Kazi sio.ndogo ,Nasikia Raisi kasomea Uchumi, ina maana ni Mchumi, kazi tunayo duh !
Kaziiendelee Tanzania na Rais Samia, Wale wa "Petty Politics " tafute agenda mpya
Mkuu ulikomaa Sana nikakwambia ni dola mil.6250 bado ukawa huelewi.Nadhani sasa umeelewa.Ikulu imetoa ufafanuzi ni kuwa akiba iliyopo ni dola za kimarekani milion 6253 na sio dola bilion 6253.
Ni vizuri kusahihisha makosa, Ila mjitahidi yasiweze kujirudia tena kwenye hotuba za Raisi na nashauri kabla ya raisi kwenda hewani pitieni hotuba zaidi hata ya mara 5 ili kujiridhisha hakuna makosa.
Ufafanuzi ni uungwana
Thread 'Hii akiba ya fedha za kigeni dola Bilioni 6,253 aliyosema Rais Samia kiboko, deni la Taifa lingekuwa hela ya peremende' Hii akiba ya fedha za kigeni dola Bilioni 6,253 aliyosema Rais Samia kiboko, deni la Taifa lingekuwa hela ya peremende
View attachment 2066244
Sio kazi ya serikali kukwambia kila source ya kipato chake acha ujinga na utoto.Hawatwambi tena kwenye tozo za miamala wanapata kiasi gani..
Hii nchi hii [emoji1787], inatosha tu kusema "sisi ni mabwege saana"
Usipende kusikia tafuta wasifu usome mwenyewe uondoe ujingaNasikia Raisi kasomea Uchumi, ina maana ni Mchumi, kazi tunayo duh !
#KaziiendeleeIkulu imetoa ufafanuzi ni kuwa akiba iliyopo ni dola za kimarekani milion 6253 na sio dola bilion 6253.
Ni vizuri kusahihisha makosa, Ila mjitahidi yasiweze kujirudia tena kwenye hotuba za Raisi na nashauri kabla ya raisi kwenda hewani pitieni hotuba zaidi hata ya mara 5 ili kujiridhisha hakuna makosa.
Ufafanuzi ni uungwana
Thread 'Hii akiba ya fedha za kigeni dola Bilioni 6,253 aliyosema Rais Samia kiboko, deni la Taifa lingekuwa hela ya peremende' Hii akiba ya fedha za kigeni dola Bilioni 6,253 aliyosema Rais Samia kiboko, deni la Taifa lingekuwa hela ya peremende
View attachment 2066244
Inaonekana kama unatamani kusema zigawanywe tu kwa wananchi kila mtu apate chake ashike njia yake ila unaogopa tu 🤠Hawatwambi tena kwenye tozo za miamala wanapata kiasi gani..
Hii nchi hii [emoji1787], inatosha tu kusema "sisi ni mabwege saana"
Sasa hiyo ndiyo kazi ya serikali kutuambia fedha wametoa wapi na zimetumikaje.Sio kazi ya serikali kukwambia kila source ya kipato chake acha ujinga na utoto.
Wakubwa wameshajigawia, bado sisi kina "achimenengule" tukifanya mzaha, vitaisha vyoote.Inaonekana kama unatamani kusema zigawanywe tu kwa wananchi kila mtu apate chake ashike njia yake ila unaogopa tu [emoji1783]
Ikulu imetoa ufafanuzi ni kuwa akiba iliyopo ni dola za kimarekani milion 6253 na sio dola bilion 6253.
Ni vizuri kusahihisha makosa, Ila mjitahidi yasiweze kujirudia tena kwenye hotuba za Raisi na nashauri kabla ya raisi kwenda hewani pitieni hotuba zaidi hata ya mara 5 ili kujiridhisha hakuna makosa.
Ufafanuzi ni uungwana
View attachment 2066244
Pia soma: Hii akiba ya fedha za kigeni dola Bilioni 6,253 aliyosema Rais Samia kiboko, deni la Taifa lingekuwa hela ya peremende
Kauli chache tu zinaweza kukuweka kwenye kundi la timamu ama utopolo..Sio kazi ya serikali kukwambia kila source ya kipato chake acha ujinga na utoto.