Serikali ya Rais Samia imeleta tabasamu na matumaini katika kila Sekta

Hata cjasoma huu upupu
 
Sijasoma .....lakini naamini wewe ni TAAHIRA UNAYESUBILIA HATI ZA JALALA
 
Ile shely Mle ndani ya Stendi ya Mabasi ya Msamvu ni ya nani??

Ikawaje Shely ikajengwa katikatai ya stendi ilihal lile ni eneo la Umma?

Miaka ya huko mbele tutakuja ibomoa kama jengo la TANESCO Ubungo
 
Kumbe zinatoka kwa konektioni sivyo? We chawa mtu wa hovyo kabisa, watu tuko field miezi na miezi tunadanganywa tu kauli zenu za Mama anaupiga mwingi
Endelea kulalamika wakati vijana wanachukua mikopo kupitia halmashauri zao kwa kufuata utaratibu uliowekwa,Sasa wewe naona unataka uletewe ulipo kaa kibarazani kuitukana serikali
 
Sijasoma .....lakini naamini wewe ni TAAHIRA UNAYESUBILIA HATI ZA JALALA
Bila Shaka unatatizo linalohitaji matibabu ya haraka kabla hujaharibikiwa.hujasoma halafu unatukana, huoni kuwa una tatizo kichwani?
 
Jitahid kijana,uchawa unalipa now
 
Tuna imani na Rais wetu na tunaamini Hakuna fisadi atakaye salimika na kubaki salama akibainika kugusa fedha za umma,pia Tambua kuwa sisi wote Ni watanzania acha habari zako za uzanzibar
Make hapo kwanza ncheke.
 
Ndugu yangu, ukiendelea na mtizamo huu, utasinyaa ubongo, toka kwenye hilo jeneza ulilo wekwa.

Rais mwenyewe kutwa anaona matatizo yanazidi wewe unampa sifa za kijinga namna hii?

Umeme hapa tu haupo, sector ipi itapata unafuu bila umeme?

Kidogo nikutukane.
 
Hali ya Umeme kwa Sasa inarejea katika Hali take ya kawaida,Niliko Mimi kwa sasa tunapata umeme bil shida ukilinganisha na awali kipindi Cha ukame mkali
 
Utakuwa unamuongelea rais wa manzese sio Rais wa JMT. Hii nchi ni kubwa sana kwa kuiongelea kwa takwimu zako zakitoto na zinazokunifaisha wewe, lamba asali ni swala la muda tu acha kulopokwa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…