Serikali ya Tanzania ifanye mazungumzo na Marekani ili tuwe jimbo lao. Hiyo ndio dawa

Yaani sisomi hizo faida mimi nilishalipitisha wazo.
We Kenge una hoja nzuri.

Sio miarabu fambaf zao
 
Dr Motorola PhD, wewe ni rare genius level ya Sir Isaac Newton. Unapaswa kuwa Rais wa Marekani baada ya TZ kuwa jimbo la 51 la USA.
 
Wewe ndo mpumbavu kabisa. Husikii huko wakisema kuwa bandari wameuza kwa vile wameshindwa kuzisimamia? Loliondo wamasai waliozaliwa pale wakafurumushwa wakapewa waarabu wa kuja. Sasa wewe unachobisha ni nini?
 
Wazo lako limechelewa sana, Mwarabu Kesha nunuwa Mzigo wote tuko UAE tayari tena soon utaanza kula biriani OG kutoka UAE,na utasahau kabisa kula hilo biriani lako kwa Mariamu biriani wa Tabata!!
 
Aloo kweli aisee, nchi itapata maendeleo chap kwa haraka.

Sisi kama wamarekani tutaweka nguvu kazi hili jimbo jipya ili liwe tishio barani Africa. Na pia hili jimbo ndo litakua kama msimamizi wa nchi nyingi za Africa.

Aloo umewaza vyema, andila vyema tumpelekee mama pale kwa mkapa tar 6 ama lah hili pendekezo tumpe Ahmed atusomee pale.
 
Hili wazo litakuwa na tija sana kwa watu wa kawaida. Ila viongozi yale maigizo yao tupa kule na kuanza kuishi kwa standard za DC. Hakuna misafara ya hovyo hadi kuzuia shughuli za wananchi.
Kwa kuanzia itabidi tuongozwe na gavana kutokea jimbo lingine ikibidi ili kuwaweka sawa hawa viongozi wetu.
 
Hahahahaha nimecheka balaaa
 
Wewe ni kichaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…