HIMARS
JF-Expert Member
- Jan 23, 2012
- 70,791
- 98,334
Maana kwa maelezo kumbe Vitanda hakunaBajeti ya afya bado changamoto
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Maana kwa maelezo kumbe Vitanda hakunaBajeti ya afya bado changamoto
Ungetuliza makini ungepewa elimu, aliyekwambia vifaa hakuna nani? Unajua umuhimu wa joto la asili na hilo joto la mashine? Umeshawahi kuona watoto njiti na kuzijua changamoto zao? Hujachelewa nenda pale Muhimbili kitengo cha Kangaroo wakupe ABCD kuliko kujifanya mjuaji kwenye mitandao ya kijamii.Hatupaswi endeleza huu ujinga, vifaa vinunuliwe
Hiyo airtel money namba ni yakeWaziri wa Afya Ummy Mwalimu amesema Serikali kupitia Wizara ya Afya imempa ajira ya mkataba Mariam Mwakabungu (25) kama sehemu ya kuthamini mchango wake kwa kujitolea kuokoa maisha ya Watoto wachanga (Njiti) waliokimbiwa na Mama zao katika Hospitali ya Amana ambapo amekuwa akiwakumbatia ili wapate joto na kuongeza uzito.
Waziri Ummy amesema Rais Samia amefurahishwa sana na upendo wa Mariam na licha ya kumpa milioni 2 jana ameridhia Serikali impe Mariam ajira ya mkataba, kwakuwa hana vigezo vya kuajiriwa moja kwa moja kwa sasa lakini wamemshauri ajiendeleze kwanza kielimu ili apewe ajira ya kudumu hapo baadae.
“Kwakweli Mh. Rais ameguswa sana na moyo wa Mariam, Madaktari wanasema ana moyo wa kujitoa na anapenda kufanya hiyo kazi, ataingizwa katika utaratibu huo ili aweze kupata sifa, kwa sasa ana miaka 25 bado ana muda anaweza kusoma uuguzi ngazi ya astashahada akawa Muuguzi wa Watoto njiti”
AyoTV ilipotaka kufahamu kama Serikali inao mpango wa kutoa ajira hizo kwa Watu wengi zaidi ili kuokoa maisha ya Watoto njiti, Waziri Ummy amesema kwa sasa wataanza na wale wenye moyo wa kujitolea kwanza ndipo wafikirie kuwaajiri “Tukipata Watu wenye moyo kama wa Mariam kwakweli tutakua tunawaajiri kwa mkataba, nikitoa wito watafurika wengi kwasababu wapo Watu mitaani hawana ajira”
Rais Samia alimpa Mariam milioni 2 jana kama pongezi huku Mkurugenzi wa Doris Mollel Foundation, Doris Molllel akimchangia pia Mariam ambaye amekaa Hospitalini hapo kwa mwezi mmoja sasa akifanya huduma hiyo ‘tumchangie chochote cha kumpa moyo kwenye 0782124700 (Alise Mwakabungu)”
Sent from my SO-01L using JamiiForums mobile app
Mungu fundi sana, ninyi wenye matiti makubwa hadi mnakufuru Mungu jueni yaliumbwa hivyo kwa makusudi fulani. hakuna kitu kipo hapa duniani bila sababu.
Serikali kupitia Wizara ya Afya, imetoa ajira ya mkataba kwa Mariam Mwakabungu, mwanamke anayejitolea kukumbatia watoto niti waliotelekezwa katika Hosptali ya rufaa ya mkoa Amana jijini Dares Salaam.
Ajira hiyo imekuja siku moja tangu Rais Samia Suluhu Hassan kutuma salamu za pongezi zilizoambatana na fedha taslimu Sh milioni 2
Julai 16, gazeti la Mwananchi na mitandao yake ya kijamii ilichapisha habari hukuhusu Mariam Mwakabungu (25) ambaye ameokoa maisha ya watoto njiti watatu hospitalini hapo kwa kuwakumbatia kwa njia ya kangaruu baada ya kutelekezwa na mama zao.
Akizungumza na Mwananchi Digital leo Alhamis Julai 20, 2023 Waziri wa Afya Ummy Mwalimu ameeleza utaratibu utakaotumika katikia kumpa ajira Mariam.
"Tutampa ajira ya mkataba kwanza, changamoto iliyopo bado hana sita za kuajirika, tutamshauri ajiendeleze kielimu ili aweze kupata sifa za kuajirika Serikalini.
"Madaktari wanasema yule mama anajitoa na anapenda kufanya hiyo kazi ana moyo yaani ni kitu anapenda sasa kwa sababu hajasomea uuguzi itabidi aingize katika utaratibu huo ili aweze kupata sifa," amesema Waziri Ummy na kuongeza;
"Ana miaka 25 bado anamuda anaweza akaenda kusoma uguzi ngazi ya astashahada akawa muuguzi wa watoto njiti.
Tunaendelea kumpongeza a tutamshauri ajiendeleze kielimu ni jambo zuri na tumemuomba afanye hivyo, amesema.
Chanzo: Mwananchi
Pia soma
WaTz watoe hela mara ngapi? Mbona V8 wananunua?Toa hela wanunue incubators
Sio bajeti, ni akili!Bajeti ya afya bado changamoto
Shule ulisoma wapi wewe.Kutumia mtu badala ya incubators
Wanafanya Kila kitu kuwatoa mchezoni kuhusu DP WORLD naona watu hili swala lipo vichwani Mwa watu mwaka huu kazi ipo
Serikali kupitia Wizara ya Afya, imetoa ajira ya mkataba kwa Mariam Mwakabungu, mwanamke anayejitolea kukumbatia watoto niti waliotelekezwa katika Hosptali ya rufaa ya mkoa Amana jijini Dares Salaam.
Ajira hiyo imekuja siku moja tangu Rais Samia Suluhu Hassan kutuma salamu za pongezi zilizoambatana na fedha taslimu Sh milioni 2
Julai 16, gazeti la Mwananchi na mitandao yake ya kijamii ilichapisha habari hukuhusu Mariam Mwakabungu (25) ambaye ameokoa maisha ya watoto njiti watatu hospitalini hapo kwa kuwakumbatia kwa njia ya kangaruu baada ya kutelekezwa na mama zao.
Akizungumza na Mwananchi Digital leo Alhamis Julai 20, 2023 Waziri wa Afya Ummy Mwalimu ameeleza utaratibu utakaotumika katikia kumpa ajira Mariam.
"Tutampa ajira ya mkataba kwanza, changamoto iliyopo bado hana sita za kuajirika, tutamshauri ajiendeleze kielimu ili aweze kupata sifa za kuajirika Serikalini.
"Madaktari wanasema yule mama anajitoa na anapenda kufanya hiyo kazi ana moyo yaani ni kitu anapenda sasa kwa sababu hajasomea uuguzi itabidi aingize katika utaratibu huo ili aweze kupata sifa," amesema Waziri Ummy na kuongeza;
"Ana miaka 25 bado anamuda anaweza akaenda kusoma uguzi ngazi ya astashahada akawa muuguzi wa watoto njiti.
Tunaendelea kumpongeza a tutamshauri ajiendeleze kielimu ni jambo zuri na tumemuomba afanye hivyo, amesema.
Chanzo: Mwananchi
Pia soma
Mungu kila mtu kamuumbia akili yake. Sio ajabu wewe kuamini hivyoMashine zipo tusitetee upumbavu
Ila jamani shule ni ngumu kinyama... mimi nilikuwa nafaulu ila haikuwa rahisi...Asomee ukunga moyo wa kujitolea anao, Ila kulala darasani ukiwa mtu mzima?! Salalee 🤣😊😊
Sio kila mpita njia wakusoma ukunga.Asomee ukunga moyo wa kujitolea anao, Ila kulala … kusoma darasani ukiwa mtu mzima?! Salalee [emoji1787][emoji4][emoji4]
Aliyembusu mgonjwa akaachwa
Serikali kupitia Wizara ya Afya, imetoa ajira ya mkataba kwa Mariam Mwakabungu, mwanamke anayejitolea kukumbatia watoto niti waliotelekezwa katika Hosptali ya rufaa ya mkoa Amana jijini Dares Salaam.
Ajira hiyo imekuja siku moja tangu Rais Samia Suluhu Hassan kutuma salamu za pongezi zilizoambatana na fedha taslimu Sh milioni 2
Julai 16, gazeti la Mwananchi na mitandao yake ya kijamii ilichapisha habari hukuhusu Mariam Mwakabungu (25) ambaye ameokoa maisha ya watoto njiti watatu hospitalini hapo kwa kuwakumbatia kwa njia ya kangaruu baada ya kutelekezwa na mama zao.
Akizungumza na Mwananchi Digital leo Alhamis Julai 20, 2023 Waziri wa Afya Ummy Mwalimu ameeleza utaratibu utakaotumika katikia kumpa ajira Mariam.
"Tutampa ajira ya mkataba kwanza, changamoto iliyopo bado hana sita za kuajirika, tutamshauri ajiendeleze kielimu ili aweze kupata sifa za kuajirika Serikalini.
"Madaktari wanasema yule mama anajitoa na anapenda kufanya hiyo kazi ana moyo yaani ni kitu anapenda sasa kwa sababu hajasomea uuguzi itabidi aingize katika utaratibu huo ili aweze kupata sifa," amesema Waziri Ummy na kuongeza;
"Ana miaka 25 bado anamuda anaweza akaenda kusoma uguzi ngazi ya astashahada akawa muuguzi wa watoto njiti.
Tunaendelea kumpongeza a tutamshauri ajiendeleze kielimu ni jambo zuri na tumemuomba afanye hivyo, amesema.
Chanzo: Mwananchi
Pia soma