johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Waziri Mulamula amesema Serikali imepeleka maofisa wake katika nchi za Hungury na Poland ili kuratibu safari za wanafunzi waliokwisha vuka mpaka kutokea Ukraine.
Kadhalika kuna wanafunzi ambao wameamua kwenda kuishi kwa ndugu na jamaa zao huko Denmark, Slovakia na Sweden.
Wanafunzi 11 wako njiani wakirejea nchini na mmoja amebaki Poland baada ya kubainika ana Corona.
Chanzo: ITV habari
Kadhalika kuna wanafunzi ambao wameamua kwenda kuishi kwa ndugu na jamaa zao huko Denmark, Slovakia na Sweden.
Wanafunzi 11 wako njiani wakirejea nchini na mmoja amebaki Poland baada ya kubainika ana Corona.
Chanzo: ITV habari