Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hata maandiko yanasema. Huwezi tupia mbwa chakula wakati wanao wanahitaji. Mlitaka simba hawahawa wapewe sapoti wakati tayari wameshatolewa?Nyuma ya mafanikio ya Yanga pia kuna mkono wa serikali, hii timu inapendelewa na serikaki.
Mashabiki 40 wa Yanga wamepewa tickets za kwenda South Africa, ila kwa Simba ni tofauti as if haishiriki haya mashindano.
Hizo zingine nimekuachia wewe uweke kama zinakufaa!Acha upupu..umeona hyo tuu? Hivi akili huwa mnaiweka wapi..weka na picha zingine CAF walizoweka
Msyuuuuu 😀 😀 😀 umejiona eee..utopolo kabisaHizo zingine nimekuachia wewe uweke kama zinakufaa!
Makolo bhana😂
Jidanganye.Yanga Wana nafasi??
Kwa Possesion Ipi?
Ndo hiyo ya 74 kwa 26?
Simba waliposses Mpira zana 69 kwa 31..
Tunaamini Tukienda huko Ni chuma tu tunamchapa 2 au tatu kwa moja hoi
Ama pathosoccer!!😂😂😂😂Mkuu Udocta na Mechi ya Yanga na Mamelody inahusiana nini?
Yaani unatka kusema Curriculum ya Udaktari kuna Somo la Mpira?
Au kuna mafunzo ya Possesion au Ya Jinsi ya kuchambua au Analysis ya Mpira??
Uko serious kabisa?
nataka kuamini Unatania..
Bhasi itabidi Nikaulize kwa madaktari wenzangu wanichambulie Mechi ya Yanga na Mamelody maana nahisi sikuhudhuria lecture ya Somo la anatofootball au Paeditball au gynasoccer 🤣🤣
We jamaa ni mbishani.Umezidiwa possession na goli huna,basi jisifu ungeshinda
Daaah!😂😂😂😂😂😂Daaah wamem Pdidy kimasihara
Nani ana nafasi kati ya uliyefungwa na aliye draw??Umedraw ila hujafuzu
Pathosoccer 😅😅😅Ama pathosoccer!!😂😂😂😂
😂😂😂😂 Kabisa mkuu.Pathosoccer 😅😅😅
😅😅😂😂😂😂 Kabisa mkuu.
Asikuchanganye huyo.
Pathology -logy +soccer=pathosoccer.
😂😂😂🙌🙌🙌
Sasa wewe mbona Tomaso? Unadhani makolo watatoboa hapo ugenini?Wametolewa kwa kanuni ipi?acha bla bla ndo maana kuna second leg
Kwahiyo unanisemea ili na mimi wafute comment yangu?Ulianzishwa uzi kuhusu hizo team na kuwekwa hiyo chart wakaufuta bila sababu hao vlazer!.
View attachment 2952143