Serikali inawezaje kufanya jambo juu ya wananchi wake afu mbuzi mmoja akatumia nguvu nyiiingi kuiponda publicly hivi afu wamenyamaza tu na lazima kutakuwa na impact juu ya hili la Rashid wamebaki tu kurembua wanachojua ni kunyanyasa wanaohoji katiba mpyaMbona kama unataka kuijaza upepo serikali imshughulikie ?🤣
naona imekua too much sasa hivi kila jumapili Rashidi, anatumia lile Godauni la ufufuo na uzima kupingana na serikali, naona mpaka sasa yeye ndiye mshindi maana imeonyesha dhahiri serikali inamuogopa na haina hata ubavu wa kupa onyo
View attachment 1885582View attachment 1885583
Hivi huko Ufufuo wa Misukule na Uzima hawana Ibada nyingine zaidi ya Covid 19 na Chanjo ? Mimi najua Kanisani ni Mahali pa kwenda kuambiwa ubaya wa Dhambi na kujiandaa Kwa Maisha ya Mbinguni.
sasahivi tuna wizara mbili zinazotoa matamko public juu ya chanjo,
wizara ya Afya na wizara ya ufufuo wa misukule na uzima
ila mpaka sasa wizara ya ufufuo wa misukule ndio inanguvu sana
Kweli mwinda Kanga hua hapigi kelele ni mwendo wa kimya kimya. Tusubiri huenda akavuliwa uanachama ili abaki kwenye madhabahu aachane na siasaUkitaka kumchinja kobe lazima umulie timing.
Mkuu si ukachanje kwani lazima boss ..!! Kachanjwe Jonson na Jonson ili uwe salamanaona imekua too much sasa hivi kila jumapili Rashidi, anatumia lile Godauni la ufufuo na uzima kupingana na serikali, naona mpaka sasa yeye ndiye mshindi maana imeonyesha dhahiri serikali inamuogopa na haina hata ubavu wa kupa onyo
View attachment 1885582View attachment 1885583
Hivi huko Ufufuo wa Misukule na Uzima hawana Ibada nyingine zaidi ya Covid 19 na Chanjo ? Mimi najua Kanisani ni Mahali pa kwenda kuambiwa ubaya wa Dhambi na kujiandaa Kwa Maisha ya Mbinguni.
sasahivi tuna wizara mbili zinazotoa matamko public juu ya chanjo,
wizara ya Afya na wizara ya ufufuo wa misukule na uzima
ila mpaka sasa wizara ya ufufuo wa misukule ndio inanguvu sana
Huko umeenda mbali , kuna Yule mhuni anajiita askofu Bangoza akiongea kupondea serikali Basi utasikia ooh anatumia vizur Uhuru wa habari na kuwa n Halali yake asiingiliwe , Gwajima akiongea inakuwa nongwa et anaharibu nchi, Uhuru si ndo huu sasa jaman au tunalilia Uhuru upi...!! Wamwache GwajiboyGwajima ana tofauti gani na akina Mchungaji Mgogo ambao wamegeuza madhabahu kuwa sehemu ya mipasho na siyo sehemu ya kuokolea roho za watu?
Nah, it’s okay.Na kawa mpumbavu sana
ila tatizo anakusanya wapumbavu wengi mno
wamkate kimeo
Wakuu mbna Bagonza akiongea kupondea misimamo ya serikali huwa tunashangilia , Why Gwajima iwe nongwa ?? wanaopenda kudungwa Syringe waende , labda wafanye kuwa lazima la sivyo hawapati mtu...!! Mapokezi ya Gwajima kitaa ni next levelSerikali inawezaje kufanya jambo juu ya wananchi wake afu mbuzi mmoja akatumia nguvu nyiiingi kuiponda publicly hivi afu wamenyamaza tu na lazima kutakuwa na impact juu ya hili la Rashid wamebaki tu kurembua wanachojua ni kunyanyasa wanaohoji katiba mpya
Never argue with a foolNah, it’s okay.
Hata wapumbavu wana haki ya kuwa wapumbavu bila kujali idadi yao.
Wasimnyamazishe. Wazijibu hoja zake za kipumbavu kwa hoja zenye akili.
Wakitumia nguvu kumnyamazisha maana yake ni kwamba kawashinda ki hoja!
,kwa sisi tuaminio ata kuchanjwa ni dhambinaona imekua too much sasa hivi kila jumapili Rashidi, anatumia lile Godauni la ufufuo na uzima kupingana na serikali, naona mpaka sasa yeye ndiye mshindi maana imeonyesha dhahiri serikali inamuogopa na haina hata ubavu wa kupa onyo
View attachment 1885582View attachment 1885583
Hivi huko Ufufuo wa Misukule na Uzima hawana Ibada nyingine zaidi ya Covid 19 na Chanjo ? Mimi najua Kanisani ni Mahali pa kwenda kuambiwa ubaya wa Dhambi na kujiandaa Kwa Maisha ya Mbinguni.
sasahivi tuna wizara mbili zinazotoa matamko public juu ya chanjo,
wizara ya Afya na wizara ya ufufuo wa misukule na uzima
ila mpaka sasa wizara ya ufufuo wa misukule ndio inanguvu sana
Liberty, isitoshe kusema tu kuwa chanjo ni hiarinaona imekua too much sasa hivi kila jumapili Rashidi, anatumia lile Godauni la ufufuo na uzima kupingana na serikali, naona mpaka sasa yeye ndiye mshindi maana imeonyesha dhahiri serikali inamuogopa na haina hata ubavu wa kupa onyo
View attachment 1885582View attachment 1885583
Hivi huko Ufufuo wa Misukule na Uzima hawana Ibada nyingine zaidi ya Covid 19 na Chanjo ? Mimi najua Kanisani ni Mahali pa kwenda kuambiwa ubaya wa Dhambi na kujiandaa Kwa Maisha ya Mbinguni.
sasahivi tuna wizara mbili zinazotoa matamko public juu ya chanjo,
wizara ya Afya na wizara ya ufufuo wa misukule na uzima
ila mpaka sasa wizara ya ufufuo wa misukule ndio inanguvu sana
Very goodRashid Yuko sahii
Nguvu za hoja over hoja za nguvu.Never argue with a fool
tandika mbata atatia Akili
fikra za kijingaAcha kubeza Kanisa la Mungu.
Zitadumu fikra za Anko MAGU.
Anafanya tu kusudi eti kisa Rais ni mwanamke. Gwajizo anaudaganya umma, jamani wilayani kwetu watu wengi wanafariki yeye analeta utani tuKweli mwinda Kanga hua hapigi kelele ni mwendo wa kimya kimya. Tusubiri huenda akavuliwa uanachama ili abaki kwenye madhabahu aachane na siasa