Uchaguzi 2020 Serikali ya Marekani yaonya "Vitisho na mabavu dhidi ya upinzani si dalili nzuri ya Uchaguzi Huru Tanzania Oktoba 2020"

hata wapambe wa Gaddafi nao walikuwa wakijipa moyo hivi hivi kama wewe ndugu.

wote tunajua kilichofuatia!
Mambo yake huko ndani yamemshinda. Kazi kuingilia mambo ya wengine. Marekani aanze kwanza kuweka vizuri haki ndani ya mipaka yake.
 
Mmeshamgeuka tena wakati mlikuwa mnamlinganisha na jiwe lenu? Wangekuwa wanamponda Lissu mngekuja mmejifunga vibwebwe kama vya madenge. Mdharau mwiba mguu huota tende. Jitieni hamnazo
 
Tumia akili na ujiulize kwann wanatumia muda kuangaika na mambo haya. Na kwa kawaida Tl sio kuwa alitakiwa awe anahojiwa juu ya shambulio lake? Kwann hili halifanyiki badala yake mkuu anasema bado wanapata tatizo kumpata? Kuna jambo linaendelea, huu si wakati wa kubeza, tutumie akili.
 
Kila anapo kanyaga mh Lissu basi anaonekana kwa wapenda haki ulaya yoote, marekani, na kwingineko

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Just the next day rubbish! All those bombings, drones, and the immemorable Hiroshima and Nagasaki incinerations! Ever said anything about slavery? Now masquerading, police-like to foresee over these useless politicians. That is too low for a Senator.

Anyhow, we now know the political ignorance of these scientifically developed nations. Let them use Trump dote to firstly disinfect their brains.
 
poa poa.

Wamarekani wanafuatilia kwa karibu sana kuhakikisha haki inatendeka 28/10/2020.
ni vyema mamlaka zihakikishe haki inatamalaki vinginevyo kuna mtu anaweza ku-Gaddafi-wa mazima!
Tunawamaliza kabla ya 28/10/2020! Mtakuwa tayari mko hoi bin tabani.
 
Kwani Tanzania ni koloni la marekani ?hii ni nchi huru inajiamulia mambo yake yenyewe mbona uchaguzi wa marekani ulihackiwa wakamgua Trump bila kitegemea je Tanzania iliingilia
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…