Serikali ya Rais Samia imeleta tabasamu na matumaini katika kila Sekta

Serikali ya Rais Samia imeleta tabasamu na matumaini katika kila Sekta

Utakuwa unamuongelea rais wa manzese sio Rais wa JMT. Hii nchi ni kubwa sana kwa kuiongelea kwa takwimu zako zakitoto na zinazokunifaisha wewe, lamba asali ni swala la muda tu acha kulopokwa.
Leta Takwimu zako tofauti na zangu,pinga Takwimu zangu kwa kuleta Takwimu zako
 
Hali ya Umeme kwa Sasa inarejea katika Hali take ya kawaida,Niliko Mimi kwa sasa tunapata umeme bil shida ukilinganisha na awali kipindi Cha ukame mkali
Kwako wameshamaliza matengenezo?

Bila JPM kutuamsha hii nchi tungekuwa tunapewa kila aina ya kisingizio.
 
Kwako wameshamaliza matengenezo?

Bila JPM kutuamsha hii nchi tungekuwa tunapewa kila aina ya kisingizio.
Umeme kwa Sasa Hali Ni yakutia matumaini Sana ,kwani unapatikana muda mwingi ukilinganisha na muda unaokatika
 
Umeme kwa Sasa Hali Ni yakutia matumaini Sana ,kwani unapatikana muda mwingi ukilinganisha na muda unaokatika
Acha ulongo wewe. Utakuwa unatumia umeme kuchaji simu tu basi.

Mgao mkali sana jijini Dar.

Wewe huelewi, watu tunategemea umeme ndio maisha yasogee. Tunaisoma mno
 
Skunk of the nation! Once a parent sold cattle and sent another bull to school! Pathetic! Umamsifia mtu mpaka anaona aibu mwenyewe!
Ulichokiandika ni kwamba Tanzania imo katika nchi zilizoendelea tena kwa kiwango Cha Juu zaidi!
Tanzania haina chamgamoto zozote!
Wewe ni mpumbavu ashakum si matusi Ila mlamba matatercall kwa ajili ya kujaza tumbo!
Mzalendo ni mtu anayeipenda nchi yake sio mtu aliye nje ya serikali anampaka kiongozi mafuta Ili anyone kihiyo wewe! Unatutia aibu vijana na sijui ni chuo gani ulisoma ambacho Hakifundishi logical and critical thinking and reasoning! Wewe ni mzigo kwa Taifa! USA, Europe and Scandinavian countries Bado Wana chagamoto lukuki licha ya hatua kubwa waliyopiga katika maendeleo ya watu na vitu Leo umamsifia Rais utadhani tuko mbinguni?

Vituo vya afya vimejengwa havina watumishi wa kutosha na dawa na vifaa Tiba huku watanzania wachache wakiwa na bima ya afya kuweza kuifikia hiyo huduma ya matibabu! Badala ya kuishauri serikali y'ako ijje na bima ya afya kwa wote Ili watu wawe na uhakika wa kuishi na kufanya kazi kwa maendeleo Yao wewe unabana pua (pumbavu)

Karne ya 21 nchi Ina shule za matabaka (shule za kata community school) form four kwaheri kwenye mfumo na hawana wanalochangia kwenye maendeleo ya nchi hii kama secta rasmi? Shule za serikali (state schools) wanaosoma watoto wa vigogo na daraja la shule za taasisi na watu binafsi (mabwanyenye?) Unasema elimu ni Bora au Bora elimu ya idadi kubwa ya wanohudhuria vyima vya madarasa kama wewe mjinga mmoja?

Umeme umekua changamoto pamoja na Maji Karne ya 21 maji yanatoka wakati wa ziara tu unasema nchi imeendelea? Hivi wewe ni mbuzi kama alivyosema yule mhabeshi?

Fedha za umma zinatafunwa kila uchwao unasema anadeal na mafisadi? Taja kesi hata moja ilihohukumu mtymishi mbadhirifu unasema anadeal na mafisadi (pumbavu aashakum si mtausi)

Hakuna viwanda vya kusindika na kuongeza thamani kwenye perishable goods Leo unasema mkulima amekombolewa kwa kigezo Cha mbolea? We ni kuku alikatwa kichwa?

Shirika la reli limekuja na pendekezo la nauli ambalo sio rafiki je kutakua na easy movement of people goods and services? We ni kenge mpaka utoke damu ndo utaskia!
Inatia kinyaa!
 
Acha ulongo wewe. Utakuwa unatumia umeme kuchaji simu tu basi.

Mgao mkali sana jijini Dar.

Wewe huelewi, watu tunategemea umeme ndio maisha yasogee. Tunaisoma mno
Hili ni kubwa jinga kunahitajika elimu Ili njaa isiendelee kukaa kichwani irudi tumboni! Ana utapiamlo wa kufikiri
 
Ndugu zangu,Mnyonge mnyongeni Haki yake mpeni,Serikali ya Rais Samia imeleta Tabasamu na matumaini katika kila secta,Leo hii ukiangalia na kufuatilia kila secta utagundua na kuona kuwa Rais Samia amefanya uwekezaji na mapinduzi makubwa katika kila secta inayogusa maisha ya mtanzania,kila eneo utakuta mkono wa Rais Samia,kila mahali utakuta maagizo ya Rais Samia,kila eneo utakuta kazi ikiendelea kwa Kasi ,kila Kona utakuta Alama za Rais Samia,Hakuna utakapokwenda ukakuta kumesahaulika na serikali ya Rais wetu,Hakuna utakapokwenda ukakuta hakuna uwekezaji wa Kodi za mtanzania,Ni kazi kila mahali,Ni uwekezaji kila Kona na matumaini kila eneo.

Ukienda katika Elimu unakuta Ni Tabasamu na matumaini makubwa kwa watoto wanaotoka familia za kipato Cha chini Kuendelea mbele kielimu na kimasomo baada ya Rais huyu shupavu,Jasiri,imara,,Hodari na mzalendo wa Dhati kuamua kuifanya Elimu kuwa bure Hadi kidato Cha sita,Utakuta wanafunzi wa vyuo vikuu wakiwa na Tabasamu baada ya kupatiwa mikopo kwa wakati kwa wote waliokidhi vigezo.wazazi wenye kipato Cha chini hawana wasiwasi juu ya watoto wao kutimiza Ndoto zao maana wanajuwa habari njema iliyoletwa na jemedari wetu Rais Samia kwa kuamua kuwa kila mtoto bila kujari familia aliyotokea anapata haki ya Elimu bila kikwazo au kizuizi.

Ukienda katika kilimo unawakuta wakulima wakiwa na Furaha na kumshukuru Rais wao Mama wa shoka Rais Samia kwa kuwapatia mbolea za Ruzuku kwa kutoa mabillioni ya pesa za kitanzania Takribani billioni Mia moja hamsini huku bajeti ya Wizara ikiongezeka Mara dufu katika historia ya nchi yetu na kufikia billioni Mia Tisa na point,Sasa wakulima Ni Tabasamu na matumaini makubwa mioyoni mwao ya kuongeza na kufanya kilimo Chao bila kikwazo baada ya kupatiwa unafuu wa Bei ya mbolea, lakini pia Wana uhakika wa soko la mazao yao baada ya Rais wetu mpendwa kuimarisha Diplomasia yetu ya uchumi na kuifungua nchi yetu kiuwekezaji na kibiashara ,Sasa wakulima wanafaidika na jasho lao baada ya kuwa juani na kwenye mvua wakati wote wa kilimo, utawaambia Nini wakulima juu ya mama yao Rais Samia wakuelewe? Hakika Kama unataka ugomvi na wakulima jaribu umseme vibaya Rais Samia utakiona Cha mtema kuni.

Ukienda katika secta binafsi Ni mafanikio matupu kwani kwa Sasa secta hii imeimarika vizuri na kukua vyema na kutoa fursa za ajira kwa vijana,Husikii habari za kufungwa kwa biashara za watu ,au kupunguza wafanyakazi au muwekezaji kuondoka nchini,kwa Sasa unasikia uwekezaji katika kila nyanja ,ujio wa wawekezaji wakubwa na masuala mengine Kama hayo.

Ukija katika Afya nako Ni Matumaini na mafanikio matupu,vituo vingi vya Afya vimejengwa kila Kona ya nchi yetu,kila sehemu huduma za Afya zimesogezwa karibu ya mwananchi,upatikanaji wa Dawa ,vifaa Tiba Ni wa uhakika bila kusahau uwepo wa wataalamu
na wahudumu mudaa wote. Hivi majuzi tu vimejengwa vituo vya Afya takribani 234 nchini vilivyotokana na Tozo zetu chini ya usimamaizi madhubuti wa Rais Samia na serikali yake.

Hayo Ni kwa uchache Kati ya mengi,Ni wapi utakwenda usikute kazi ya kutukuka ya Rais Samia? Ni wapi Rais Samia na serikali yake hajapeleka fedha? Ni Nani na kwa namna gani hajaguswa na juhudi na utumishi wa kutukuka wa Rais Samia? Ni Nani hajafikiwa na huduma? Ni Nani hajaona juhudi za Rais Samia katika kuijenga nchi yetu? Ni Nani Haoni namna Rais Samia anavyofanya kazi bila kupumzika? Ni Nani asiyeona upendo wa dhati na mkubwa alionao Rais Samia kwa Taifa letu?


Mnataka Rais wetu mpendwa afanye Nini kwetu ili Turidhike? Mnataka atuletee Nini ili Tushukuru kwa uwajibikaji wake uliotukuka? Kwanini Tusimpongeze ndugu zangu? Hamjuwi hata yeye Ni mwanadamu? Hamjuwi hata yeye ana moyo wa nyama? Nawaombeni watanzania wenzangu Tuendelee kumuunga mkono mh Rais wetu mpendwa mama Samia na Tuwe na Subira tupitiapo changamoto fulani Kama Taifa.

Kazi Iendeleee,Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, kijana mzalendo na mpenda nchi yangu: 0742-676627
Mkuu
Ukishashiba dengu na choroko basi taabu inakuwa kwetu majirani.

Hiki ulichokiandika kinatoka ndani yq nafsi yako au ni vile unalinda dona la watoto?

Hali ni mbaya kuliko maelezo. Unayejitahidi kumhadaa kuwa anapendwa anapaswa kujua dua zimeshaanza kumuomba Mungu awaepushie kikombe anachowanywesha. Akipumzika mhula huu unapoisha ataishi ndani ya mioyo yetu
 
Mkuu
Ukishashiba dengu na choroko basi taabu inakuwa kwetu majirani.

Hiki ulichokiandika kinatoka ndani yq nafsi yako au ni vile unalinda dona la watoto?

Hali ni mbaya kuliko maelezo. Unayejitahidi kumhadaa kuwa anapendwa anapaswa kujua dua zimeshaanza kumuomba Mungu awaepushie kikombe anachowanywesha. Akipumzika mhula huu unapoisha ataishi ndani ya mioyo yetu
Mwenyezi Mungu Ndiye aliyemuinua na kumfikisha hapo kiuongozi Rais wetu mpendwa ,ndio sababu anaungwa mkono na mamillion ya watanzania,Ndio sababu nchi ina amani na utulivu ndio sababu tunapiga hatua za kimaendeleo,ndio sababu kuna umoja wa kitaifa,ndio sababu ya kutamalaki kwa upendo miongoni mwa watanzania.

Rais Samia hawezi Kushushwa na Mwanadamu mwenye chuki binafsi,Rais Samia anapigania maslani ya Taifa letu popote pale anapokuwa
 
Hili ni kubwa jinga kunahitajika elimu Ili njaa isiendelee kukaa kichwani irudi tumboni! Ana utapiamlo wa kufikiri
Umeandika nini Sasa hapa,punguza chuki na hasira katika kifua chako ili nafasi take uchukuliwe na kukaliwa na upendo
 
Bila Shaka hata huelewi ulichoandika maana naona uwezo wako wa kuchambuaa mambo ni wakutoa mashaka,Hivi unaelewa kilichopelekea changamoto ya umeme iliyokuwa imetokea
Uzuri na ubaya ni kwamba natumia anonymous ID, uwezo wako wa kureason na kujadili mambo kwa Hoja hunifikii hata asilimia Tano!
Changamoto za umeme ni man made sio natura causes

Katika ulimwengu tulionao kwa maendeleo ya teknolojia tulikofikia hatupaswi kutegemea tu Hydroelectric power!

Ina Maana hali ya Mabadiliko ya Tabia ya nchi ingepersist for some months nchi hii ingeendelea kuwa gizani na kila kitu kingesoma negative!
Wakati hapo awali waziri alisema tatizo ni uchakavu wa mitambo na transmission lines serikali ikamwaga pesa tatizo likabakia pale pale mpaka waziri anang'aka kuwa watu wanataka uwaziri wake!

Tukamwambia sawa' uhaba wa mvua tu kwa miezi michache hali ikaendelea kupersist akasingizia mvua kama mbaazi inaposhindwa kuzaa! Mungu akatuonea huruma ikanyesha, sasa Leo hii unataka nikwambie kwamba sijui tatizo la umeme ni viongozi wetu kuwaza Leo tu na matumbo Yao na familia zao kama wewe unavyojinadi hapa?
Acha umbumbu Mwashambwa!
Sometimes nakujibu tu sababu naona unaandika tantarira!
 
Umeandika nini Sasa hapa,punguza chuki na hasira katika kifua chako ili nafasi take uchukuliwe na kukaliwa na upendo
Nimeandika ukichosoma na kukijibu!
Nikuchukie kwani naogombea demu na wewe mwenye kamasi kichwani? Hahaa nikuchukie? Acha unaa
 
Mwenyezi Mungu Ndiye aliyemuinua na kumfikisha hapo kiuongozi Rais wetu mpendwa ,ndio sababu anaungwa mkono na mamillion ya watanzania,Ndio sababu nchi ina amani na utulivu ndio sababu tunapiga hatua za kimaendeleo,ndio sababu kuna umoja wa kitaifa,ndio sababu ya kutamalaki kwa upendo miongoni mwa watanzania.

Rais Samia hawezi Kushushwa na Mwanadamu mwenye chuki binafsi,Rais Samia anapigania maslani ya Taifa letu popote pale anapokuwa
mungu yupi unayemtaja?
mungu ambaye anaamua kesi kwa kuua watu msiowataka au mungu yupi?

Kumkosoa Rais Samia siyo chuki binafsi bali kumficha ukweli wa uhalisia ndiyo chuki binafsi pia ni aina ya ulozi mbaya sana.

Nchi ipo pabaya. Watu wanaishi na wengi wanaishia usingizini. Watu hawajui kesho wataamkaje.

Futaneni machozi lakini kilio kipo mlangoni kinawasubiri.
 
Ndugu zangu,Mnyonge mnyongeni Haki yake mpeni,Serikali ya Rais Samia imeleta Tabasamu na matumaini katika kila secta,Leo hii ukiangalia na kufuatilia kila secta utagundua na kuona kuwa Rais Samia amefanya uwekezaji na mapinduzi makubwa katika kila secta inayogusa maisha ya mtanzania,kila eneo utakuta mkono wa Rais Samia,kila mahali utakuta maagizo ya Rais Samia,kila eneo utakuta kazi ikiendelea kwa Kasi ,kila Kona utakuta Alama za Rais Samia,Hakuna utakapokwenda ukakuta kumesahaulika na serikali ya Rais wetu,Hakuna utakapokwenda ukakuta hakuna uwekezaji wa Kodi za mtanzania,Ni kazi kila mahali,Ni uwekezaji kila Kona na matumaini kila eneo.

Ukienda katika Elimu unakuta Ni Tabasamu na matumaini makubwa kwa watoto wanaotoka familia za kipato Cha chini Kuendelea mbele kielimu na kimasomo baada ya Rais huyu shupavu,Jasiri,imara,,Hodari na mzalendo wa Dhati kuamua kuifanya Elimu kuwa bure Hadi kidato Cha sita,Utakuta wanafunzi wa vyuo vikuu wakiwa na Tabasamu baada ya kupatiwa mikopo kwa wakati kwa wote waliokidhi vigezo.wazazi wenye kipato Cha chini hawana wasiwasi juu ya watoto wao kutimiza Ndoto zao maana wanajuwa habari njema iliyoletwa na jemedari wetu Rais Samia kwa kuamua kuwa kila mtoto bila kujari familia aliyotokea anapata haki ya Elimu bila kikwazo au kizuizi.

Ukienda katika kilimo unawakuta wakulima wakiwa na Furaha na kumshukuru Rais wao Mama wa shoka Rais Samia kwa kuwapatia mbolea za Ruzuku kwa kutoa mabillioni ya pesa za kitanzania Takribani billioni Mia moja hamsini huku bajeti ya Wizara ikiongezeka Mara dufu katika historia ya nchi yetu na kufikia billioni Mia Tisa na point,Sasa wakulima Ni Tabasamu na matumaini makubwa mioyoni mwao ya kuongeza na kufanya kilimo Chao bila kikwazo baada ya kupatiwa unafuu wa Bei ya mbolea, lakini pia Wana uhakika wa soko la mazao yao baada ya Rais wetu mpendwa kuimarisha Diplomasia yetu ya uchumi na kuifungua nchi yetu kiuwekezaji na kibiashara ,Sasa wakulima wanafaidika na jasho lao baada ya kuwa juani na kwenye mvua wakati wote wa kilimo, utawaambia Nini wakulima juu ya mama yao Rais Samia wakuelewe? Hakika Kama unataka ugomvi na wakulima jaribu umseme vibaya Rais Samia utakiona Cha mtema kuni.

Ukienda katika secta binafsi Ni mafanikio matupu kwani kwa Sasa secta hii imeimarika vizuri na kukua vyema na kutoa fursa za ajira kwa vijana,Husikii habari za kufungwa kwa biashara za watu ,au kupunguza wafanyakazi au muwekezaji kuondoka nchini,kwa Sasa unasikia uwekezaji katika kila nyanja ,ujio wa wawekezaji wakubwa na masuala mengine Kama hayo.

Ukija katika Afya nako Ni Matumaini na mafanikio matupu,vituo vingi vya Afya vimejengwa kila Kona ya nchi yetu,kila sehemu huduma za Afya zimesogezwa karibu ya mwananchi,upatikanaji wa Dawa ,vifaa Tiba Ni wa uhakika bila kusahau uwepo wa wataalamu
na wahudumu mudaa wote. Hivi majuzi tu vimejengwa vituo vya Afya takribani 234 nchini vilivyotokana na Tozo zetu chini ya usimamaizi madhubuti wa Rais Samia na serikali yake.

Hayo Ni kwa uchache Kati ya mengi,Ni wapi utakwenda usikute kazi ya kutukuka ya Rais Samia? Ni wapi Rais Samia na serikali yake hajapeleka fedha? Ni Nani na kwa namna gani hajaguswa na juhudi na utumishi wa kutukuka wa Rais Samia? Ni Nani hajafikiwa na huduma? Ni Nani hajaona juhudi za Rais Samia katika kuijenga nchi yetu? Ni Nani Haoni namna Rais Samia anavyofanya kazi bila kupumzika? Ni Nani asiyeona upendo wa dhati na mkubwa alionao Rais Samia kwa Taifa letu?


Mnataka Rais wetu mpendwa afanye Nini kwetu ili Turidhike? Mnataka atuletee Nini ili Tushukuru kwa uwajibikaji wake uliotukuka? Kwanini Tusimpongeze ndugu zangu? Hamjuwi hata yeye Ni mwanadamu? Hamjuwi hata yeye ana moyo wa nyama? Nawaombeni watanzania wenzangu Tuendelee kumuunga mkono mh Rais wetu mpendwa mama Samia na Tuwe na Subira tupitiapo changamoto fulani Kama Taifa.

Kazi Iendeleee,Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, kijana mzalendo na mpenda nchi yangu: 0742-676627
Dogo huu uzi umeuweka kwenye auto upload nini? Maana naona kila mara unajirudiarudia.
 
Ndugu zangu,Mnyonge mnyongeni Haki yake mpeni,Serikali ya Rais Samia imeleta Tabasamu na matumaini katika kila secta,Leo hii ukiangalia na kufuatilia kila secta utagundua na kuona kuwa Rais Samia amefanya uwekezaji na mapinduzi makubwa katika kila secta inayogusa maisha ya mtanzania,kila eneo utakuta mkono wa Rais Samia,kila mahali utakuta maagizo ya Rais Samia,kila eneo utakuta kazi ikiendelea kwa Kasi ,kila Kona utakuta Alama za Rais Samia,Hakuna utakapokwenda ukakuta kumesahaulika na serikali ya Rais wetu,Hakuna utakapokwenda ukakuta hakuna uwekezaji wa Kodi za mtanzania,Ni kazi kila mahali,Ni uwekezaji kila Kona na matumaini kila eneo.

Ukienda katika Elimu unakuta Ni Tabasamu na matumaini makubwa kwa watoto wanaotoka familia za kipato Cha chini Kuendelea mbele kielimu na kimasomo baada ya Rais huyu shupavu,Jasiri,imara,,Hodari na mzalendo wa Dhati kuamua kuifanya Elimu kuwa bure Hadi kidato Cha sita,Utakuta wanafunzi wa vyuo vikuu wakiwa na Tabasamu baada ya kupatiwa mikopo kwa wakati kwa wote waliokidhi vigezo.wazazi wenye kipato Cha chini hawana wasiwasi juu ya watoto wao kutimiza Ndoto zao maana wanajuwa habari njema iliyoletwa na jemedari wetu Rais Samia kwa kuamua kuwa kila mtoto bila kujari familia aliyotokea anapata haki ya Elimu bila kikwazo au kizuizi.

Ukienda katika kilimo unawakuta wakulima wakiwa na Furaha na kumshukuru Rais wao Mama wa shoka Rais Samia kwa kuwapatia mbolea za Ruzuku kwa kutoa mabillioni ya pesa za kitanzania Takribani billioni Mia moja hamsini huku bajeti ya Wizara ikiongezeka Mara dufu katika historia ya nchi yetu na kufikia billioni Mia Tisa na point,Sasa wakulima Ni Tabasamu na matumaini makubwa mioyoni mwao ya kuongeza na kufanya kilimo Chao bila kikwazo baada ya kupatiwa unafuu wa Bei ya mbolea, lakini pia Wana uhakika wa soko la mazao yao baada ya Rais wetu mpendwa kuimarisha Diplomasia yetu ya uchumi na kuifungua nchi yetu kiuwekezaji na kibiashara ,Sasa wakulima wanafaidika na jasho lao baada ya kuwa juani na kwenye mvua wakati wote wa kilimo, utawaambia Nini wakulima juu ya mama yao Rais Samia wakuelewe? Hakika Kama unataka ugomvi na wakulima jaribu umseme vibaya Rais Samia utakiona Cha mtema kuni.

Ukienda katika secta binafsi Ni mafanikio matupu kwani kwa Sasa secta hii imeimarika vizuri na kukua vyema na kutoa fursa za ajira kwa vijana,Husikii habari za kufungwa kwa biashara za watu ,au kupunguza wafanyakazi au muwekezaji kuondoka nchini,kwa Sasa unasikia uwekezaji katika kila nyanja ,ujio wa wawekezaji wakubwa na masuala mengine Kama hayo.

Ukija katika Afya nako Ni Matumaini na mafanikio matupu,vituo vingi vya Afya vimejengwa kila Kona ya nchi yetu,kila sehemu huduma za Afya zimesogezwa karibu ya mwananchi,upatikanaji wa Dawa ,vifaa Tiba Ni wa uhakika bila kusahau uwepo wa wataalamu
na wahudumu mudaa wote. Hivi majuzi tu vimejengwa vituo vya Afya takribani 234 nchini vilivyotokana na Tozo zetu chini ya usimamaizi madhubuti wa Rais Samia na serikali yake.

Hayo Ni kwa uchache Kati ya mengi,Ni wapi utakwenda usikute kazi ya kutukuka ya Rais Samia? Ni wapi Rais Samia na serikali yake hajapeleka fedha? Ni Nani na kwa namna gani hajaguswa na juhudi na utumishi wa kutukuka wa Rais Samia? Ni Nani hajafikiwa na huduma? Ni Nani hajaona juhudi za Rais Samia katika kuijenga nchi yetu? Ni Nani Haoni namna Rais Samia anavyofanya kazi bila kupumzika? Ni Nani asiyeona upendo wa dhati na mkubwa alionao Rais Samia kwa Taifa letu?


Mnataka Rais wetu mpendwa afanye Nini kwetu ili Turidhike? Mnataka atuletee Nini ili Tushukuru kwa uwajibikaji wake uliotukuka? Kwanini Tusimpongeze ndugu zangu? Hamjuwi hata yeye Ni mwanadamu? Hamjuwi hata yeye ana moyo wa nyama? Nawaombeni watanzania wenzangu Tuendelee kumuunga mkono mh Rais wetu mpendwa mama Samia na Tuwe na Subira tupitiapo changamoto fulani Kama Taifa.

Kazi Iendeleee,Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, kijana mzalendo na mpenda nchi yangu: 0742-676627
punga jingine kutoka lumumba likisaka uteuz
 
Ndugu zangu, Mnyonge mnyongeni Haki yake mpeni, Serikali ya Rais Samia imeleta Tabasamu na matumaini katika kila secta, Leo hii ukiangalia na kufuatilia kila secta utagundua na kuona kuwa Rais Samia amefanya uwekezaji na mapinduzi makubwa katika kila secta inayogusa maisha ya mtanzania, kila eneo utakuta mkono wa Rais Samia, kila mahali utakuta maagizo ya Rais Samia,kila eneo utakuta kazi ikiendelea kwa Kasi ,kila Kona utakuta Alama za Rais Samia, Hakuna utakapokwenda ukakuta kumesahaulika na serikali ya Rais wetu, Hakuna utakapokwenda ukakuta hakuna uwekezaji wa Kodi za mtanzania, Ni kazi kila mahali, Ni uwekezaji kila Kona na matumaini kila eneo.

Ukienda katika Elimu unakuta Ni Tabasamu na matumaini makubwa kwa watoto wanaotoka familia za kipato Cha chini Kuendelea mbele kielimu na kimasomo baada ya Rais huyu shupavu, Jasiri, imara, Hodari na mzalendo wa Dhati kuamua kuifanya Elimu kuwa bure Hadi kidato Cha sita,Utakuta wanafunzi wa vyuo vikuu wakiwa na Tabasamu baada ya kupatiwa mikopo kwa wakati kwa wote waliokidhi vigezo.

Wazazi wenye kipato Cha chini hawana wasiwasi juu ya watoto wao kutimiza Ndoto zao maana wanajuwa habari njema iliyoletwa na jemedari wetu Rais Samia kwa kuamua kuwa kila mtoto bila kujari familia aliyotokea anapata haki ya Elimu bila kikwazo au kizuizi.

Ukienda katika kilimo unawakuta wakulima wakiwa na Furaha na kumshukuru Rais wao Mama wa shoka Rais Samia kwa kuwapatia mbolea za Ruzuku kwa kutoa mabillioni ya pesa za kitanzania Takribani billioni Mia moja hamsini huku bajeti ya Wizara ikiongezeka Mara dufu katika historia ya nchi yetu na kufikia billioni Mia Tisa na point,Sasa wakulima ni Tabasamu na matumaini makubwa mioyoni mwao ya kuongeza na kufanya kilimo Chao bila kikwazo baada ya kupatiwa unafuu wa Bei ya mbolea, lakini pia Wana uhakika wa soko la mazao yao baada ya Rais wetu mpendwa kuimarisha Diplomasia yetu ya uchumi na kuifungua nchi yetu kiuwekezaji na kibiashara, Sasa wakulima wanafaidika na jasho lao baada ya kuwa juani na kwenye mvua wakati wote wa kilimo, utawaambia Nini wakulima juu ya mama yao Rais Samia wakuelewe?

Hakika kama unataka ugomvi na wakulima jaribu umseme vibaya Rais Samia utakiona Cha mtema kuni.

Ukienda katika secta binafsi ni mafanikio matupu kwani kwa Sasa secta hii imeimarika vizuri na kukua vyema na kutoa fursa za ajira kwa vijana, Husikii habari za kufungwa kwa biashara za watu ,au kupunguza wafanyakazi au muwekezaji kuondoka nchini, kwa Sasa unasikia uwekezaji katika kila nyanja, ujio wa wawekezaji wakubwa na masuala mengine Kama hayo.

Ukija katika Afya nako Ni Matumaini na mafanikio matupu, vituo vingi vya Afya vimejengwa kila Kona ya nchi yetu,kila sehemu huduma za Afya zimesogezwa karibu ya mwananchi, upatikanaji wa Dawa, vifaa Tiba ni wa uhakika bila kusahau uwepo wa wataalamu na wahudumu mudaa wote. Hivi majuzi tu vimejengwa vituo vya Afya takribani 234 nchini vilivyotokana na Tozo zetu chini ya usimamaizi madhubuti wa Rais Samia na serikali yake.

Hayo ni kwa uchache Kati ya mengi ni wapi utakwenda usikute kazi ya kutukuka ya Rais Samia? Ni wapi Rais Samia na serikali yake hajapeleka fedha?

Ni Nani na kwa namna gani hajaguswa na juhudi na utumishi wa kutukuka wa Rais Samia? Ni Nani hajafikiwa na huduma?

Ni Nani hajaona juhudi za Rais Samia katika kuijenga nchi yetu? Ni Nani Haoni namna Rais Samia anavyofanya kazi bila kupumzika?

Ni Nani asiyeona upendo wa dhati na mkubwa alionao Rais Samia kwa Taifa letu?


Mnataka Rais wetu mpendwa afanye Nini kwetu ili Turidhike? Mnataka atuletee Nini ili Tushukuru kwa uwajibikaji wake uliotukuka? Kwanini Tusimpongeze ndugu zangu? Hamjuwi hata yeye Ni mwanadamu? Hamjuwi hata yeye ana moyo wa nyama? Nawaombeni watanzania wenzangu Tuendelee kumuunga mkono mh Rais wetu mpendwa mama Samia na Tuwe na Subira tupitiapo changamoto fulani Kama Taifa.

Kazi Iendeleee,Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, kijana mzalendo na mpenda nchi yangu: 0742-676627
Wewe chawa tu
 
Ndugu zangu, Mnyonge mnyongeni Haki yake mpeni, Serikali ya Rais Samia imeleta Tabasamu na matumaini katika kila secta, Leo hii ukiangalia na kufuatilia kila secta utagundua na kuona kuwa Rais Samia amefanya uwekezaji na mapinduzi makubwa katika kila secta inayogusa maisha ya mtanzania, kila eneo utakuta mkono wa Rais Samia, kila mahali utakuta maagizo ya Rais Samia,kila eneo utakuta kazi ikiendelea kwa Kasi ,kila Kona utakuta Alama za Rais Samia, Hakuna utakapokwenda ukakuta kumesahaulika na serikali ya Rais wetu, Hakuna utakapokwenda ukakuta hakuna uwekezaji wa Kodi za mtanzania, Ni kazi kila mahali, Ni uwekezaji kila Kona na matumaini kila eneo.

Ukienda katika Elimu unakuta Ni Tabasamu na matumaini makubwa kwa watoto wanaotoka familia za kipato Cha chini Kuendelea mbele kielimu na kimasomo baada ya Rais huyu shupavu, Jasiri, imara, Hodari na mzalendo wa Dhati kuamua kuifanya Elimu kuwa bure Hadi kidato Cha sita,Utakuta wanafunzi wa vyuo vikuu wakiwa na Tabasamu baada ya kupatiwa mikopo kwa wakati kwa wote waliokidhi vigezo.

Wazazi wenye kipato Cha chini hawana wasiwasi juu ya watoto wao kutimiza Ndoto zao maana wanajuwa habari njema iliyoletwa na jemedari wetu Rais Samia kwa kuamua kuwa kila mtoto bila kujari familia aliyotokea anapata haki ya Elimu bila kikwazo au kizuizi.

Ukienda katika kilimo unawakuta wakulima wakiwa na Furaha na kumshukuru Rais wao Mama wa shoka Rais Samia kwa kuwapatia mbolea za Ruzuku kwa kutoa mabillioni ya pesa za kitanzania Takribani billioni Mia moja hamsini huku bajeti ya Wizara ikiongezeka Mara dufu katika historia ya nchi yetu na kufikia billioni Mia Tisa na point,Sasa wakulima ni Tabasamu na matumaini makubwa mioyoni mwao ya kuongeza na kufanya kilimo Chao bila kikwazo baada ya kupatiwa unafuu wa Bei ya mbolea, lakini pia Wana uhakika wa soko la mazao yao baada ya Rais wetu mpendwa kuimarisha Diplomasia yetu ya uchumi na kuifungua nchi yetu kiuwekezaji na kibiashara, Sasa wakulima wanafaidika na jasho lao baada ya kuwa juani na kwenye mvua wakati wote wa kilimo, utawaambia Nini wakulima juu ya mama yao Rais Samia wakuelewe?

Hakika kama unataka ugomvi na wakulima jaribu umseme vibaya Rais Samia utakiona Cha mtema kuni.

Ukienda katika secta binafsi ni mafanikio matupu kwani kwa Sasa secta hii imeimarika vizuri na kukua vyema na kutoa fursa za ajira kwa vijana, Husikii habari za kufungwa kwa biashara za watu ,au kupunguza wafanyakazi au muwekezaji kuondoka nchini, kwa Sasa unasikia uwekezaji katika kila nyanja, ujio wa wawekezaji wakubwa na masuala mengine Kama hayo.

Ukija katika Afya nako Ni Matumaini na mafanikio matupu, vituo vingi vya Afya vimejengwa kila Kona ya nchi yetu,kila sehemu huduma za Afya zimesogezwa karibu ya mwananchi, upatikanaji wa Dawa, vifaa Tiba ni wa uhakika bila kusahau uwepo wa wataalamu na wahudumu mudaa wote. Hivi majuzi tu vimejengwa vituo vya Afya takribani 234 nchini vilivyotokana na Tozo zetu chini ya usimamaizi madhubuti wa Rais Samia na serikali yake.

Hayo ni kwa uchache Kati ya mengi ni wapi utakwenda usikute kazi ya kutukuka ya Rais Samia? Ni wapi Rais Samia na serikali yake hajapeleka fedha?

Ni Nani na kwa namna gani hajaguswa na juhudi na utumishi wa kutukuka wa Rais Samia? Ni Nani hajafikiwa na huduma?

Ni Nani hajaona juhudi za Rais Samia katika kuijenga nchi yetu? Ni Nani Haoni namna Rais Samia anavyofanya kazi bila kupumzika?

Ni Nani asiyeona upendo wa dhati na mkubwa alionao Rais Samia kwa Taifa letu?


Mnataka Rais wetu mpendwa afanye Nini kwetu ili Turidhike? Mnataka atuletee Nini ili Tushukuru kwa uwajibikaji wake uliotukuka? Kwanini Tusimpongeze ndugu zangu? Hamjuwi hata yeye Ni mwanadamu? Hamjuwi hata yeye ana moyo wa nyama? Nawaombeni watanzania wenzangu Tuendelee kumuunga mkono mh Rais wetu mpendwa mama Samia na Tuwe na Subira tupitiapo changamoto fulani Kama Taifa.

Kazi Iendeleee,Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, kijana mzalendo na mpenda nchi yangu: 0742-676627
Katie mbali na huu ujinga uliouandika
1. Bei ya sukari Tshs 3,000/-
2. Bei ya maharagwe Tshs 3,700/-
3. Bei ya mafuta ya kula ni Tshs 10,000/- kwa lita ya sundrop
4. Bei ya kilo ya nyama ni Tshs 9,000/-
Etc
Hilo tabasamu linatoka wapi?
 
Back
Top Bottom