Serikali ya Rais Samia imeleta tabasamu na matumaini katika kila Sekta

Serikali ya Rais Samia imeleta tabasamu na matumaini katika kila Sekta

Kwenye siasa upinzani wamekiri katika marais wote waliopita Rais Samia Suluhu ameonyesha nia ya dhati ya kufanya mazungumzo na kupata mariadhiano ya kitaifa
Rais Samia anakubalika na kila kundi kutokana na kazi kubwa aliyoifanya katika kuijenga nchi yetu
 
Endelea na uchawa wako kama unalipa
Endelea kupinga pinga kila kitu mwisho wa siku utajikuta umebaki mwenyewe na kupata maradhi ya presha kutokana na upendo mkubwa walionao watanzania kwa Rais wetu mpendwa mama Samia
 
Unakuta ni muhitimu wa Chuo kikuu.

Mjinga mjinga Fulani, ambaye kusoma kwake kote aliamini kuajiriwa .


Mambo yakawa sivyo.

Baba yake akamwambia, Mwanangu, Ingia CCM, sifia tuu, utapata uteuzi.

Mavijana kama wewe ni boga kabisaa .

HIVI WEWE KIAZI, BADALA YA KUA UNAANDIKA MAANDIKO AMA YAKUSHAURI,AU KUCHALLENGE WATU WAJIREKEBISHE, AU BASI WAANDIKIE WATAWALA NAMNA FAN YA KUMFANYA MTANZANIA AJIKWAMUE .


wewe kwakua baba yako kakuambia sifia, basi ni kusifia tuu

Hapo akili yako inakutuma " hata nikioewa 'UDED' poa tuu .


Siuwambie wakuteue tu, ili uanze kupiga matarumbeta.
Anasoma madrasa.
 
Kabla mbolea Magufuli aliacha mfuko wa DAP tsh. 60 mpaka 65 elfu.
Alipoingia huyo mbolea ikapaa mpaka laki 1.3.
Baada ya ruzuku mfuko huo unaupata kwa 70 elfu.
Sasa unacho sifia ni nn??
Hiyo elimu unayoisema sijui bure mara uhakika wa mkopo, total ni kaburi baada ya kuzalisha wasomi uliiwafundisha kuajiriwa na kuwapotezea muda bure.

Issue ya vituo labda useme anamalizia alivyoanzisha mzee Magu ila sio yeye ajenge vipya sijakiona hata 1.
Zaidi deni limekua na pesa inaingia mifuko ya akina Mwigulu na ukoo wa Makamba.
QUOTE]
Kumbuka kuwa mbolea zilipanda zinakotoka na siyo kwamba serikali ya Rais Samia Ndio ilipandisha Bei Kama unavyotaka kupotosha hapa,
 
Tatizo la vijana wa kitanzania hamtaki mtu aandike ukweli kuusu serikali kama Serikali inafanya mambo mazuri acha watuwaseme wakifanya mambo mabaya tutasema pia
Wewe unahakika, Serikali hiii Kwa yanayoendelea, Ni kusifiii Kila Mara ??.

Yaan Dkt Bashiru, aseme neno

Wewe mganga njaaa, ulete njaa zako??.

Kwenye kusifu lazima tusofu, kwenye maujinga lazima tukemeee
 
Wewe unahakika, Serikali hiii Kwa yanayoendelea, Ni kusifiii Kila Mara ??.

Yaan Dkt Bashiru, aseme neno

Wewe mganga njaaa, ulete njaa zako??.

Kwenye kusifu lazima tusofu, kwenye maujinga lazima tukemeee
Kwani Nani kakuzuia kukosoa,mambo mema na makubwa aliyoyafanya mh Rais Ni mengi sana ambayo huwezi hata kuyamaliza kuyaorodhesha hapa ,ndio sababu unaona namna anavyokubalika na kupendwa Sana na watanzania kwa kuwa hata penye changamoto wanaona juhudi zake katika kutafuta ufumbuzi wa changamoto husika inayokuwa imejitokeza mbele yetu Kama Taifa
 
Wewe mlamba asali toa ujinga mtupu,huko kusini wakulima wa korosho wako wanalalamika kwa kupunjwa bei,nja kali huko vijijini mpaka sado la maindi linaizwa elfu 8 wakati hawana ela huko vijijini ukisema jina la Samia watu wanasikia Kichefuchefu cha kutapika.
 
Ndugu zangu,Mnyonge mnyongeni Haki yake mpeni,Serikali ya Rais Samia imeleta Tabasamu na matumaini katika kila secta,Leo hii ukiangalia na kufuatilia kila secta utagundua na kuona kuwa Rais Samia amefanya uwekezaji na mapinduzi makubwa katika kila secta inayogusa maisha ya mtanzania,kila eneo utakuta mkono wa Rais Samia,kila mahali utakuta maagizo ya Rais Samia,kila eneo utakuta kazi ikiendelea kwa Kasi ,kila Kona utakuta Alama za Rais Samia,Hakuna utakapokwenda ukakuta kumesahaulika na serikali ya Rais wetu,Hakuna utakapokwenda ukakuta hakuna uwekezaji wa Kodi za mtanzania,Ni kazi kila mahali,Ni uwekezaji kila Kona na matumaini kila eneo.
Siku hz unajitahidi husahau kuacha namba ya simu😀😀😀

Walikuja wenzio hivihivi mpaka wakaamua kusepa 👇👇

 
Anapambana vipi wakati hadi leo wameshindwa kutoa mikopo yetu ya ufugaji samaki na uvuvi? Pesa ambazo zilitolewa na mabeberu tangu kitambo. Acha uchawa wewe, Rais hopeles kabisa huyu
 
Endelea kupinga pinga kila kitu mwisho wa siku utajikuta umebaki mwenyewe na kupata maradhi ya presha kutokana na upendo mkubwa walionao watanzania kwa Rais wetu mpendwa mama Samia
Rais aliyeingia ikulu kwa wizi wa kura kwa misaada wa mafisadi
 
Ndugu zangu,Mnyonge mnyongeni Haki yake mpeni,Serikali ya Rais Samia imeleta Tabasamu na matumaini katika kila secta,Leo hii ukiangalia na kufuatilia kila secta utagundua na kuona kuwa Rais Samia amefanya uwekezaji na mapinduzi makubwa katika kila secta inayogusa maisha ya mtanzania,kila eneo utakuta mkono wa Rais Samia,kila mahali utakuta maagizo ya Rais Samia,kila eneo utakuta kazi ikiendelea kwa Kasi ,kila Kona utakuta Alama za Rais Samia,Hakuna utakapokwenda ukakuta kumesahaulika na serikali ya Rais wetu,Hakuna utakapokwenda ukakuta hakuna uwekezaji wa Kodi za mtanzania,Ni kazi kila mahali,Ni uwekezaji kila Kona na matumaini kila eneo.

Ukienda katika Elimu unakuta Ni Tabasamu na matumaini makubwa kwa watoto wanaotoka familia za kipato Cha chini Kuendelea mbele kielimu na kimasomo baada ya Rais huyu shupavu,Jasiri,imara,,Hodari na mzalendo wa Dhati kuamua kuifanya Elimu kuwa bure Hadi kidato Cha sita,Utakuta wanafunzi wa vyuo vikuu wakiwa na Tabasamu baada ya kupatiwa mikopo kwa wakati kwa wote waliokidhi vigezo.wazazi wenye kipato Cha chini hawana wasiwasi juu ya watoto wao kutimiza Ndoto zao maana wanajuwa habari njema iliyoletwa na jemedari wetu Rais Samia kwa kuamua kuwa kila mtoto bila kujari familia aliyotokea anapata haki ya Elimu bila kikwazo au kizuizi.

Ukienda katika kilimo unawakuta wakulima wakiwa na Furaha na kumshukuru Rais wao Mama wa shoka Rais Samia kwa kuwapatia mbolea za Ruzuku kwa kutoa mabillioni ya pesa za kitanzania Takribani billioni Mia moja hamsini huku bajeti ya Wizara ikiongezeka Mara dufu katika historia ya nchi yetu na kufikia billioni Mia Tisa na point,Sasa wakulima Ni Tabasamu na matumaini makubwa mioyoni mwao ya kuongeza na kufanya kilimo Chao bila kikwazo baada ya kupatiwa unafuu wa Bei ya mbolea, lakini pia Wana uhakika wa soko la mazao yao baada ya Rais wetu mpendwa kuimarisha Diplomasia yetu ya uchumi na kuifungua nchi yetu kiuwekezaji na kibiashara ,Sasa wakulima wanafaidika na jasho lao baada ya kuwa juani na kwenye mvua wakati wote wa kilimo, utawaambia Nini wakulima juu ya mama yao Rais Samia wakuelewe? Hakika Kama unataka ugomvi na wakulima jaribu umseme vibaya Rais Samia utakiona Cha mtema kuni.

Ukienda katika secta binafsi Ni mafanikio matupu kwani kwa Sasa secta hii imeimarika vizuri na kukua vyema na kutoa fursa za ajira kwa vijana,Husikii habari za kufungwa kwa biashara za watu ,au kupunguza wafanyakazi au muwekezaji kuondoka nchini,kwa Sasa unasikia uwekezaji katika kila nyanja ,ujio wa wawekezaji wakubwa na masuala mengine Kama hayo.

Ukija katika Afya nako Ni Matumaini na mafanikio matupu,vituo vingi vya Afya vimejengwa kila Kona ya nchi yetu,kila sehemu huduma za Afya zimesogezwa karibu ya mwananchi,upatikanaji wa Dawa ,vifaa Tiba Ni wa uhakika bila kusahau uwepo wa wataalamu
na wahudumu mudaa wote. Hivi majuzi tu vimejengwa vituo vya Afya takribani 234 nchini vilivyotokana na Tozo zetu chini ya usimamaizi madhubuti wa Rais Samia na serikali yake.

Hayo Ni kwa uchache Kati ya mengi,Ni wapi utakwenda usikute kazi ya kutukuka ya Rais Samia? Ni wapi Rais Samia na serikali yake hajapeleka fedha? Ni Nani na kwa namna gani hajaguswa na juhudi na utumishi wa kutukuka wa Rais Samia? Ni Nani hajafikiwa na huduma? Ni Nani hajaona juhudi za Rais Samia katika kuijenga nchi yetu? Ni Nani Haoni namna Rais Samia anavyofanya kazi bila kupumzika? Ni Nani asiyeona upendo wa dhati na mkubwa alionao Rais Samia kwa Taifa letu?


Mnataka Rais wetu mpendwa afanye Nini kwetu ili Turidhike? Mnataka atuletee Nini ili Tushukuru kwa uwajibikaji wake uliotukuka? Kwanini Tusimpongeze ndugu zangu? Hamjuwi hata yeye Ni mwanadamu? Hamjuwi hata yeye ana moyo wa nyama? Nawaombeni watanzania wenzangu Tuendelee kumuunga mkono mh Rais wetu mpendwa mama Samia na Tuwe na Subira tupitiapo changamoto fulani Kama Taifa.

Kazi Iendeleee,Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, kijana mzalendo na mpenda nchi yangu: 0742-676627
Chawa kwa ubora wako
 
Ndugu zangu,Mnyonge mnyongeni Haki yake mpeni,Serikali ya Rais Samia imeleta Tabasamu na matumaini katika kila secta,Leo hii ukiangalia na kufuatilia kila secta utagundua na kuona kuwa Rais Samia amefanya uwekezaji na mapinduzi makubwa katika kila secta inayogusa maisha ya mtanzania,kila eneo utakuta mkono wa Rais Samia,kila mahali utakuta maagizo ya Rais Samia,kila eneo utakuta kazi ikiendelea kwa Kasi ,kila Kona utakuta Alama za Rais Samia,Hakuna utakapokwenda ukakuta kumesahaulika na serikali ya Rais wetu,Hakuna utakapokwenda ukakuta hakuna uwekezaji wa Kodi za mtanzania,Ni kazi kila mahali,Ni uwekezaji kila Kona na matumaini kila eneo.

Ukienda katika Elimu unakuta Ni Tabasamu na matumaini makubwa kwa watoto wanaotoka familia za kipato Cha chini Kuendelea mbele kielimu na kimasomo baada ya Rais huyu shupavu,Jasiri,imara,,Hodari na mzalendo wa Dhati kuamua kuifanya Elimu kuwa bure Hadi kidato Cha sita,Utakuta wanafunzi wa vyuo vikuu wakiwa na Tabasamu baada ya kupatiwa mikopo kwa wakati kwa wote waliokidhi vigezo.wazazi wenye kipato Cha chini hawana wasiwasi juu ya watoto wao kutimiza Ndoto zao maana wanajuwa habari njema iliyoletwa na jemedari wetu Rais Samia kwa kuamua kuwa kila mtoto bila kujari familia aliyotokea anapata haki ya Elimu bila kikwazo au kizuizi.

Ukienda katika kilimo unawakuta wakulima wakiwa na Furaha na kumshukuru Rais wao Mama wa shoka Rais Samia kwa kuwapatia mbolea za Ruzuku kwa kutoa mabillioni ya pesa za kitanzania Takribani billioni Mia moja hamsini huku bajeti ya Wizara ikiongezeka Mara dufu katika historia ya nchi yetu na kufikia billioni Mia Tisa na point,Sasa wakulima Ni Tabasamu na matumaini makubwa mioyoni mwao ya kuongeza na kufanya kilimo Chao bila kikwazo baada ya kupatiwa unafuu wa Bei ya mbolea, lakini pia Wana uhakika wa soko la mazao yao baada ya Rais wetu mpendwa kuimarisha Diplomasia yetu ya uchumi na kuifungua nchi yetu kiuwekezaji na kibiashara ,Sasa wakulima wanafaidika na jasho lao baada ya kuwa juani na kwenye mvua wakati wote wa kilimo, utawaambia Nini wakulima juu ya mama yao Rais Samia wakuelewe? Hakika Kama unataka ugomvi na wakulima jaribu umseme vibaya Rais Samia utakiona Cha mtema kuni.

Ukienda katika secta binafsi Ni mafanikio matupu kwani kwa Sasa secta hii imeimarika vizuri na kukua vyema na kutoa fursa za ajira kwa vijana,Husikii habari za kufungwa kwa biashara za watu ,au kupunguza wafanyakazi au muwekezaji kuondoka nchini,kwa Sasa unasikia uwekezaji katika kila nyanja ,ujio wa wawekezaji wakubwa na masuala mengine Kama hayo.

Ukija katika Afya nako Ni Matumaini na mafanikio matupu,vituo vingi vya Afya vimejengwa kila Kona ya nchi yetu,kila sehemu huduma za Afya zimesogezwa karibu ya mwananchi,upatikanaji wa Dawa ,vifaa Tiba Ni wa uhakika bila kusahau uwepo wa wataalamu
na wahudumu mudaa wote. Hivi majuzi tu vimejengwa vituo vya Afya takribani 234 nchini vilivyotokana na Tozo zetu chini ya usimamaizi madhubuti wa Rais Samia na serikali yake.

Hayo Ni kwa uchache Kati ya mengi,Ni wapi utakwenda usikute kazi ya kutukuka ya Rais Samia? Ni wapi Rais Samia na serikali yake hajapeleka fedha? Ni Nani na kwa namna gani hajaguswa na juhudi na utumishi wa kutukuka wa Rais Samia? Ni Nani hajafikiwa na huduma? Ni Nani hajaona juhudi za Rais Samia katika kuijenga nchi yetu? Ni Nani Haoni namna Rais Samia anavyofanya kazi bila kupumzika? Ni Nani asiyeona upendo wa dhati na mkubwa alionao Rais Samia kwa Taifa letu?


Mnataka Rais wetu mpendwa afanye Nini kwetu ili Turidhike? Mnataka atuletee Nini ili Tushukuru kwa uwajibikaji wake uliotukuka? Kwanini Tusimpongeze ndugu zangu? Hamjuwi hata yeye Ni mwanadamu? Hamjuwi hata yeye ana moyo wa nyama? Nawaombeni watanzania wenzangu Tuendelee kumuunga mkono mh Rais wetu mpendwa mama Samia na Tuwe na Subira tupitiapo changamoto fulani Kama Taifa.

Kazi Iendeleee,Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, kijana mzalendo na mpenda nchi yangu: 0742-676627
Usisahau kuwa ukienda Hospitali na hasa Muhimbili ujue kupokelewa tu wafungue faili ni uweke mil.1.2 au zaidi ndio upokelewe.

Hili nalo mkakitizame wizara ya afya.
 
Wewe mlamba asali toa ujinga mtupu,huko kusini wakulima wa korosho wako wanalalamika kwa kupunjwa bei,nja kali huko vijijini mpaka sado la maindi linaizwa elfu 8 wakati hawana ela huko vijijini ukisema jina la Samia watu wanasikia Kichefuchefu cha kutapika.
Unafahamu Bei ya mbolea msimu uliopita ilikuwa shilingi ngapi kwa DAP,UREA,SA,CAN n.k? kwa akili yako na upeo wako wa kufikiri ,kwa Bei ya mbolea msimu uliopita ulitaka wauze mazao yao kwa shilingi ngapi? Kilimo Ni Biashara kwa Sasa,Nani anayeipenda kufanya biashara kichaa inayoleta hasara muda wote? Nani anapenda kukatika katika biashara? Nani asiyependa faida katika biashara take? Hujachelewa tafuta ardhi ulime upate mahindi ya chakula na mengine utauza kwa Mahitaji yako na familia yako,usitake wakulima wavuje jasho halafu wewe uje ulie kimvulini bila jasho
 
Anapambana vipi wakati hadi leo wameshindwa kutoa mikopo yetu ya ufugaji samaki na uvuvi? Pesa ambazo zilitolewa na mabeberu tangu kitambo. Acha uchawa wewe, Rais hopeles kabisa huyu
Uwe na heshima na adabu kwa mh Rais wetu,uwe Kama mtu aliyepata malezi ya wazazi,siyo kuropoka ropoka tu Kama mlevi ,
 
Unafahamu Bei ya mbolea msimu uliopita ilikuwa shilingi ngapi kwa DAP,UREA,SA,CAN n.k? kwa akili yako na upeo wako wa kufikiri ,kwa Bei ya mbolea msimu uliopita ulitaka wauze mazao yao kwa shilingi ngapi? Kilimo Ni Biashara kwa Sasa,Nani anayeipenda kufanya biashara kichaa inayoleta hasara muda wote? Nani anapenda kukatika katika biashara? Nani asiyependa faida katika biashara take? Hujachelewa tafuta ardhi ulime upate mahindi ya chakula na mengine utauza kwa Mahitaji yako na familia yako,usitake wakulima wavuje jasho halafu wewe uje ulie kimvulini bila jasho
Ndio Maana nimesema Wewe ni mlamba asali,nenda hapo kusini kwa wauza Korosho usikie kilio chao, wakulima wanavyolalamika kuhusu bei,sasa hiyo furaha inatoka wapi wakati kuna wakulima wanalalamika? Subirini migomo inakaribia,kuna wanafunzi wa mpaka leo hawajapewa mikopo pamoja na kupitishwa na bodi eti watu wanafuraha.
 
Back
Top Bottom