roadmaster
JF-Expert Member
- Mar 21, 2023
- 1,609
- 2,751
Samahani nje ya mada!! Hivi usiku Kuna tochi zatrafic!?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mbona zinapitaSipatii picha bus linapita kitonga usiku na sehemu kama hizo
Tayari Kilimanjaro Express ana route hiyo kitambo, anatoka Dar saa 4 Usiku kwenda ArushaWangeanza kwa baadhi ya route fupi kama Moro - Dar, Arusha - Moshi, Tanga - Dar, Mbeya - Iringa, Lindi - Mtwara, Mwanza - Musoma n.k...
Bado kuna maeneo barabara zake sio rafiki kusafiri usiku, haswa zile ambazo hutumiwa sana na malori...
Serikali kama inatamani kuwe na uchukuzi wa watu kwa masaa 24, ilipaswa iimarishe usafiri wa njia ya reli...
Kipindi cha msimu wa mvua hasa masika, utaratibu huu wa kusafiri masaa 24 usitishwe kwa kuwa kuna baadhi ya njia si salama na hata uono wakati huu huwa hafifu...
Kwa wale wanaopenda kusafiri usiku kwa kutumia magari binafsi, huenda ukawa mwisho wa mimbio sababu kuna uwezekano trafiki wakawa wanakaa barabarani hadi mida ya popo...
Utakufa kama kumbikumbiEwaaaa.... hapa sasa ligi zitapendeza
Zilitakiwa kuwekwa kwanza kabla ya kuruhusuTaa za barabaran maeneo ya miji na senta kubwa iwe kitu cha lazima
Miundambinu mamaNchi nyingi duniani usafiri wa umma ni 24hrs, sisi tuna nini cha tofauti na wengine!? Hata majirani zetu (Kenya & Uganda) usafiri ni 24hrs na bado tunawazidi kwa idadi ya matukio ya ajali! Toka nje ya box.
Tulia ww utakufa kibuduWatakufa wazazi wako waliozaa dubuwasha kama wewe
Sijui bei ganiHivi nauli ya Tazara kwenda Mbeya shs ngapi wakuu?
Sent from my Infinix X665 using JamiiForums mobile app
Kwani hii dunia ni yetu??? (In majanaba markuba's voice)Utakufa kama kumbikumbi
Miundombinu ya nchi zote EA haina tofauti na tena kwa barabara za kuunganisha mikoa Tanzania imepiga hatua kubwa kuliko majirani.Una uhakika miundombinu ya Barabara za UG & Kenya ni sawa sawa na hii miundombinu ya Barabara za Tz?
Una uhakika ustaarabu wa madereva wa UG & KE ndio huo huo wa madereva wa TZ wanaoishi kwa mabifu Kati ya madereva wa malori na wenye mabus Kati ya wenye mabus na bodaboda & bajaj?
Kwamba Uganda wana miundombinu bora zaidi yetu!!???Miundambinu mama
Kama polisi wa usalama barabarani hawataweka mikakati na usimamzi wa sheria kisawasawa hilo litakuwa ni janga lingine..Kuruhusu usafiri kwa saa 24 ni kutengeneza bomu ajali zitakuwa nyingi
Yaan unataka kusema Barabara za KE hazina utofauti na Barabara za TZ?Miundombinu ya nchi zote EA haina tofauti na tena kwa barabara za kuunganisha mikoa Tanzania imepiga hatua kubwa kuliko majirani.
Sheria za kuendesha magari makubwa bado sana hukoMabasi ya Arusha-Kigoma yajiandae kutekwa kwenye msitu wa malagarasi.
Alafu Kampuni za Coast Line na Kiazi Kitamu mnakabidhi Basi kwa dereva mmoja kuendesha umbali mrefu kiasi hicho, tujiandae kuona mengi.
Sipatii picha bus linapita kitonga usiku na sehemu kama hizo