KAMA MH MBSerikali mkoani Morogoro imeagiza mtoto Charles Mathias mwenye umri wa miaka 6 arushwe darasa kutoka Chekechea hadi darasa la kwanza baada ya kuonyesha kipaji kikubwa kwenye somo la Hisabati.
Afisa tawala wa mkoa bwana Kobehelo amesema agizo hilo lianze kutekelezwa mara moja.
Naye mbunge wa jimbo la Morogoro kusini mashariki Hamis Taletale ameahidi kugharamia elimu ya mtoto huyo hapo kijijini.
Source: ITV habari
Maendeleo hayana vyama!
Mahitaji mengine yawezekana. Umesikia kwani na na SARE za shule wanapewa bure??Babu Tale agharamie nini tena wakati elimu ni bure?
Mmefanya innovations zipi katika jamii?Sasa hii ndio habari ya kuleta hapa, wakati kuna watu tuliishia darasa la 5 tukafanya paper ya std 7 na tukachaguliwa shule za vipajai maalum.
Usitafakari sana haya mambo, uyapokee tu na upige makofi kwa nguvu! 😂Hapo ajaruka kuruka angetoka chekechea hadi la 2 na kuendelea ikiwa na maana karushwa drs la kwanza sasa kutoka chekechea kwenda la kwanza karuka darasa gani najaribu kuwaza.
Mtoto wa miaka 6 stage ipi bado ili aingie la kwanza??Chekechea nayo Si ina kama stage tatu ?
Usanii wa viongozi wa ccm kutafuta kikiHapo ajaruka kuruka angetoka chekechea hadi la 2 na kuendelea ikiwa na maana karushwa drs la kwanza sasa kutoka chekechea kwenda la kwanza karuka darasa gani najaribu kuwaza.
AiseeYaani Babu Tale amekaa kitapeli tapeli tu
Ulaghai, ampeleke Feza schools ndio tujuwe anamgharamia.Babu Tale agharamie nini tena wakati elimu ni bure?
Kwani elimu si ni bure?sasa anamlipia niniSerikali mkoani Morogoro imeagiza mtoto Charles Mathias mwenye umri wa miaka 6 arushwe darasa kutoka Chekechea hadi darasa la kwanza baada ya kuonyesha kipaji kikubwa kwenye somo la Hisabati.
Afisa tawala wa mkoa bwana Kobehelo amesema agizo hilo lianze kutekelezwa mara moja.
Naye mbunge wa jimbo la Morogoro Kusini Mashariki, Hamis Taletale ameahidi kugharamia elimu ya mtoto huyo hapo kijijini.
Chanzo: ITV habari
Maendeleo hayana vyama!
Mimi mtoto wangu wa kwanza kaanza darasa la kwanza akiwa na miaka mitano.Hapo ajaruka kuruka angetoka chekechea hadi la 2 na kuendelea ikiwa na maana karushwa drs la kwanza sasa kutoka chekechea kwenda la kwanza karuka darasa gani najaribu kuwaza.
Si Babu Tale yupo? Ila matapeli watakwambia serikali ina shule zake za English medium.Atafutiwe scholarship English Medium School.
Uko sahihi, ni maana Moja.chekechea stage 3 ni zipi ama ndo
nursery
chekechea na
vidudu
majina ni kulingana na hadhi ya elimu na waalimu husika.
Kitu chochote ambacho kinaenda vizuri, ccm wakishajichomeka tu, lazima pavurugike.Serikali mkoani Morogoro imeagiza mtoto Charles Mathias mwenye umri wa miaka 6 arushwe darasa kutoka Chekechea hadi darasa la kwanza baada ya kuonyesha kipaji kikubwa kwenye somo la Hisabati.
Afisa tawala wa mkoa bwana Kobehelo amesema agizo hilo lianze kutekelezwa mara moja.
Naye mbunge wa jimbo la Morogoro Kusini Mashariki, Hamis Taletale ameahidi kugharamia elimu ya mtoto huyo hapo kijijini.
Chanzo: ITV habari
Maendeleo hayana vyama!
Umenikumbusha mbali mkuu niliwahi kutana na mwanafunzi wa hivi Tabora boys school aliishia la nne kafanya mtihani wa wilaya kama jaribio akawaongozea na wakamua kumsajili kufanya mtihani darasa la saba na akatoboa na kuletwa Tabora boys japo alikutana na wehu waliokubuhu ila form 4 aligonga one 9 tuSasa hii ndio habari ya kuleta hapa, wakati kuna watu tuliishia darasa la 5 tukafanya paper ya std 7 na tukachaguliwa shule za vipajai maalum.
too lowMahitaji mengine yawezekana. Umesikia kwani na na SARE za shule wanapewa bure??