Wildchild
JF-Expert Member
- Aug 29, 2018
- 19,411
- 21,938
Nani awekeze kwa timu inayokula kwa urefu wa kamba🤣.Hivi kuna mtu mwenye akili atakaye wekeza mangungu fc? Boss mwenyewe kasema anakaribia kuzira
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nani awekeze kwa timu inayokula kwa urefu wa kamba🤣.Hivi kuna mtu mwenye akili atakaye wekeza mangungu fc? Boss mwenyewe kasema anakaribia kuzira
Hapa naona umeamua kuweka pembeni heshima ya udakitari ukavaa umbumbumbu mzima mzima 😂😂.Yanga Wana nafasi??
Kwa Possesion Ipi?
Ndo hiyo ya 74 kwa 26?
Simba waliposses Mpira zana 69 kwa 31..
Tunaamini Tukienda huko Ni chuma tu tunamchapa 2 au tatu kwa moja hoi
Hahaha 🤣🤣🤣🤣Hapa naona umeamua kuweka pembeni heshima ya udakitari ukavaa umbumbumbu mzima mzima 😂😂.
Kwel nabii Rage fundi🤣🤣🤣🤣
Hii ni ya wananchi,kwani wewe upo dunia gani,ngoja tuwaombee kolo fc/robo fainali fc isajiliwe na ccm😅Timu ya CCM hii.
Teh teh teh teh teh 😃😃😃. Dah!....noma Sana hii....Wewe Jina lako ni Loveness tunakujua Toka kitambo Mkuu wala sijafukua..
Hakuna mwanaume Anayeweza akaandika Thread kujifananisha na mwanamke na kama siyo shoga...
mwanaume anajiisifu hadharani Kuliwa?View attachment 2950757
Waziri na Naibu wake wote ni Kolozidad lialia. Yanga wameomba na kukubaliwa. Kolizidad ombeni pia.Nyuma ya mafanikio ya Yanga pia kuna mkono wa serikali, hii timu inapendelewa na serikaki.
Mashabiki 40 wa Yanga wamepewa tickets za kwenda South Africa, ila kwa Simba ni tofauti as if haishiriki haya mashindano.
Kama hela za kulipia uwanja bure mnazo, mnakosa ya kumlipia shabiki muhimu?Mzee wa utopolo passport hana
Dr punyeto with poor analysis!!. Ukiulizwa hiyo possession ya Mamelod wameifanyia wapi unajua?. Yaani umilik 76 afu uwe na shoots on goal 2?. Hiyo Simba iliyomiliki 60 matokeo yake vipi?.Yanga Wana nafasi??
Kwa Possesion Ipi?
Ndo hiyo ya 74 kwa 26?
Simba waliposses Mpira zana 69 kwa 31..
Tunaamini Tukienda huko Ni chuma tu tunamchapa 2 au tatu kwa moja hoi
Yanga pamoja na Kucheza mpira mzuri ila mkipunguza mihemko mtakuwa na Fanbase kubwa sana..Dr punyeto with poor analysis!!. Ukiulizwa hiyo possession ya Mamelod wameifanyia wapi unajua?. Yaani umilik 76 afu uwe na shoots on goal 2?. Hiyo Simba iliyomiliki 60 matokeo yake vipi?.
Trategy = Strategy.Ushindi siyo possesion, ushindi ni trategy, unaweza ukaachiwa umiliki mpira na ukafungwa.
Yanga ana uwezo wa kupata goli kule na akawa na faida ya goli la ugenini.
Na wewe DR kumbe ni shabiki kindakindaki?
Udokta wako ni jina au professional?, maana inawezekana unatumia majina bila vigezo. Hamna dokta mjinga asiyejua hata simple analysis ya mechi ya juzi!.Yanga pamoja na Kucheza mpira mzuri ila mkipunguza mihemko mtakuwa na Fanbase kubwa sana..
🤣🤣🤣
Mkuu Udocta na Mechi ya Yanga na Mamelody inahusiana nini?Udokta wako ni jina au professional?, maana inawezekana unatumia majina bila vigezo. Hamna dokta mjinga asiyejua hata simple analysis ya mechi ya juzi!.
Mawazo yako hayareflect udaktar simple mind!!Mkuu Udocta na Mechi ya Yanga na Mamelody inahusiana nini?
Yaani unatka kusema Curriculum ya Udaktari kuna Somo la Mpira?
Au kuna mafunzo ya Possesion au Ya Jinsi ya kuchambua au Analysis ya Mpira??
Uko serious kabisa?
nataka kuamini Unatania..
Malizia kuwa mawazo yangu kuhusu Soccer hayareflect Udaktari..!Mawazo yako hayareflect udaktar simple mind!!