Serikali yapiga marufuku matumizi ya vitabu 16 vikiwemo Wimpy Kid ili kulinda mila, desturi na tamaduni za Kitanzania

Ndio kwanza watu watavitafuta wasome ukweli
 
Ilikuaje hivyo vitabu viliingia mpaka kufundishwa Mashuleni?

Vitabu hua havifanyiwi uhakiki na Wizara ya elimu kabla ya kuruhusiwa kufundishiwa mashuleni?
 
Binafsi naona hilo katazo ndio litasababisha vitabu hivyo kusomwa zaidi ili kujua nini tatizo lililosababisha vizuiwe.

Wangepita kwenye taasisi husika kutoa katazo kimykimya na kuwaelimisha sababu za katazo.

maamuzi ya kukurupuka tu haya. Shule gani inatumia hivyo vitabu? Kwa sababu hata shule za english medium muongozo wa vitabu ambao mitihani inatolewa vinajulikana. Wataanza kuhangaika na hivyo vitabu vingine vya kazi gani?
Wamefanya maamuzi kwa kufuata mitandao.
 
Upo sahihi ila una unafik mwingi san plus ukuda!!
 
Maskini Tanzania yangu,
Kwa hiyo ulivyokisoma uliona kuna Ushoga au umesoma jina ukalinganisha na hiyo orodha ya Wizara basi..... hivi kwanini Watanzania hua hatupendi kutafuta taarifa sahihi badala yake tunaamini kile tulichoaminishwa!?
Hao ndio Watanzania.
Wapo hivyo kwa msaada wa chama cha mambuzi.
Watu wanakurupuka tu, hata akisikia kuku anawika yeye anajua ni alfajiri.
 
Kuwa serious
Hivyo vitambu vitakuwa
IST
ISM
HOPAC
St C
DIA


Nimejaribu google ila sijaona sehemu kama kina maudhui tajwa.

Kama kuna mzazi ana ushahidi aweke hapa tuone, sio wa karatasi moja bali achukue video
na elimi bas
 
Alikuja na habari za watu wa vijiwe vya gahawa ndo maana kaelewa mapema. Nami nimpongeze kwa hilo, asiwatie watu hofu kwa kutumia maandiko ambayo yeye mwenyewe hajayaelewa..
Mimi nimemwelewa tofauti,kaamua kukupa uwanja uongee yote utakayo bila kukubugudhi,hata kama hakubaliani na wewe.Ndiyo maana anaishia kukwambia neno moja tu 'haya' pamoja na wewe kumwandikia maelezo mengi.
 
Hizo zingine sasa unazojaribu kujitetea nazo hapa, ni matamshi yanayotokana na traits za indivudual personalities za watu na siyo Serikali. Kwani tuseme kwa mfano kiongozi wa Serikali akiamua kukunyang'anya mke wako wewe, utasema kuwa Serikali imekunyang'anya mke wako?
 
Mungu amlinde huyu baba maana hapa anapambana na lucifer mwenyewe kama ilivyokua kwenye chanjo
 
Dunia haieendeshwi na topics nyoronyoro kama ulizotaja hapo. Hizo ni fantacy
Sawa brother unaendeshwa na dunia isiyo nyoro nyoro, tokea asubuhi hadi sasa umekula Atoms ngapi? Electron ngapi? Umekula Archemedes Principle ngapi? Zinauzwa wapi? Umeshiba?

Basi hujala huo ujinga jiondoe kwenye ujinga,

Umekula chapati (ambayo ni ngano) umekunywa chai ya maziwa (mifugo)
Na hapo uko kwa shemej yako unavizia lunch, ambayo ni Ugali wa sembe (Mahindi ) na sukuma na nyama (mifugo).

Itakuwa hivi kwako, kwa watoto wako na vizazi vyako vyote.

Iweje uite kitu kama hicho kinachohitajika katika maisha yako ya kila siku eti Nyoro nyoro!


Usireply kila kitu kama hujui
 
Msiwe na ujuaji sana Mazee.


Wizara haiwez kukulupuka kupiga marufuku kitu Kwa Hisia tu.

Hapo wamepitia vitabu vyote kupitia tume iloundwa na Wizara na wakajiridhisha
Wewe pitia uone kama kina hayo maudhui
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…