Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapa wamarekani wanaongelea hoja kwa hoja na sio hoja kwa mawe.Marekani 'ihangaike' Kwanza na 'Upuuzi' wa Rais wao Trump hadi 'anadhihakiwa' na akina Michelle Obama katika DNC kisha ndiyo aje huku Kwetu.
Tuambie tusi moja alilotamka ili nasi tuungane nanyi kumponda, vinginevyo zitakuwa ni bangi tu kama kawaida yenu.Angia kuanza kutafuta wadhamini kwa Wagombea Urais wapi imetumika nguvu mkuu. Au ndiyo mabeberu wanataka kutimiza adhima yao waliyokubaliana na kibalaka wao ya kuhakikisha amani inavurugika Tanzania...
Media gani imebanwa?Mmedia zimebanwa mpaka hapa jf, au umejitoa akili
Vyeti feki ndo wengi wanolalama humu.una vigezo vya kupata ajira ??
Kama nawe unalijua hilo la Mabwana, nini kifanyike kwa akili yako ili kusiwe na vurugu?
Akili ni kuja na ufumbuzi wa matatizo kabla hayajatokea. Ni wakati wa kutumia akili sasa.
Hivi naomba kuuliza ukishakuwa kijani kufikiri nako kunaisha!?
Usijilinganishe na ISA na usiwatukane USA wao ndiyo wenye slogan "KWA MSAADA WA WATU WA MAREKANI"USA linaendelea kuwa taifa kubwa na la hovyo sana dunia, kila siku kutoa matamko ya siyo kuwa na kichwa wala miguu.
Walionya na kutoa tamko la kuhusu corona kiko wapi? Watuache nani huwa anaingila mambo yao wao ya ndani? Ukitaka kujua USA wakati mwengine ni wajinga angalia aina ya rais waliye naye wakati huu.
wakisiia mshamba wa chato ndio mnawaona wa maana. yaani ukiwa mshabeki wa ccm lazima uwe kichaa.USA linaendelea kuwa taifa kubwa na la hovyo sana dunia, kila siku kutoa matamko ya siyo kuwa na kichwa wala miguu.
Walionya na kutoa tamko la kuhusu corona kiko wapi? Watuache nani huwa anaingila mambo yao wao ya ndani? Ukitaka kujua USA wakati mwengine ni wajinga angalia aina ya rais waliye naye wakati huu.
Nyinyi mnaosikilizia Ulaya na marekani wanasemaje ndiyo mnategemea kupewa nchi, mtasubiri sana na wala hao marekani hawatawasaidi kitu, mnakwenda kupigwa kihalali kabisa na hao mabeberu watawagundua kuwa nyie walaghai tuLazima MATAGA watafuteni!!
kwaiyo hukumsikia yule afande akisema kosa la sugu?Ninayo mengine wala si jingine tu.
Wananchi wa kawaida ndiyo kina nani? Wao ndiyo wanaruhusiwa kudhuru watu na mali zao? Au ni wale wasiojulikana mnaojulikana?...
Utasubiri sana, tuliyo nayo inajitoshelezaUsijilinganishe na ISA na usiwatukane USA wao ndiyo wenye slogan "KWA MSAADA WA WATU WA MAREKANI"
1.USAID
2.MCC...
Nini uliyonayo?Utasubiri sana, tuliyo nayo inajitosheleza