Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 57,951
- 32,619
KAMA MH MBSerikali mkoani Morogoro imeagiza mtoto Charles Mathias mwenye umri wa miaka 6 arushwe darasa kutoka Chekechea hadi darasa la kwanza baada ya kuonyesha kipaji kikubwa kwenye somo la Hisabati.
Afisa tawala wa mkoa bwana Kobehelo amesema agizo hilo lianze kutekelezwa mara moja.
Naye mbunge wa jimbo la Morogoro kusini mashariki Hamis Taletale ameahidi kugharamia elimu ya mtoto huyo hapo kijijini.
Source: ITV habari
Maendeleo hayana vyama!
AJUI ADA N BURE AMENITISHA SANA ATAKAVYOTETEA WANANCHI DODOMA