda kuuza kwao!
Wanaofikri mkulima ndio anafaidika hawana akili! Mkulima hakuna chochote anachofaidika. Wanaofaidika ni walanguzi wanaoenda kulangua mahindi kwa wakulima kisha wao huuza kwa profit kubwa kubwa!
Hata mahindi yakiuzwa debe kwa laki 1 hakuna chochote mkulima wa jembe la mkono hapa tz atafaidi!
Njaa ikianza wakwanza kulalamika watakuwa ni hao wakulima.
Mkuu atapata faida ganiKumbuka kwamba kama wewe unavyofanya biashara upate faida, kilimo nacho ni biashara. Elewa kwamba sasa ni fursa ya mkulima kupata faida.
Zingatia mkulima siyo punda wa taifa. Kama unaona vipi acha kupiga soga hapo mjini nenda kajilimie chakula chako.
Unataka kilo ya mchele au mahindi iwe Tsh ngapi? Ni lini wakulima wa Tanzania watapata bei nzuri ya mazao Yao? Bei hupangwa na market forces za supply and demand, periodSerikali ya CCM chini ya Rais Samia Imeamua kwa makusudi kutuacha watanzania na kuangali maslai yao.
Hali ni mbaya sana mtaani vyakula bei hazishikiki.
Vyakula vinavushwa mipakani na kwenda nje ya nchi sisi hatupati.
Imefika hatua sasaivi mabwenyenye wananunua mzigo bado upo shambani wanavuna na kupeleka nje ya nchi, Kilimanjaro kuna njaa lakini mahindi yanapitia hapohapo kwenda Kenya.
Sasa hivi unga wa sembe kilo moja 2000 hii haijawai kutokea kabisa.
Mchele 2400 kilo
Serikali ipo kimya tu wao wanahela za kula.
CCM imeamua kutusaliti, sasa hivi sokoni hatuoni mahindi yanatoka kwenye stock yanawekwa kwenye maroli yanavuka boda.
Tukisema hivi wanaona kama tunatania maana wao hali ya mtaani hawaijui.
Sawa bwana.