Serikali yatoa ufafanuzi wa akiba ya Fedha za Kigeni, makosa yalifanyika

Serikali yatoa ufafanuzi wa akiba ya Fedha za Kigeni, makosa yalifanyika

Memento

JF-Expert Member
Joined
Jun 13, 2021
Posts
4,423
Reaction score
9,986
Ikulu imetoa ufafanuzi ni kuwa akiba iliyopo ni dola za kimarekani milion 6253 na sio dola bilion 6253.

Ni vizuri kusahihisha makosa, Ila mjitahidi yasiweze kujirudia tena kwenye hotuba za Raisi na nashauri kabla ya raisi kwenda hewani pitieni hotuba zaidi hata ya mara 5 ili kujiridhisha hakuna makosa.

Ufafanuzi ni uungwana

Screenshot_20220102-175753_1.jpg


Pia soma: Hii akiba ya fedha za kigeni dola Bilioni 6,253 aliyosema Rais Samia kiboko, deni la Taifa lingekuwa hela ya peremende
 
Ikulu imetoa ufafanuzi ni kuwa akiba iliyopo ni dola za kimarekani milion 6253 na sio dola bilion 6253.

Ni vizuri kusahihisha makosa, Ila mjitahidi yasiweze kujirudia tena kwenye hotuba za Raisi na nashauri kabla ya raisi kwenda hewani pitieni hotuba zaidi hata ya mara 5 ili kujiridhisha hakuna makosa.

Ufafanuzi ni uungwana


Thread 'Hii akiba ya fedha za kigeni dola Bilioni 6,253 aliyosema Rais Samia kiboko, deni la Taifa lingekuwa hela ya peremende' Hii akiba ya fedha za kigeni dola Bilioni 6,253 aliyosema Rais Samia kiboko, deni la Taifa lingekuwa hela ya peremende
View attachment 2066244
Mkuu ulikomaa Sana nikakwambia ni dola mil.6250 bado ukawa huelewi.Nadhani sasa umeelewa.
 
Ikulu imetoa ufafanuzi ni kuwa akiba iliyopo ni dola za kimarekani milion 6253 na sio dola bilion 6253.

Ni vizuri kusahihisha makosa, Ila mjitahidi yasiweze kujirudia tena kwenye hotuba za Raisi na nashauri kabla ya raisi kwenda hewani pitieni hotuba zaidi hata ya mara 5 ili kujiridhisha hakuna makosa.

Ufafanuzi ni uungwana


Thread 'Hii akiba ya fedha za kigeni dola Bilioni 6,253 aliyosema Rais Samia kiboko, deni la Taifa lingekuwa hela ya peremende' Hii akiba ya fedha za kigeni dola Bilioni 6,253 aliyosema Rais Samia kiboko, deni la Taifa lingekuwa hela ya peremende
View attachment 2066244
#Kaziiendelee
#KTBFFH
 
Sio kazi ya serikali kukwambia kila source ya kipato chake acha ujinga na utoto.
Sasa hiyo ndiyo kazi ya serikali kutuambia fedha wametoa wapi na zimetumikaje.

Sisi wananchi ndio mabosi na wao ni watumishi wetu.

Ndio maana mtumishi wa umma anaitwa " civil servant"

Sisi kama wananchi tuna kikao chetu kupitia wawakilishi wetu ambacho kinaitwa bunge.

Na hao ndio wanaotuwakilisha kuiuliza maswali serikali kwa niaba yetu.

Ndio maana Ndugai alipohoji mikopo tulimuunga mkono kwani yeye ndiye mkuu wa vikao vya wananchi wanaohitaji majibu toka kwa serikali.
 
Ikulu imetoa ufafanuzi ni kuwa akiba iliyopo ni dola za kimarekani milion 6253 na sio dola bilion 6253.

Ni vizuri kusahihisha makosa, Ila mjitahidi yasiweze kujirudia tena kwenye hotuba za Raisi na nashauri kabla ya raisi kwenda hewani pitieni hotuba zaidi hata ya mara 5 ili kujiridhisha hakuna makosa.

Ufafanuzi ni uungwana

View attachment 2066244

Pia soma: Hii akiba ya fedha za kigeni dola Bilioni 6,253 aliyosema Rais Samia kiboko, deni la Taifa lingekuwa hela ya peremende

21757971-64FF-4FED-82D1-9C5138638568.jpeg
 
Sio kazi ya serikali kukwambia kila source ya kipato chake acha ujinga na utoto.
Kauli chache tu zinaweza kukuweka kwenye kundi la timamu ama utopolo..

"Kila source ya kipato chake" umeelewa hata ulichoandika mzee, source ndio hii niliyosema mimi.

Rekebisha kwanza hapo naweza nikaendelea kupoteza muda nawe sina shughuli ya kufanya kwa muda huu.
 
Back
Top Bottom