Binti Sayuni Tz
Senior Member
- Nov 25, 2015
- 156
- 238
Mambo yake huko ndani yamemshinda. Kazi kuingilia mambo ya wengine. Marekani aanze kwanza kuweka vizuri haki ndani ya mipaka yake.hata wapambe wa Gaddafi nao walikuwa wakijipa moyo hivi hivi kama wewe ndugu.
wote tunajua kilichofuatia!