ukikaidi utapigwa2
JF-Expert Member
- Feb 24, 2015
- 15,265
- 29,991
Pengine umri wangu mdogo sijaona mengi labda niambie mechi gani isha amuliwa kwa shots on targetHivi ukipigwa shot on target Kama 20 inamaanisha nini
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Pengine umri wangu mdogo sijaona mengi labda niambie mechi gani isha amuliwa kwa shots on targetHivi ukipigwa shot on target Kama 20 inamaanisha nini
Nop.namaanisha Timu inayopigwa Shots on Target nyingi maana yake zinashambuliwa Sana na tegemea timu hiyo kupigwa goli nyingi sana..Pengine umri wangu mdogo sijaona mengi labda niambie mechi gani isha amuliwa kwa shots on target
Kwa uwezo wa Mamelod waliokuwa nao ukilinganisha na Yanga ,lazma tuseme Yanga amejitahidi.Simba wangepigwa kama ngoma.Umezidiwa possession na goli huna,basi jisifu ungeshinda
Daaah wamem Pdidy kimasiharaWewe Jina lako ni Loveness tunakujua Toka kitambo Mkuu wala sijafukua..
Hakuna mwanaume Anayeweza akaandika Thread kujifananisha na mwanamke na kama siyo shoga...
mwanaume anajiisifu hadharani Kuliwa?View attachment 2950757
YANGA ndo imeiomba msaada serikali, ni hivyo tu.Nyuma ya mafanikio ya Yanga pia kuna mkono wa serikali, hii timu inapendelewa na serikaki.
Mashabiki 40 wa Yanga wamepewa tickets za kwenda South Africa, ila kwa Simba ni tofauti as if haishiriki haya mashindano.
Hahahahaa..... ile game uliangalia au ulisimuliwa?Yanga Wana nafasi??
Kwa Possesion Ipi?
Ndo hiyo ya 74 kwa 26?
Simba waliposses Mpira zana 69 kwa 31..
Tunaamini Tukienda huko Ni chuma tu tunamchapa 2 au tatu kwa moja hoi
Hahaha Hakafu anasema ni Mwanaume sasa mwanaume Unajisifia Kupididiwa 😅😅😅😅Daaah wamem Pdidy kimasihara
Game zote Nimeangalia Mkuu zote...Hahahahaa..... ile game uliangalia au ulisimuliwa?
Yanga wame attempt shots nyingi dhidi ya Mamelodi so wana nafasi kubwa kushinda?Nop.namaanisha Timu inayopigwa Shots on Target nyingi maana yake zinashambuliwa Sana na tegemea timu hiyo kupigwa goli nyingi sana..
Yule aliyewalipia mashabiki waingie Bure uwanjani kwani ameishiwa fedha za kuwalipia nauli!?Yanga mchakato wa kwenda Kwa bus south Africa ulikuwepo ivyo serikali imegandamizia tu mstari Kwa kuamua kuwalilipia. Watu 30 walishachanga nauli wao watarudishiwa na wengine 18 wataongezwa. Simba mpango wa bus kwenda Misri hata haupo ivyo sio upendeleo ni kuunga mkono juhudi za mashabiki na uongozi wa Yanga
Nakubaliana na wewe mkuu!Yanga wame attempt shots nyingi dhidi ya Mamelodi so wana nafasi kubwa kushinda?
Mzee wa utopolo passport hanaSawa wapeleke "WAVAA SUTI" kama walivyofanya AFCON waache mashabiki halisi akina "MZEE WA UTOPOLO"
Timu ya CCM hii.Nyuma ya mafanikio ya Yanga pia kuna mkono wa serikali, hii timu inapendelewa na serikaki.
Mashabiki 40 wa Yanga wamepewa tickets za kwenda South Africa, ila kwa Simba ni tofauti as if haishiriki haya mashindano.
Acha wivu, subiri hadi mwisho done kama hamtapewa,au ulitaka ukabidhiwe yako kabisa mkononi.🤔Nyuma ya mafanikio ya Yanga pia kuna mkono wa serikali, hii timu inapendelewa na serikaki.
Mashabiki 40 wa Yanga wamepewa tickets za kwenda South Africa, ila kwa Simba ni tofauti as if haishiriki haya mashindano.